Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaouza vocha za jumla wanazitoa wapi ? Na faida zikoje ?
Nikiwa na milioni 2 zinatosha kuanza hii biashara
Labda uanze kuagizia big-G kwanzaNikiwa na milioni 2 zinatosha kuanza hii biashara
Wewe ndo huyo mshikaji mwenye kofia nyekundu unapanga mali za bosi kwenye duka la jumla?? NB bado swali linahusu duka la jumla
acha undezi, ukielezea hapa hapa ili wengi wafaidike unapungukiwa nini?Mipm nikuelekeze
Majibu yanayoishia njiani ndo huwa siridhiki nayo ..inategemea na sehemu uliyopo mkuu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] kwamba hata hili swali linahusu duka la jumla noma sana mkuu big IQ:Wewe ndo huyo mshikaji mwenye kofia nyekundu unapanga mali za bosi kwenye duka la jumla?? NB bado swali linahusu duka la jumla
Hahaha Sasa mkuuMajibu yanayoishia njiani ndo huwa siridhiki nayo ..
Umefungua uzi na umetupa Uhuru wa kukuuliza chochote ..lakini bado unatuacha njiani
Kama Unajua inategemea na sehemu
Jibu na utoe mfano wa sehemu kama 5 tofauti ili watu tujifunze ..Ila majibu ya inategemea .....hayaridhishi hata kidogo
Anazingua tuu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] nijibu swali langu nliokuulizamaswali Kama hayo yanakata mood