Niulize chochote kuhusu afya ya kinywa na meno, nitakujibu

Ukiamka asubuhi kinywa kikatoa damu, tatizo laweza kuwa nini???
 
Ukiamka asubuhi kinywa kikatoa damu, tatizo laweza kuwa nini???
Moja utakuwa na Tatizo la Magonjwa Ya Fizi Hivyo unahitaji kufanya Uchunguzi wa Kinywa Chako ili kubaini tatizo na kupatiwa matibabu , Unaweza wasiliana nami PM
 
mimi ni docta wa menoo na fiziii....natumiaa mafi ya mbuzii na pundaa...matokeo yako vizuriii....ingineni kwenye pm
Kaka naomba msaada kaka hali yangu ni ngumu leo siku ya tatu silali jino linauma vibaya mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…