Niulize chochote kuhusiana na biashara ya duka la jumla

Niulize chochote kuhusiana na biashara ya duka la jumla

Hahaha Sasa mkuu

Mimi nipo last sy Tanga so siwezi jua Kodi ya pango ya Iringa Wala Arusha


Embu tuulize maswali yakibiashara zaidi
Mkuu hapo hapo Ulipo fanya ndo case study ya huu uzi ili kupitia mifano halisi tujifunze ..mkuu bila mifano hai utawaacha watu na kiu
 
Nkiwa na 10m nawez nkaanza hii biashara vizuri
Ya unaweza kuanza ujuee duka la jumla huwa linagawanyika kwenye makundi wengi Sana kwahiyo inakupa urahisi wakuchagua biashara yako uingie kwenye kundi lipi

Kuna maduka ya jumla ya vinywaji

Kuna maduka ya jumla ya Vyakula

Na kuna mduka ya jumla yakuuza vitu mchanganyko

Mfano Dawa ya meno, Mafuta ya kujipaka,tochi, chumvi, pemepers betri Pedi, kufuli Super Gruue, marapa,biskuti sabuni

Sasa mfano ukiweka sabuni unatakiwa kuwa nazo Aina 4 Hadi 5 kuna wateja watakuja watahitaji Ya Mo kuna wengine watahitaji Bakharesa nk...

Ukija kwenye dawa ya meno unaweka kalibia Aina 3

Screenshot_20210521-120050.jpg
 
Moja kwa moja twende kwenye mada

Kama unamalemgo yakufua biashara ya duka hii jumla achana na haya maduka ya mtaania ya Mangi nazungumzia biashara ya jumla mfano pipi, Tambi, Unga, Mafuta,sabuni,nk...


Karibu nipo tayari kushare my experience yangu kwenye hii biashara nayafahamu mengi zaidi na zaidi kwenye hi biashara...
Naomba kufahamu bei ya kiwandani ya sabuni za white wash na sabuni za jamaa ili nijue kama biashara hii inatoka vizuri maana ktk soko huwa hazikai kwenye waduka ya rejareja sasa sijajua kama idea ya kubase kwenye ununuzi wa bei ya kiwandani huwa shilingi ngapi?
 
Naomba kufahamu bei ya kiwandani ya sabuni za white wash na sabuni za jamaa ili nijue kama biashara hii inatoka vizuri maana ktk soko huwa hazikai kwenye waduka ya rejareja sasa sijajua kama idea ya kubase kwenye ununuzi wa bei ya kiwandani huwa shilingi ngapi?
Sabuni hizi za Jamaa,White Wash, nk..moja kati ya biashara ambayo inatembea kwenye soko almost 98% ya maduka yanayouza vitu mchanganyko basi kwenye shelf zao unakuta wamepanga vipande vya Sabuni:


Bei yake ya jumla kiwandani inacheza kati ya elf 40-43
FB_IMG_1620658188581.jpg
 
Nimeona sehemu mchango Kama huu unamkatisha mtu kunza et Hadi uwe na milion 50 no no sio kweli kabisa milion 5 pia unaweza kuanzia kwa duka la jumla na sio lazima uenezee kila kitu dukn kwako....


Screenshot_20210522-140450.jpg


Unaweza kuanza na Fast Moving Items, not necessarily uwe na vitu vyote au brands zote.

Unaweza kueneza brand mfano ya Pemepers za kila company lkin utakuta brand 2 au 3 ndio zimekamata soko kwahiyo zile brand nyinginee zinakosa Moving nakujaza Stoo nakuweka pesa




Chamsingi ni kufanya Utafiti kujua brands zinazotumika sana .


Ukitaka kwenda kwenye biashara hii ya jumla make sure unakua na list ya bidhaa zako ambazo utaweza kuzi-contro na ziwe fast moving....hapa ndio kwenye tobo la hii biashara
 
Hizi picha ni moja ya Store ya duka la jumla
FB_IMG_1620658235585.jpg
FB_IMG_1620657849813.jpg
FB_IMG_1620658174215.jpg


Ukiangalia hizi picha unaweza kukata tamaa lkn unaweza ukaanza hata nakidogo then ukaa-upgred na wewe ukawa mkubwa Kama hawa jamaa
 
moja kati ya Duka la jumla

Hapa wanajalibu kufanya online sales & Free delivery wanadai wanafika popote in Dar wanakuletea mzigoo...

Screenshot_20210522-145723.jpg
 
Self ya duka la jumla hapa wameweka Simple za bidhaa wanazouza
FB_IMG_1620657467909.jpg
 
Self ya duka la jumla hapa wameweka Simple za bidhaa wanazouza
FB_IMG_1620657456006.jpg
 
Back
Top Bottom