Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

I'm not an expert. But after viewing and analyzing this post from beginning to end, line by line, word by word, letter by letter. I came to the conclusion and i can say that i can't say anything because as i said at the beginning, I'm not an expert.
🥱😆😂🤸
 
Mkuu dawa yake n nn kw tulioathrika
Dawa ipo.Ni mchanganyiko wa dawa za mimea zenye uwezo mkubwa wa kurudisha maumbile na misuli iliyoathirika katika hali ya awali.Kama ni miongoni mwa waathirika usisite kunitafuta.Lakini jambo kubwa,amua kuacha sasa ili kuepuka fedheha.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Acha kudanganya vijana mkuu haina madhara hii kitu japokua mimi sifanyi ila haina madhara
 
Kujichua kuna madhara! Hebu fikria umezoea kutumia ndizi,tango au toy kujiridhisha! Unafikri unaweza kuelewa mnofu wa mwanaume?? Kila wakati unakuwa mtumwa wa jambo hilo mwisho wa siku unaharibu hata asili ya maumbile yako.Acha sasa!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Nimetaka uwape elimu pia ndugu muandishi, me ni ME.
 
Bila shaka hamjambo kabisa watu wa Mungu na wadau wa jukwaa letu pendwa la JF.
Nimeamua kuandika jambo hili ili kuweka msisitizo zaidi,Nikiwa kama mdau wa tiba ninakutana na changamoto nyingi sana kwa vijana wa kiume zinazotokana na athari ya kitendo hiki cha kujichua.Kwa hiyo nina uhakika usio na shaka kuwa jambo hili ni janga kubwa kwa vijana na linaendelea kuwadhoofisha sana.Kwa hiyo ni bora tuendelee kusisitizana zaidi ili kujiepusha na jambo hili ambalo matokeo yake ni fedheha na kuishia kulialia.

Wavulana wengi wamekuwa wakiathirika sana na tatizo hili la kujichua, hasa wanapokuwa katika shule na vyuo, mchezo huu wa kujichua wamekuwa wakiutumia sana. Sababu kuu inayopelekea kujichua ni kutamani, wengi huangalia picha za utupu(xx) katika mitandao ya kijamii na baadaye fikra huathiriwa na video hizo jambo linalopelekea kujichua huku wakivuta kumbukumbu kupitia video walizozitazama. Tukio hili la kujichua huendelea katika fikra za vijana huku wakiwa na wapenzi wengi wa kufikrika(sawa na kuota ndoto unamiliki ghorofa kubwa,unapoamka unagundua ilikuwa ni ndoto) , jambo linalopelekea kuathirika kisaikolojia na kushindwa kabisa kuhimili tendo la ndoa pindi wakutanapo na wanawake halisi, maana uume husinyaa kabisa na kushindwa kufanya tendo la ndoa maana fikra zimegawanyika.

MADHARA YA PUNYETO
Madhara ya punyeto ni mengi sana, kumbuka mtu aliyezoea kujichua maana yake anamiliki wanawake wengi wa kufikirika, hivyo unapofikia wakati wa kuwa na mke halisi fikra hutatanika kwa kukumbuka wapenzi wale wa kufikrika aliofanya nao ngono kwa njia ya kujichua. Na kwa kuwa mke halisi ni mmoja na wale wa kufikrika ni wengi, akili hushindwa kutambua upande upi ni bora kwake, hivyo uume kushindwa kusimama vyema kwa sababu ya mwathiriko wa kisaikolojia. Kumbuka tendo la ndoa hufanyika tu pale akili inapokuwa na utulivu. Madhara mengine ya mtu aliyejichua kwa muda mrefu ni;
1.Kuathirika(kusinyaa) kwa mishipa ya uume, hivyo kushindwa kujaa damu inayopelekea kusimama kwa uume wakati wa tendo la ndoa.
2.Kuathirika kwa mfumo wa mkojo, jambo linaloweza kusababisha tezi dume.
3.Kupungua kwa hisia za kufanya tendo la ndoa.
4.Kuathirika kwa mfumo wa uzalishaji wa mbegu za kiume.
5.Maumivu ya kichwa, mgongo, kiuno na uchovu mwingi kila wakati.

