Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

Jambo ndugu watanzania wenzangu!
Kuna watu wameteseka muda mrefu sana na wanaendelea kuteseka na magonjwa mbalimbali mpaka leo bila suluhisho na imefikia wakati sasa wanaweza kukata tamaa juu ya maradhi hayo.

Ninaomba tushirikishane hapa hadharani ili tushauriane na kuelekezana nini cha kufanya kulingana na changamoto ya kila mmoja wetu.

Binafsi nina uzoefu wa tiba za mimea na mitishamba katika kutatua changamoto ya maradhi mbalimbali ambayo wakati mwingine yameshindwa kutibika kwa dawa za asili ya kizungu. kwa hiyo ninaweza kukupa A B C ukavuna ili utumie na ninaamini unaweza kupata muujiza wako na ukarudisha tumaini jipya la afya yako.Nina zaidi ya mimea tiba 500 mpaka sasa katika hifadhi yangu binafsi na ninaendelea kujifunza zaidi.Hii inaweza pia kupanua wigo wa watu wengine katika kufanya tafiti zao juu ya mimea na magonjwa.Hata kama kuna mwenye uelewa zaidi au mtaalam tuelekezane hapa aina ya mmea tiba na formula yake katika matumizi ya tiba.

Tafadhali sana mambo ya ramli sitahangaika nayo.Sema ugonjwa unaokusumbua nitakushauri aina ya mimea tiba unayopaswa kutumia kwa utaratibu maalumu ili upone.

Tafadhali mods usiunganishe uzi huu!
Karibuni sana.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Asante sana mkuu kwa nafasi na ushauri unaoendelea kuutoa hapa. Mimi nimeangaika sana kwa muda mrefu mwili wangu ni dhaifu sana maumivu kila sehemu kichwa, mgongo na hata wakati mwingine tumbo pia linauma bila kuvuruga ila kama kuna kitu kunatambaa, sasa mbaya zaidi sehemu ya aja kubwa nikipush mzigo kunakuwa kama kunashuka na mzigo pia ile choo ya mwisho haisukumwi kutoka ni lazima niitoe kwa kutawaza, Nguvu za kiume pia zimepungua na mkojo haudondoki lakini unaruka umbali mdogo. Kwa sasa nasikia eneo la kifua mbele karibu ya koo na nyuma karibu na shingo pama maumivu ambayo hata nikiinua kitu juu kwa mikono yanasikika sana. Hii kitu inaweza kuwa ni nini eti?
 
Taja ugonjwa uliokusumbua na namna ulivyopona... Yani dawa iliyokuponyesha.

Mimi nilisumbuka na vidonda vya tumbo kiasi kwamba ilifika mahali ikawa haja kubwa inatoka na damu, nikaishiwa hadi damu ila nikaja kusoma hapa jamiiforum kwamba mashona nguo ni dawa ya vidonda vya tumbo.
Nikatumia kama ilivyoelezwa kwamba ni asubuhi kwa siku 3, sasa nilituma siku mbili tu nikapona na mpaka leo nipo fiti hadi pombe kali nagonga, maharage, pilipili na mazagazaga ya aina zote.

Kuna watu wanasumbuka na kuingia gharama hata za mamilioni kumbe nje kwake kuna dawa ya muda mfupi tu ambayo unakuta ni majani yamejiotea tu

Hayo mashona nguo nilitumia siku 2 nikaacha kutokana na hofu sababu mwelezaji aliweka tahadhari kwamba ukitumia muda mrefu yanasababisha kuwasha kwa figo

View attachment 2557696
Haya majani ulikuwa unachemsha?
 
Asante sana mkuu kwa nafasi na ushauri unaoendelea kuutoa hapa. Mimi nimeangaika sana kwa muda mrefu mwili wangu ni dhaifu sana maumivu kila sehemu kichwa, mgongo na hata wakati mwingine tumbo pia linauma bila kuvuruga ila kama kuna kitu kunatambaa, sasa mbaya zaidi sehemu ya aja kubwa nikipush mzigo kunakuwa kama kunashuka na mzigo pia ile choo ya mwisho haisukumwi kutoka ni lazima niitoe kwa kutawaza, Nguvu za kiume pia zimepungua na mkojo haudondoki lakini unaruka umbali mdogo. Kwa sasa nasikia eneo la kifua mbele karibu ya koo na nyuma karibu na shingo pama maumivu ambayo hata nikiinua kitu juu kwa mikono yanasikika sana. Hii kitu inaweza kuwa ni nini eti?
Pole sana mkuu kwa madhira unayoyapitia.Nimefuatilia nyuzi zako zilizopita na nimefahamu kuwa umehangaika na madhira haya kwa muda mrefu.Itoshe tu kusema kuwa usikate tamaa juu ya kupambania afya yako.Ukipata nafasi nitafute kwa hii namba yangu ili tushauriane zaidi.

0674 348222

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Shida ya joints haswa nyakati za baridi, niliambiwa ni arthritis. Naombeni mwenye tiba ya kudumu ya shida hii.
 
Jaribu kuongeza Kinga ya mwili utashangaa mapele yote YANAPOTEA KWA KASI.

Kula matunda kila siku, pamoja na kutumia vitunguu swaumu asubuhi na jioni kwa sababu vina antibiotic, antiviral na antifungal properties.

Yale madawa unayojipaka yatazidi kuua bakteria wazuri wa kwenye ngozi. ACHANA NAYO.

PIGA VITUNGUU SWAUMU KILA SIKU KWA MIEZI MIWILI USIPOPONA NAJIONDOA JAMIIFORUMS NAJITOSA BAHARINI.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jambo ndugu watanzania wenzangu!
Kuna watu wameteseka muda mrefu sana na wanaendelea kuteseka na magonjwa mbalimbali mpaka leo bila suluhisho na imefikia wakati sasa wanaweza kukata tamaa juu ya maradhi hayo.

Ninaomba tushirikishane hapa hadharani ili tushauriane na kuelekezana nini cha kufanya kulingana na changamoto ya kila mmoja wetu.

Binafsi nina uzoefu wa tiba za mimea na mitishamba katika kutatua changamoto ya maradhi mbalimbali ambayo wakati mwingine yameshindwa kutibika kwa dawa za asili ya kizungu. kwa hiyo ninaweza kukupa A B C ukavuna ili utumie na ninaamini unaweza kupata muujiza wako na ukarudisha tumaini jipya la afya yako.Nina zaidi ya mimea tiba 500 mpaka sasa katika hifadhi yangu binafsi na ninaendelea kujifunza zaidi.Hii inaweza pia kupanua wigo wa watu wengine katika kufanya tafiti zao juu ya mimea na magonjwa.Hata kama kuna mwenye uelewa zaidi au mtaalam tuelekezane hapa aina ya mmea tiba na formula yake katika matumizi ya tiba.

Tafadhali sana mambo ya ramli sitahangaika nayo.Sema ugonjwa unaokusumbua nitakushauri aina ya mimea tiba unayopaswa kutumia kwa utaratibu maalumu ili upone.

Tafadhali mods usiunganishe uzi huu!
Karibuni sana.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app

Tunajadili kuteseka au mimea yako? Naona ushajiweka mkao nyuma yetu tayari kuturerekebisha
 
shukran mkuu kwa uzi wako

mimi na ugonjwa ambao mpaka sasaiv ni mwaka wa kumi unanitesa . huu ugonjwa ulianza katikati ya tumbo panakuwa panauma. Siku zilivyo enda nilianza kuwa nahisi baridi na kutetemeka alfu badae nakuwa sasa .

kuna siku nililala usku iyo hali ya baridi ilinijia nilianza kusikia kama akiri yangu inachanganyikiwa nikaanza kujikuta napiga keleke bila mimi kupenda yani najihic kama kuna nguvu inanisukuma nipige kelele . walinipeleka hospital wakahisi wenda itakuwa ni maralia ya kichwa nilipewa dawa ila iyo hali ilipotea nikawa sawa.

zikapta kama wiki mbiri ile hali ikanirudia na bado nakuwa napiga kelele yani tena ikazidi kunakuwa kama kuna kitu kwenye akiri kinanilazimisha kupiga kelele yani nikama nilianza kuchanganyikiwa ivi. mana ilifika atua nikawa natamni kutembea uchi .

nikiwa natembea kama gari inakuja kuna akiri inaniambia niingie kwenye uvungu wa gari yani nikama nimechanganyikiwa kama nikienda kisimani kuchota maji natmni niingie kisimani yani ivyo .

sasa ikabidi nianze kuzunguka kwa waganga nimetembea kwa waganga wengi sama mkuu ila bado hali aikuwa sawa.

sasa pembeni ya tumbo kunakama kitu kinakuwa kama kinakwangua tumbo alfu sasa kinakuwa kinanichosha. napiga miayo balaaah. mkono wangu wa kushoto na mguu wangu wa kushoto Auna nguvu sasa hili ndio moja ya tatizo linalo nitesa sana tumboni kwangu cjui kuna nini mkuu . nilisha enda hospital kupimwa lakn nikaambiwa hakuna ungonjwa . nikisimama kujinyosha nahic kizungu zingu


msaada mkuu nimeelezea kwa ufupi

Sent from my SC-03J using JamiiForums mobile app

wewe una mapepo na mizimu ya gizani huhitaji tiba ya mwili bali ya kiroho
 
Pole sana kwa Mama! Unapswa kuhakikisha mama amepata vipimo ili tuweze kumpa ushauri sahihi kulingana na vipimo vya kitaalamu.
Pamoja na hilo,kwa uzoefu wangu katika vipimo na tiba za mimea mara nyingi matatizo hayo huambatana na msingi wa tatizo kwenye moyo.

1.Inaweza kuwa mishipa ya damu kwenye moyo imesinyaa na hivyo kusababisha changamoto kubwa wakati wa usukumaji damu na reflection yake anaipata kupitia maumivu kwenye hizo sehemu za mgongo,maeneo ya shingo na hata wakati mwingine maeneo ya kifuani.Hiyo ganzi sehemu za mikono na miguu maana yake kuna changamoto ya ufikaji wa damu maeneo hayo kwa kipimo na wakati sahihi.
2.Inaweza kuwa ni matatizo katika pingili za mgongo,hivyo baadhi ya neva zimeathirika na hivyo kusababisha hali inayompata.

Hakikisha mama anapata vipimo vya kitaalamu ili kubaini tatizo lake.

Matatizo yote hayo yanatatulika.Fuatilia kuna somo niliweka hapa namna ya kuandaa Tonic.Hiyo Tonic akiitumia kwa muda wa wiki moja lazima hali hiyo itabadilika tu na atapata unafuu mkubwa.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Weka link ya tonic

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Kuumwa kizazi kiasi unaona moto unawaka.

Nilichofanya nimeacha kabisa kutumia sukari. Inasemekana sukari inachochea kansa.

Nikawa natafuna majani ya mlonge, kiasi cha kujaza ngumi yangu, kila siku asubuhi kabla sijala kitu chochote.

Sasa sijambo na pia mlonge una busti sana memory.

Uzi mzuri.
 
Back
Top Bottom