Niulize chochote kuhusiana na biashara ya duka la jumla

Ili kuendana na soko hivi unahitaj kama mtaji wa sh ngapi kuweza kufungua duka la jumla atlist faida ionekane?
 
Mimi nipo Tabora nahitaji kufungua duka la jumla. Wapi Nitapata bidhaa kwa bei ya chini dar??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…