Madhara makuu zaidi ya mtu aliyeathirika na punyeto ni kupungukiwa nguvu za kiume na hivyo kupelekea kufika kileleni mapema zaidi wakati wa tendo la ndoa, Kwani mishipa ilishasinyaa na hivyo haiwezi kustahimili kubeba damu inayopelekea maumbile kusimama kwa muda mrefu wakati wa tendo la ndoa.

Kumbuka tiba ya Malaria siyo kulala kwenye chandarua wakati tayari una malaria, tiba ni kutumia dawa ili malaria ipone, na ushauri ni kulala kwenye chandarua ili usiumwe na mbu ukaugua malaria tena.

Hivyo kama ulifanya punyeto na imepelekea upungufu wa nguvu za kiume, hakikisha unajitibu ama kutibiwa kikamilifu ili kuweka mfumo wako wa mishipa na misuli katika hali ya awali, na ushauri usirudie tena kufanya punyeto. TAFADHALI SANA AMUA KUACHA PUNYETO SASA.KUPANGA NI KUCHAGUA.
[emoji120][emoji120]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Dada zenu wakishaanza kuvuka umri wa kuolewa bila ya kuolewa wala kuwa na ma boi frendi ndiyo mnaamua kujitolea kuwatafutoa wenzi kwa kufungua nyuzi za kuwatisha vijana?
Wailizeni vizuri matatizo waliyo mao wao. Watu wamexoa fisting unadhani hata Mandingo atawaweza?
 
Umesoma nilichoandika au umeamka na mapombe ya jana
Watu wanatumia gharama kubwa kujitibu hili jambo na bado wanahangaika halafu wewe unasema haina madhara.Tunaandika kwa kutumia ushahidi wa utafiti tunaoufanya.Hatukurupuki tu kama unavyofikria.Wewe ulitaka watu waende hadharani kujitangaza kuwa wamepata madhara baada ya kujichua muda mrefu ndiyo ujue kuna madhara??

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Endelea nayo! Kupanga ni kuchagua.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Umesoma nilichoandika au umeamka na mapombe ya jana
Watu wanatumia gharama kubwa kujitibu hili jambo na bado wanahangaika halafu wewe unasema haina madhara.Tunaandika kwa kutumia ushahidi wa utafiti tunaoufanya.Hatukurupuki tu kama unavyofikria.Wewe ulitaka watu waende hadharani kujitangaza kuwa wamepata madhara baada ya kujichua muda mrefu ndiyo ujue kuna madhara??

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
hakuna utafiti wa kisayansi ulothibitisha hilo hata WHO hakuna statement ambayo imewah toa kuhusu madhara yake acha vijana waenjoy kaka we inakuuma nini au naww ni muhanga wa punyeto ??
 
Bila shaka hamjambo kabisa watu wa Mungu na wadau wa jukwaa letu pendwa la JF.
Nimeamua kuandika jambo hili ili kuweka msisitizo zaidi,Nikiwa kama mdau wa tiba ninakutana na changamoto nyingi sana kwa vijana wa kiume zinazotokana na athari ya kitendo hiki cha kujichua.Kwa hiyo nina uhakika usio na shaka kuwa jambo hili ni janga kubwa kwa vijana na linaendelea kuwadhoofisha sana.Kwa hiyo ni bora tuendelee kusisitizana zaidi ili kujiepusha na jambo hili ambalo matokeo yake ni fedheha na kuishia kulialia.

