Niulize chochote kuhusiana na biashara ya duka la jumla

Niulize chochote kuhusiana na biashara ya duka la jumla

Self ya duka la jumla hapa wameweka Simple za bidhaa wanazouza
FB_IMG_1620657449207.jpg
 
naomba kujua je wanamenge vp inventory/stoke kama umeajiri watu..
je wanatumia software yyte katika operation..
au inakuwa raisi tu watu kuuza bila udanganyifu endapo muusika haupo sn hp kazi.
na je distribution kwa wateja wako unawapekekea au wanakuja kuchukua tu hpo dukani
 
naomba kujua je wanamenge vp inventory/stoke kama umeajiri watu..
je wanatumia software yyte katika operation..
au inakuwa raisi tu watu kuuza bila udanganyifu endapo muusika haupo sn hp kazi.
na je distribution kwa wateja wako unawapekekea au wanakuja kuchukua tu hpo dukani
Dunia imebadilika Sasa watu waaminifu wamebaki wachache na ukimuweka ndugu yako ndo yale yale ataiba tu

Mfuko wako ukiwa mzuri inabidi uweke camera Store na dukani hii itakusaidia pia kuongeza usalama si kwawauzaji tu hata kwa vibaka..


Pia Kuna Software unaweza ukaweka yenye record nzima ya bidhaa ulizokua nazo Store so kila siku unapokea date zamauzo hapo itakupa urahisi wakujua idadi ya bidhaa ulizonazo store...



Ukifanya ukaguzi kwenye store ukibaini System inakwambia mfano Unga uliingiza viroba 100 tarehe 12 Hadi tarehe 15 umeuza viroba 60 kwahiyo store unatakiwa ukute viroba 40 ikiwa tofauti na hapo jamaa wamepigaa


Kwenye issue ya mauzo inabidi uwe na office yenye location ya mzunguko wa watu wateja wanakuja wenyewe kufata bidhaa

Nimeona sehemu baadhi wanafanya delivery ukiwa na usafili unaweza pia kufanya delivery
 
Naomba nielekeze being za jumla za azam energy na mo energy nikitaka kununua na kuuza jumla inakuaje?
 
Dunia imebadilika Sasa watu waaminifu wamebaki wachache na ukimuweka ndugu yako ndo yale yale ataiba tu

Mfuko wako ukiwa mzuri inabidi uweke camera Store na dukani hii itakusaidia pia kuongeza usalama si kwawauzaji tu hata kwa vibaka..


Pia Kuna Software unaweza ukaweka yenye record nzima ya bidhaa ulizokua nazo Store so kila siku unapokea date zamauzo hapo itakupa urahisi wakujua idadi ya bidhaa ulizonazo store...



Ukifanya ukaguzi kwenye store ukibaini System inakwambia mfano Unga uliingiza viroba 100 tarehe 12 Hadi tarehe 15 umeuza viroba 60 kwahiyo store unatakiwa ukute viroba 40 ikiwa tofauti na hapo jamaa wamepigaa


Kwenye issue ya mauzo inabidi uwe na office yenye location ya mzunguko wa watu wateja wanakuja wenyewe kufata bidhaa

Nimeona sehemu baadhi wanafanya delivery ukiwa na usafili unaweza pia kufanya delivery
sawa nimekupata vzur asant
 
Back
Top Bottom