Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

Jambo watanzania wenzangu!!

Katika kubadilishana maarifa ninaomba kuulizwa chochote juu ya dawa asili za mimea na mitishamba katika kutibu magonjwa mbalimbali.

NB:Maswali hayo yasihusishe ramli na mambo ya kishirikina,ama mambo dhahania,maswali yajielekeze katika magonjwa ya kila siku ambayo tunaishi nayo na yanatusumbua.
Nini nitumie kutibu hii
IMG-20221012-WA0012.jpg
 
Naipataje hii na ni bei gan
Natoa tahadhali hii nisumu . Ukiamua kutumia niwewe ,tumia ukijua kua nisumu.
Inaweza kua namadhara kwa ngozi Yako huko mbele. Hakikisha unawalinda watoto kama unao usiwapake.
 

Attachments

  • IMG_20220820_195022_329.jpg
    IMG_20220820_195022_329.jpg
    371.6 KB · Views: 28
  • IMG_20220814_023813_376.jpg
    IMG_20220814_023813_376.jpg
    532.1 KB · Views: 26
N
Ng'ocha ngoko
Kumbwa mbezo nk

Mitishamba hiyo huhusisha kuimarisha misuli ya uume iliyolegea na kuifanya imara,huondoa chango la kiume ambalo ndilo chanzo hasa cha maumbile kusinyaa! Hurekebisha homoni ya kiume na hivyo huongeza maradufu na ni tiba ya nguvu za kiume kama ikiandaliwa katika mazingira sahihi na kutumiwa kwa weledi

Ng'ocha ngoko
Kumbwa mbezo nk

Mitishamba hiyo huhusisha kuimarisha misuli ya uume iliyolegea na kuifanya imara,huondoa chango la kiume ambalo ndilo chanzo hasa cha maumbile kusinyaa! Hurekebisha homoni ya kiume na hivyo huongeza maradufu na ni tiba ya nguvu za kiume kama ikiandaliwa katika mazingira sahihi na kutumiwa kwa weledi
Jinsi ya kuipata hyo Dawa kk.
 
N



Jinsi ya kuipata hyo Dawa kk.
Inapatikana katika mapori mbalimbali hapa nchini.Inatakiwa kuvunwa na kuandaliwa katika mazingira yanayotakiwa ili kuepusha kupoteza ubora wake.Kama huwezi kufanya hivyo na unahitaji basi unaweza kuwasiliana nami.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Jambo watanzania wenzangu!!

Katika kubadilishana maarifa ninaomba kuulizwa chochote juu ya dawa asili za mimea na mitishamba katika kutibu magonjwa mbalimbali.

NB:Maswali hayo yasihusishe ramli na mambo ya kishirikina,ama mambo dhahania,maswali yajielekeze katika magonjwa ya kila siku ambayo tunaishi nayo na yanatusumbua.
Naomba tusaidie et dawa ya PID
 
Back
Top Bottom