Niulize chochote kuhusiana na biashara ya duka la jumla

Niulize chochote kuhusiana na biashara ya duka la jumla

Moja kati ya duka la jumla muonekano wa nnje


FB_IMG_1620658139001.jpg

 
Ungetupa current price ya bidhaa mbali mbali ili tukompee na bei za mawakala wa vitu vya jumla mtaani

1. Inasaidia kujua endapo utaanzisha duka la jumla na ukauzia wanaoenda kuuza reje reja margin ya faida kwa bidhaa ni ngapi, maana bei za mizigo kwa hao wanatuuzia reja reja tunazijua

2. Ingesaidia kuona bidhaa zipi uchukue kwa mtaji alio nao mtu
 
Ungetupa current price ya bidhaa mbali mbali ili tukompee na bei za mawakala wa vitu vya jumla mtaani

1. Inasaidia kujua endapo utaanzisha duka la jumla na ukauzia wanaoenda kuuza reje reja margin ya faida kwa bidhaa ni ngapi, maana bei za mizigo kwa hao wanatuuzia reja reja tunazijua

2. Ingesaidia kuona bidhaa zipi uchukue kwa mtaji alio nao mtu
Ok nitakuletea list
 
Moja kwa moja twende kwenye mada

Kama unamalemgo yakufua biashara ya duka hii jumla achana na haya maduka ya mtaania ya Mangi nazungumzia biashara ya jumla mfano pipi, Tambi, Unga, Mafuta,sabuni,nk...


Karibu nipo tayari kushare my experience yangu kwenye hii biashara nayafahamu mengi zaidi na zaidi kwenye hi biashara...



Bidhaa nyingi zinapatikana kwenye viwanda ndipo wanapo nunua hawa matajiri nakuweka kwenye maduka yao ya Jumla

Almost asilimia 98% zinazalishwa hapa hapa Nchini.

Unga wa sembe,unga wa ngano Mfuta yakupikia, Pempers, Sabuni Soft aina zote, chumvi, biscuits, Tomato,majani ya chai,madaftari Aina zote marapa sabauni za unga Aina zote vibiriti nk...

Chamsingi nikuangalia bidhaa zipi utaanza nazo kutokana na mataji wako.
mtaji jumla angalau unatakiwa uanze na shi ngapi
 
mtaji jumla angalau unatakiwa uanze na shi ngapi
mtaji inategemea na bidhaa unazotaka kuanza nazo Kuna bidhaa cheep za jumla ambazo zinatoka zaidi


Pipi,Big G, pipi, kalamu, karata, tochi, pemepers, biscuits, betrii,mfuta yakujipaka,tomato sauce, chill sauce,poda, chumvi, vibiriti,mikebe, madaftari Aina zote uwe nayo, super Grue, vibiriti ya ges,marapa,sabuni zakuogea,viwembe kufuli,Udi,nk.....


ni wewe tu namtaji wako utaangalia uanzee kuweka bidhaa zipii duka unaweza kuanzia na mtaji hata wa milion 3


Sio ujaze tu stoo unaangalia bidhaa zipi zenye fast moving.
 
Mkuu uzi wako umenivutia sana me ni mmoj ya watu ambao tupo mbioni kufungua duka la jumla katika tafiti zangu nimeambiwa kwenye duka la jumla ukiwa na ml 15 unakofanya manunuzi unaweza bustiwa mzigo wa ml 5 mbaka nane je ni kweli uwa wanafanya ivo
 
Vp kuhusu changamoto za biashara hii,je kunawengine huwa wanavuta wateja kwa kuwapelekea bidhaa mpka kwny maduka yao?
 
Vp kuhusu changamoto za biashara hii,je kunawengine huwa wanavuta wateja kwa kuwapelekea bidhaa mpka kwny maduka yao?
Yap moja kati ya mbinu za hii biashara ya Jumla Tena kwa free delivery
 
Mkuu uzi wako umenivutia sana me ni mmoj ya watu ambao tupo mbioni kufungua duka la jumla katika tafiti zangu nimeambiwa kwenye duka la jumla ukiwa na ml 15 unakofanya manunuzi unaweza bustiwa mzigo wa ml 5 mbaka nane je ni kweli uwa wanafanya ivo
Yani unamanisha ukichukua mzigo wa milion 15 unakopeshwa mzigo wa milion 5 Hadi 8?? sina uhakika kwenye hilo
 
mtaji inategemea na bidhaa unazotaka kuanza nazo Kuna bidhaa cheep za jumla ambazo zinatoka zaidi


Pipi,Big G, pipi, kalamu, karata, tochi, pemepers, biscuits, betrii,mfuta yakujipaka,tomato sauce, chill sauce,poda, chumvi, vibiriti,mikebe, madaftari Aina zote uwe nayo, super Grue, vibiriti ya ges,marapa,sabuni zakuogea,viwembe kufuli,Udi,nk.....


ni wewe tu namtaji wako utaangalia uanzee kuweka bidhaa zipii duka unaweza kuanzia na mtaji hata wa milion 3


Sio ujaze tu stoo unaangalia bidhaa zipi zenye fast moving.
Mkuu madaftari kwa kuuza kwenye duka la jumla yanapatikana wapi?
 
Mkuu madaftari kwa kuuza kwenye duka la jumla yanapatikana wapi?
Kuna maajent pale k,koo ukienda utakuta maduka special kwaajili ya kuuza bidhaa za stationery wao wanachukua mzigo mkubwa moja kwa moja kutoka viwandani wengine Wana import kutoka nnje...
 
Kuna maajent pale k,koo ukienda utakuta maduka special kwaajili ya kuuza bidhaa za stationery wao wanachukua mzigo mkubwa moja kwa moja kutoka viwandani wengine Wana import kutoka nnje...
Nilitaka kununua wanaponunua wenye maduka ya kariakoo ni niwe na Bei ya ushindani Zaid mfano madaftari ya msomi
 
Back
Top Bottom