Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

Ipi tiba Kwa Mwanamke mwenye PID sugu, kutoka maji meupe mazito kwenye uke wakati wa tendo yanatoa harufu ya kuudhi
Katumia vidonge vya kuweka ukeni box lina ua na azuma mara kadhaa lakini tatizo linarudi
 
Nilichuma saizi ya kiganja changu nikayaosha kisha nikachemsha maji nusu kikombe, nikayaepua kisha nikadumbukiza humo hayo majani yakakaa daki 2-3 kisha nikatafuna nikanywa na maji yake.
Hayo maji unakunywa kwa wakati mmoja au zaidi ya mara moja
 
Nasubiri shuhuda za watu wanaoumwa vichwa sana bila kujua sababu na namna gani wamepona.

Mume wangu anaumwaga kichwa sana since he was teen.
 
Ipi tiba Kwa Mwanamke mwenye PID sugu, kutoka maji meupe mazito kwenye uke wakati wa tendo yanatoa harufu ya kuudhi
Katumia vidonge vya kuweka ukeni box lina ua na azuma mara kadhaa lakini tatizo linarudi
Moja ya changamoto inayowasumbua wanawake wengi ni hii.Nimekutana na wanawake wengi sana wenye shida hii na wanakiri kabisa kuwa wanapata fedheha kubwa.Unakuta mtu amechoma na sindano na kutumia Ant biotics za kila aina tatizo linapungua, lakini baada ya muda fulani tatizo linarudi kwa kasi.

Tatizo hili linaweza kupelekea kuziba kwa mirija ya uzazi na hivyo kusababisha ugumba kabisa.Tatizo lisipotibiwa kwa muda mrefu husababisha pia kansa ya mlango wa kizazi.Huwa inafikia stage huo uchafu mweupe wenye harufu unabadilika na kuwa wa njano na baadaye kijani.Ikifikia hatua hiyo maana yake ni stage kubwa sana ya uathirika.

Ili uweze kupona kabisa unahitaji kutumia dawa zitakazotibu tatizo na kurudisha ile hali ya awali katika via vya uzazi.Maana utumiaji wa Ant biotics kwa muda mrefu huua wale bakteria walinzi wa sehemu hizo,kwa hiyo lazima waoteshwe tena ndipo utapona kabisa na tatizo halitajirudia.

Wanawake wengi wana shida hii,ila mara nyingi wanajua ni UTI au fangasi ndiyo maana wanapokuja kugundua tatizo linakuwa limeshakuwa kubwa sana.

Dawa za mitishamba zinaweza kutibu tatizo hili vyema kabisa na lisijirudie kabisa,lakini unahitaji kuwa mvumilivu maana lazima utumie dozi kwa muda mrefu kidogo(Mwezi 1-3).Kulingana na ukubwa wa tatizo lenyewe.

Fuatilia kuna uzi niliandika hapa mwaka jana juu ya ugonjwa huu na namna unavyoweza kuandaa dawa kwa mimea tiba.Kama utahitaji usaidizi pia unaweza kusema.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Nasubiri shuhuda za watu wanaoumwa vichwa sana bila kujua sababu na namna gani wamepona.

Mume wangu anaumwaga kichwa sana since he was teen.
Kinauma kwa mtindo upi?
Upande,katikati au usoni kama kipanda uso?

Alishapata uchunguzi wa vipimo wataalamu wakasema shida ni nini??

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza kabisa nashukuru sanaa kwa maelezo yako mkuu ...ila in short sio kwamba nimefakamia mwanamke mwenye PID Hapana bali ilitokea kwa sababu tu ya uchafu wa vyoo kwa sababu mimi ni mwanachuo hivo nilikuwa nakaa hostel ....na nilichelewa kutumia dawa mapema lakini pamoja nakutumia dawa lakini ilikuwa bure ,dalili nilizonazo ni maumivu wakati wak wa haja ndogo,mostly nikinywa maji mengi sanaa lakini muda mwingine hakuna maumivu na ni muda sanaa almost toka 2021 Mpaka sasa hivi hili tatizo linanisumbua sanaa mkuu
Pole sana.Shida uko chuoni hata uwezo wa kupata mitishamba huna.Kuna aina ya mitishamba unachimba na kuchemsha mchanganyo wake unatumia ndani ya siku tano tu! Hata kama umeshindwa kabisa kukojoa kwa sababu ya gono ndani ya masaa 24 lazima njia izibuke! Shida wakati mwingine lugha ni changamoto maana ina majina ya asili

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Pole sana.Shida uko chuoni hata uwezo wa kupata mitishamba huna.Kuna aina ya mitishamba unachimba na kuchemsha mchanganyo wake unatumia ndani ya siku tano tu! Hata kama umeshindwa kabisa kukojoa kwa sababu ya gono ndani ya masaa 24 lazima njia izibuke! Shida wakati mwingine lugha ni changamoto maana ina majina ya asili

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mkuu ahsante sanaa ila kuhusu kupatikana kwa hiyo dawa lisikupe tabu hilo halina shida maana nipo mkoa ambao upatikanaje wake unaweza kuwa mrahisi maana nipo na wazee fulani kwenye mazingira ambayo naishi hivyo sidhani kama watakuwa hawajui ...so nakuomba sanaa utume hata picha ya huo mti mkuu nitashukuru
 
Kinauma kwa mtindo upi?
Upande,katikati au usoni kama kipanda uso?