Wavulana wengi wamekuwa wakiathirika sana na tatizo hili la kujichua, hasa wanapokuwa katika shule na vyuo, mchezo huu wa kujichua wamekuwa wakiutumia sana. Sababu kuu inayopelekea kujichua ni kutamani, wengi huangalia picha za utupu(xx) katika mitandao ya kijamii na baadaye fikra huathiriwa na video hizo jambo linalopelekea kujichua huku wakivuta kumbukumbu kupitia video walizozitazama. Tukio hili la kujichua huendelea katika fikra za vijana huku wakiwa na wapenzi wengi wa kufikrika(sawa na kuota ndoto unamiliki ghorofa kubwa,unapoamka unagundua ilikuwa ni ndoto) , jambo linalopelekea kuathirika kisaikolojia na kushindwa kabisa kuhimili tendo la ndoa pindi wakutanapo na wanawake halisi, maana uume husinyaa kabisa na kushindwa kufanya tendo la ndoa maana fikra zimegawanyika.

MADHARA YA PUNYETO
Madhara ya punyeto ni mengi sana, kumbuka mtu aliyezoea kujichua maana yake anamiliki wanawake wengi wa kufikirika, hivyo unapofikia wakati wa kuwa na mke halisi fikra hutatanika kwa kukumbuka wapenzi wale wa kufikrika aliofanya nao ngono kwa njia ya kujichua. Na kwa kuwa mke halisi ni mmoja na wale wa kufikrika ni wengi, akili hushindwa kutambua upande upi ni bora kwake, hivyo uume kushindwa kusimama vyema kwa sababu ya mwathiriko wa kisaikolojia. Kumbuka tendo la ndoa hufanyika tu pale akili inapokuwa na utulivu. Madhara mengine ya mtu aliyejichua kwa muda mrefu ni;
1.Kuathirika(kusinyaa) kwa mishipa ya uume, hivyo kushindwa kujaa damu inayopelekea kusimama kwa uume wakati wa tendo la ndoa.
2.Kuathirika kwa mfumo wa mkojo, jambo linaloweza kusababisha tezi dume.
3.Kupungua kwa hisia za kufanya tendo la ndoa.
4.Kuathirika kwa mfumo wa uzalishaji wa mbegu za kiume.
5.Maumivu ya kichwa, mgongo, kiuno na uchovu mwingi kila wakati.

Madhara makuu zaidi ya mtu aliyeathirika na punyeto ni kupungukiwa nguvu za kiume na hivyo kupelekea kufika kileleni mapema zaidi wakati wa tendo la ndoa, Kwani mishipa ilishasinyaa na hivyo haiwezi kustahimili kubeba damu inayopelekea maumbile kusimama kwa muda mrefu wakati wa tendo la ndoa.

Kumbuka tiba ya Malaria siyo kulala kwenye chandarua wakati tayari una malaria, tiba ni kutumia dawa ili malaria ipone, na ushauri ni kulala kwenye chandarua ili usiumwe na mbu ukaugua malaria tena.

Hivyo kama ulifanya punyeto na imepelekea upungufu wa nguvu za kiume, hakikisha unajitibu ama kutibiwa kikamilifu ili kuweka mfumo wako wa mishipa na misuli katika hali ya awali, na ushauri usirudie tena kufanya punyeto. TAFADHALI SANA AMUA KUACHA PUNYETO SASA.KUPANGA NI KUCHAGUA.
[emoji120][emoji120]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kati ya vyote ulivyoandika cha kweli ni kimoja tu.... Kupunguza hisia la kufanya tendo la ngono tena hyo inakuwa ni addiction tu..

Hakuna ushahidi wa kisayansi unayoelezea hayo yote ulioandika hapo
 
Umesoma nilichoandika au umeamka na mapombe ya jana

hakuna utafiti wa kisayansi ulothibitisha hilo hata WHO hakuna statement ambayo imewah toa kuhusu madhara yake acha vijana waenjoy kaka we inakuuma nini au naww ni muhanga wa punyeto ??
Ni lini WHO walithibisha kuwa ushoga una madhara??

Asubuhi njema mkuu[emoji125][emoji125]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kati ya vyote ulivyoandika cha kweli ni kimoja tu.... Kupunguza hisia la kufanya tendo la ngono tena hyo inakuwa ni addiction tu..

Hakuna ushahidi wa kisayansi unayoelezea hayo yote ulioandika hapo
Vipi kuhusu misuli unayoilazimisha kufanya jambo lisilo asili yake,yenyewe inabaki salama??

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom