herio
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,245
- 4,320
Mkuu inategemeana...unaweza ukaanza na milioni moja na ukazidi kukuza mtaji wako kwa kuongeza bidhaa dukani kwa kila mauzo unayopataVipi mtaji wa kiasi gani duka linapendeza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu inategemeana...unaweza ukaanza na milioni moja na ukazidi kukuza mtaji wako kwa kuongeza bidhaa dukani kwa kila mauzo unayopataVipi mtaji wa kiasi gani duka linapendeza?
Mkuu kama hauna roho ngumu kwenye hii biashara hutoboiNa Mimi napenda kufungua duka Ila changamoto Ni wamama hapa mtaani.
Nashindwa kabisa kuwanyima bidhaa wakija kukopa.
Inawezekama mkuu kama kaotea sehemu yenye mzunguko mzuri wa pesaUlianza na laki 5? Usitupige kamba.
Hazitumiki hizo kwenye biashara hizo zinatumika sana na motivational speakermbon ametoa hit nzur tu mashaka yako yako wapi
Kiongoz baadhi ya watu wanaiona hii business kama vile ni business yenye faida ndogo san, kiukweli hawaelewi uhalisia wa hii business, naifanya mkuu na inalipa mnooooo.Habari wakuu:
Nafanya biashara ya duka la rejareja yapata miaka 6 sasa mafanikio makubwa nimeyapata kupitia hii biashara hakika sijutii kuingia katika hii biashara.
Nakaribisha wana JF kushare nikichokua nacho kupitiaa hii biashara ya duka la rejareja pia nakaribisha wadau wenye uzoefu tubadilishane mawazo kupitiaa hii biashara ya duka la rejareja maarufu duka la mangii.
Karibuu wakuu
Umakini wa kutofautisha mtaji na faida Kuna line ndogo Sana inayotofautisha faida na mtaji so usipodhibiti matumizi yako utajikuta umeingia kwenye mtaji halafu mbaya Zaid huwezi kujua hususan ukiwa na mtaji mkubw ila utakuka kugundua vitu vingi vya muhimu vimeisha na huna pesa ya kuchukulia mzigoShukrani kwa angalizo, umakini kama upi mkuu, unaohitajika??
Mi nawekaga mkaa wa jalalan, punka(watu wa Swax wanijua), ninachana pembe kidogo.Chuma ulete unaidhibiti vipi
Mtaji no kiwango chochote Ila isiojngue 500000, (hapo n tofauti na fixed costs)Vipi mtaji kiasi cha chini kama Tsh ngapi??
AsanteHakuna uchawi Wala ndumba nazingatia hzi mbinu
*nafungua mapema nachelewa kufunga
*sikopeshi hata kitu Cha Mia kukopesha nikumfukuza mteja
*kuwa msafi na kupanga vitu vizuri kuhakikisha duka linavutia
*usipende tongoza tongoza wake za watu na wasichana wa mtaani hapo utajitengenezea sifa mbaya
*kuwa na huduma nzuri kwa kila mtu
*hakikisha unakua na bidhaa ambazo zinakutambulisha kuwa dukani kwako pekee iyo bidhaa inapatikana
* tafuta machimbo ya Bei rahisi
Jinsia ya kike n tatizo kwa kweli ktk hii biashara, hata Mimi nakumbaka nao sana ktk vishawishiNa Mimi napenda kufungua duka Ila changamoto Ni wamama hapa mtaani.
Nashindwa kabisa kuwanyima bidhaa wakija kukopa.
Nakuunga mkono mkuu. Mimi nimejitahidikufanya hivyo hadi nyanya, matembele, gesi, bia, unga, mchele, kvant, vocha, wakala humohumo ndani ya frem moja. Nimeteka huu mtaa[emoji23][emoji23]View attachment 2401745View attachment 2401746View attachment 2401747View attachment 2401748View attachment 2401749View attachment 2401750Hakuna uchawi Wala ndumba nazingatia hzi mbinu
*nafungua mapema nachelewa kufunga
*sikopeshi hata kitu Cha Mia kukopesha nikumfukuza mteja
*kuwa msafi na kupanga vitu vizuri kuhakikisha duka linavutia
*usipende tongoza tongoza wake za watu na wasichana wa mtaani hapo utajitengenezea sifa mbaya
*kuwa na huduma nzuri kwa kila mtu
*hakikisha unakua na bidhaa ambazo zinakutambulisha kuwa dukani kwako pekee iyo bidhaa inapatikana
* tafuta machimbo ya Bei rahisi
watu wanabisha baada ya kusema nimeamza na laki tano labda mnapaswa kutambue tu biashara no location sehem niliyopo ni location nzur tu kuuza laki mbili kushika laki na nusu ni kawaida afu iyo hela ya mauzo unachukua mzigo mwingine unaweka dukani hakikisha unakua na displine ya pesa maana pesa unayouza dukani ni ya mtaji faida yako ni ndogo Sana.Mauzo yako ya wastani kwa siku ni shingapi mkuu tangu umeanza chaz beezz
Hongera mzee naona mpaka dawa tatu hapoNakuunga mkono mkuu. Mimi nimejitahidikufanya hivyo hadi nyanya, matembele, gesi, bia, unga, mchele, kvant, vocha, wakala humohumo ndani ya frem moja. Nimeteka huu mtaa[emoji23][emoji23]View attachment 2401745View attachment 2401746View attachment 2401747View attachment 2401748View attachment 2401749View attachment 2401750View attachment 2401751
Kiboko ya maumivu ina paracetamol ndani yakeHongera mzee naona mpaka dawa tatu hapo
Duhhh yaani hii biashara kumwajiri mtu na kumdhibiti sio rahisi kwakweli unatakiwa wewe usimamieJe kama umempa mtu auze vitu ni njia gani rahis ya kumthibit awe makin asipoteze au kukopesha bidhaa bila kukumbuka?