Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tueleze japo kidogo,ni dawa ya aina gani na dozi yake unatumiaje na kwa muda gani....!Kwa tatizo la ugonjwa wa ini.nitafute dawa ninayo unapona haraka TU.0717707565
Unatumiaje haya mashona nguo. Kikabila tuna yaita kimbaraTaja ugonjwa uliokusumbua na namna ulivyopona... Yani dawa iliyokuponyesha.
Mimi nilisumbuka na vidonda vya tumbo kiasi kwamba ilifika mahali ikawa haja kubwa inatoka na damu, nikaishiwa hadi damu ila nikaja kusoma hapa jamiiforum kwamba mashona nguo ni dawa ya vidonda vya tumbo.
Nikatumia kama ilivyoelezwa kwamba ni asubuhi kwa siku 3, sasa nilituma siku mbili tu nikapona na mpaka leo nipo fiti hadi pombe kali nagonga, maharage, pilipili na mazagazaga ya aina zote.
Kuna watu wanasumbuka na kuingia gharama hata za mamilioni kumbe nje kwake kuna dawa ya muda mfupi tu ambayo unakuta ni majani yamejiotea tu
Hayo mashona nguo nilitumia siku 2 nikaacha kutokana na hofu sababu mwelezaji aliweka tahadhari kwamba ukitumia muda mrefu yanasababisha kuwasha kwa figo
View attachment 2557696
Tina Kwan unaumwa? Nyeto ipigwe mchana peupeUngetoa muongozo kidogo,, ukifanikisha kuacha huo mchezo tiba yake ni nn?? Ili urudi kawaida?
Siku hizi magonjwa mengi yamekuwa sugu kwa sababu ya dawa dhaifu,bila shaka ni mkakati wa kibiashara zaidi.Antibiotics nyingi watu wanameza hazitoi matokeo kama ilivyokuwa zamani.Nina miaka zaidi ya mitano sasa bila kubugia vidonge zaidi ya hizi za mitishamba na ninajivunia kuifahamu maana niko imara kwelikweli.Big Pharma wanapiga hela kwenye antibiotics.
Unakumbuka cha mseto?Kila ukipima malaria 3 5 10 ila sasa hakuna
Wanalazimika kusema UTI kwakuwa baadhi ya waganga wanatoa siri za wagonjwa mtaani "...unamwona yule mama, ni mke wa polisi pale alipo ana gono... alikuja nikampiga sindano, kama huamini subiri jioni atakuja kumalizia dozi ... wanasikika wakisema"Kupitia jukwaa hili pendwa,niwashauri watu wote kuwa tujiridhishe kwa vipimo sahihi kabla hatujakalilishwa kuwa tuna UTI huku mifumo yetu ikiendelea kulika. Katika harakati zangu kama mtu wa tiba za mimea nimekutana na kesi nyingi za namna hii watu wakitahitaji tiba ambapo baada ya ushauri na kufuata vipimo vya kiwango cha juu, iligundulika kuwa wanaishi na magonjwa ya zinaa kwa muda mrefu ambayo yamejenga usugu na hivyo yanakula polepole kwa sababu kila mara yanatulizwa na Antibiotics na mwisho wa siku inakuwa hatari zaidi.
Tafuta hii mizizi ya mimea uchemshe kwa pamojaJamani mwenye Tiba ya UTI sugu ambayo inatoa mpaka usaha nimetumia azuma mpka basi nimekunywa bicarbonate lakini bado msaada tafadhali
NB;UTI ambayo ni sugu na imepanda juu sana msaada
Mhoshi ndo mti ganiTafuta hii mizizi ya mimea uchemshe kwa pamoja
1.Mbono
2.Papai dume
3.Mhoshi
Kunywa kila wakati kama maji ya kunywa.Kama utapata pia mzizi wa zile katani ndogondogo weka.Ukipona katoe sadaka na uache ngono zembe.
Kama utahitaji iliyoandaliwa kitaalam pia ipo!
Tafuta majani ya mashona nguo,chemsha na kuchuja vizuri kisha utumie kikombe kidogo cha chai kutwa mara 3.Lakini pia tafuta unga wa mizizi ya mjafari ulioandaliwa vyema unakuwa unatumia kijiko kidogo kwenye maji moto mara 3 kwa kutwa.Kama utahitaji tiba hii iliyoandaliwa tayari unaweza kuniambia pia.Dawa hizo zote na nyingine kwa ajili ya tatizo hilo zipo.Mitishamba ya kutibu vidonda vya tumbo ni ?
Mimi pia nasubiria jibu la dawa ya BPUnaruka hii
Mkuu naomba kujua tiba ya amoeba sugu zinazosababisha kikoozi sugu kisichopona.Tafuta majani ya mashona nguo,chemsha na kuchuja vizuri kisha utumie kikombe kidogo cha chai kutwa mara 3.Lakini pia tafuta unga wa mizizi ya mjafari ulioandaliwa vyema unakuwa unatumia kijiko kidogo kwenye maji moto mara 3 kwa kutwa.Kama utahitaji tiba hii iliyoandaliwa tayari unaweza kuniambia pia.Dawa hizo zote na nyingine kwa ajili ya tatizo hilo zipo.