Niulize Chochote kuhusu DUCE

Niulize Chochote kuhusu DUCE

Msitari wa pambizo

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2014
Posts
3,098
Reaction score
5,451
Hallow wana jamvi kwa wale ambao wamechaguliwa kuja kuwa student teachers kama mimi na wale wote wanahtaji kufahamu kuhusu chuo hiki cha Dar Es Salaam University College Of Education(DUCE) nitajitahidi kadri ya uwezo wangu kuwajibu. KARIBUNI
 
vip gharama za maisha hapo, yaani msosi na etc, pia hostel zipo za kutosha
 
join instruction vp?na jumla ya michango yote ina coxt ngap?pia direct cost ni kiac gan mkuu?naomba ufafanuzi
 
Hallow wana jamvi kwa wale ambao wamechaguliwa kuja kuwa student teachers kama mimi na wale wote wanahtaji kufahamu kuhusu chuo hiki cha Dar Es Salaam University College Of Education(DUCE) nitajitahidi kadri ya uwezo wangu kuwajibu. KARIBUNI

Nashukuru mkuuu nina kama maswali matatu au nne hivi

1) hostel zipo umbali gani toka chuoni na gharama zake zipoje na nitawezaje pata hostel hapo DUCE je napo report inatakiwa nije na pesa kabisa kwa ajili ya kulipia hostel maana join haijasema chochote kuhusu hostel

2) kuna sehemu kwenye join imeandikww hivi direct cost given to student wakasema stationary ni laki mbili na meal and accomodation milion moja na laki 7 hivi total ikawa milioni na laki tisa kama na 85 hiv nashindwa kuelewa hizo ni anapewa mwanafunzi au mwanafunzi anatakiwa kulipa hapo msaada.....sababu nilion direct cost given to university ilikuwa 77400 hizo nilielewa mwanafunzi anatakiww kulipa during registration

Ni hayo mkuu kaka angu kachaguliwa hapo so nime muwakilisha kwa maswali kachaguliwa BAED
 
tengi, hostel DUCE huwa hazitoshi. Jiandae kupanga hosteli maeneo ya keko, uwanja wa taifa na chang'ombe. Bei ya hosteli hizo ni wastani wa 40 elfu kwa mwezi. Vitu kama msosi ni cheap msosi wa buku unashiba vzr hiyo ndo temeke. Kama unapenda kujirusha club TCC ni karibu na hapo.
 
Direct cost ni 77,400 inabidi ulipe kwanza ndo usajiliwe. Nashauri ulipie mkoani kwako ukija kulipia dar utalala kwenye foleni.
 
vip gharama za maisha hapo, yaani msosi na etc, pia hostel zipo za kutosha

Gharama za msos ni ya kwaida kwa cafteria ya ndani chakula ni kuanzia 1200 mpaka 2000 kwa nje wali nyama ni sh 1000, kwa hostel chuo hutumia mabibo hostel, mbagala hostel na za ndani, bt za ndani kuna makundi hulengwa zaid hvyo boys wengi hupanga hostel za nje ambazo zipo karibu na chuo kwa gharama za 40000-50000
 
Nashukuru mkuuu nina kama maswali matatu au nne hivi

1) hostel zipo umbali gani toka chuoni na gharama zake zipoje na nitawezaje pata hostel hapo DUCE je napo report inatakiwa nije na pesa kabisa kwa ajili ya kulipia hostel maana join haijasema chochote kuhusu hostel

2) kuna sehemu kwenye join imeandikww hivi direct cost given to student wakasema stationary ni laki mbili na meal and accomodation milion moja na laki 7 hivi total ikawa milioni na laki tisa kama na 85 hiv nashindwa kuelewa hizo ni anapewa mwanafunzi au mwanafunzi anatakiwa kulipa hapo msaada.....sababu nilion direct cost given to university ilikuwa 77400 hizo nilielewa mwanafunzi anatakiww kulipa during registration

Ni hayo mkuu kaka angu kachaguliwa hapo so nime muwakilisha kwa maswali kachaguliwa BAED

1:fedha Unayotakiwa uje nayo inategemea na mkopo umepata kias gan bt direct cost ni 77400(kama hauna bima) manake iyo hela ina include bima, exams fee, identity card na daruso.
 
Nashukuru mkuuu nina kama maswali matatu au nne hivi

1) hostel zipo umbali gani toka chuoni na gharama zake zipoje na nitawezaje pata hostel hapo DUCE je napo report inatakiwa nije na pesa kabisa kwa ajili ya kulipia hostel maana join haijasema chochote kuhusu hostel

2) kuna sehemu kwenye join imeandikww hivi direct cost given to student wakasema stationary ni laki mbili na meal and accomodation milion moja na laki 7 hivi total ikawa milioni na laki tisa kama na 85 hiv nashindwa kuelewa hizo ni anapewa mwanafunzi au mwanafunzi anatakiwa kulipa hapo msaada.....sababu nilion direct cost given to university ilikuwa 77400 hizo nilielewa mwanafunzi anatakiww kulipa during registration

Ni hayo mkuu kaka angu kachaguliwa hapo so nime muwakilisha kwa maswali kachaguliwa BAED

Mkuu hlo swali la pili, hizo ni stahiki ambazo atatakiwa apewe mwanafunzi anaedhaminiwa na loanboard, so usihofu
 
join instruction vp?na jumla ya michango yote ina coxt ngap?pia direct cost ni kiac gan mkuu?naomba ufafanuzi

mkuu kwa hahat mbaya simu yangu haina uwezo wa kukutumia even through email bt kama ukiweza inapatikana kwenye web ya udsm, kuhusu direct cost kuna mtu nimemjibu hapo nafkir majibu hayo yatakufaa na wew
 
Ushauri wa bure hakikisha unaenda chuo na pesa ya kutosha kwa ajili ya kulipa ada, direct cost na hostel...pia ya kujikimu kwa siku chache maana hupewi boom hadi ukamilishe usajili, na usajili unakamilika baada ya kulipa kila kitu...

All the best
 
Back
Top Bottom