Hongera sana mkuu, tena sananilianza na Kati tano nimiez sita Sasa View attachment 2399306View attachment 2399307
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana mkuu, tena sananilianza na Kati tano nimiez sita Sasa View attachment 2399306View attachment 2399307
Ulianzia na mtaji wa shi. Ngapi?nilianza na Kati tano nimiez sita Sasa View attachment 2399306View attachment 2399307
Shukrani kwa angalizo, umakini kama upi mkuu, unaohitajika??Tuko pamoja Nina miezi mitano kwenye biashara hii faida ipo sema inahitaji umakini mkubwa Sana la sivyo unafunga biashara
Hivi ni kwa nini maduka asilimia 99 mmechakachua mizani? Kwa nini huwa mnatafuta faida ya dhuluma?Habari wakuu:
Nafanya biashara ya duka la rejareja yapata miaka 6 sasa mafanikio makubwa nimeyapata kupitia hii biashara hakika sijutii kuingia katika hii biashara.
Nakaribisha wana JF kushare nikichokua nacho kupitiaa hii biashara ya duka la rejareja pia nakaribisha wadau wenye uzoefu tubadilishane mawazo kupitiaa hii biashara ya duka la rejareja maarufu duka la mangii.
Karibuu wakuu
Laki tano bossUlianzia na mtaji wa shi. Ngapi?
Haya maduka ya reja reja huwa nashangaa kuona mbaba mwenye familia kila siku yupo dukani na maisha yanaenda lakin nikifikiria faida iliyomo nashindwa kuelewa wanawezaje kutimiza majukumu ya familia1.Nawezaje kugundua site nzuri kwa biashara hiyo?
2.vp inawezekana kufanya biashara hiyo bila ushirikina kwa uzoefu wako
3.mbona kama faida ni kidogo sana mnawezaje kupiga hatua?
Haya mafuta futa mengi sana kwenye ngazi,japo huwa yanapendezesha sana duka lakin faida yake huwa ni nzuri kwelinilianza na Kati tano nimiez sita Sasa View attachment 2399306View attachment 2399307
Tanga kubwa uko wilaya GaniTanga mkuu
Unamaanisha laki 5?nilianza na Kati tano nimiez sita Sasa View attachment 2399306View attachment 2399307
Nina mashaka kidogo juu ya wewe kufanya hiyo biasharahakuna uchawi Wala ndumba nazingatia hzi mbinu
*nafungua mapema nachelewa kufunga
*sikopeshi hata kitu Cha Mia kukopesha nikumfukuza mteja
*kuwa msafi na kupanga vitu vizuri kuhakikisha duka linavutia
*usipende tongoza tongoza wake za watu na wasichana wa mtaani hapo utajitengenezea sifa mbaya
*kuwa na huduma nzuri kwa kila mtu
*hakikisha unakua na bidhaa ambazo zinakutambulisha kuwa dukani kwako pekee iyo bidhaa inapatikana
* tafuta machimbo ya Bei rahisi
nilianza na Kati tano nimiez sita Sasa View attachment 2399306View attachment 2399307