Alishapata uchunguzi wa vipimo wataalamu wakasema shida ni nini??

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Anavaa miwani, mara nyingi wanambadilishia lensi lakini tumegundua tatizo si macho.

Kuna kinauma kipanda uso, kuna muda nyuma ya kichwa, na kuna muda ni kwaajili ya miwani na akiivua kwa muda anakaa sawa.
 
Pole sana!
(Blood viscosity
Vascular resistance
Cholestrol) Haya ninmiongoni mwa matatizo yaambatanayo na shida katika moyo. Maana yake unaweza kuwa na shida ya mishipa yako ya damu inayosababisha mzunguko wako wa damu kutokuwa mzuri.Ndiyo maana ukifanya mazoezi hali inakuwa nzuri kukiko ukikosa mazoezi.Watu wengi sana wana shida hizi bila kujijua na dalili ni zilezile unazoainisha hapa.Bahati mbaya sana hata katika hosp zetu imekuwa ngumu kubaini labda utembelee hosp kubwa zenye wataalam wa hali ya juu. Andaa Tonic juice yako kama nilivyoelekeza katika uzi wangu uliopita utumie baada ya mwezi leta mrejesho hapa.

Lakini pia kama unaweza kupata mmea wa Mkundekunde na mwembe pori.Unga wa mizizi yake unautumia katika maji ya moto kila siku kwa siku 21.Hiyo itakusafisha mishipa yako ya damu vizuri kama bomba la maji lililozibuliwa baada ya kuziba.



Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kiongozi hapo umeongelea blood viscosity naomba unielimishe zaidi kuhusu hilo jambo maana kuna Dr. nilimuulizia akanielezea japo katika maelezo yake alisema haina shida.
Chanzo chake,dalili zake na tiba yake
 
Call 911 immediately if you experience symptoms of a heart attack.

I wish nasi siku moja tuwe km hivyo daah yaan tunashauriana kunywa majani ya mpera na rasilimali tunazo za kumwaga madini ya kila aina
 
pembeni ya tumbo kunakama kitu kinakuwa kama kinakwangua tumbo alfu sasa kinakuwa kinanichosha. napiga miayo balaaah. mkono wangu wa kushoto na mguu wangu wa kushoto Auna nguvu sasa hili ndio moja ya tatizo linalo nitesa sana tumboni kwangu cjui kuna nini mkuu . nilisha enda hospital kupimwa lakn nikaambiwa hakuna ungonjwa . nikisimama kujinyosha nahic kizungu zingu
Sio mbobevu Ila kwa hii diagnosis ya haraka haraka utakua una tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD)

Yaweza ikawa na madaktari hawa wetu hawa Panadol mkononi hawawezi kuligundua hili tatizo

Ntakupa home remedy:

Asali kijiko kikubwa kimoja asubuhi na kimoja jioni
Siku 7/14/21

Au

Baking soda kijiko kimoja kikubwa changanya na maji glass moja kunywa kila unapoamka kabla haujaweka kitu chochote kinywani hata kabla hujapiga mswaki kunywa
Ni asubuhi tu ukitoka kuamka
Siku 7/14/21

Amini Imani yako itakuponya na utapona.

Epuka vifuatavyo:

Vyakula vya ngano km chapati usile
Carbonated drinks zote usinywe km soda ya Coca-Cola na zingine, energy zozote usinywe
Pombe kaa mbali usinywe
Sigara usivute km unavuta acha mara moja

Tumbaku km unatumia Sigara Kali acha mara moja

Bangi km unavuta acha kuvuta subiri hadi upone kwanza

Usile sana chakula mpaka ukavimbiwa kula kwa kiasi ukila kupitiliza inasababisha kiungulia

Usilale baada ya kula ukilala baada ya kula inasababisha kiungulia na chembe ya moyo kuwaka Moto

Usinywe maji mengi baada ya kula ukimaliza kula subiri mda kidogo chakula kitulie ndio unywe maji

Epuka vyakula vyote vyenye asidi

Nini ufanye upone haraka:

Kula matunda yenye majimaji na vitamini kwa wingi km ndizi, parachichi, matango, nk

Epuka matunda yenye asidi kwa wingi

Kula mbogamboga kwa wingi ukiweza kula supu za mbogamboga km supu ya mchicha, nk
 
Back
Top Bottom