Niulize Chochote kuhusu DUCE

Niulize Chochote kuhusu DUCE

Kama tukilipia huku mikoani hiyo namba ya usajili tutaijuaje?

Namba ya usajili ipo kwenye admission letter ambayo inapatikana chuo. Mimi nashauri usilipie kabla hujafika chuo mpaka upate barua yako na ujue kama umepata mkopo na kama umepata mkopo ujue unatakiwa kulipia sh ngapi?
 
Mi naomba kujua kuna mazoea gani kati ya wasichana wa duce na wanajeshi wa mgulani pale maana kuna dada yangu mwaka jana alipewa mimba na mwanajeshi wa pale na akajifungua kipindi cha ue so akaairisha mwaka na kuna mdogo wangu anakuja duce so nataka nimpe mwangaza kuhusu mahusiano yaliyopo kati ya hao wanajeshi na dada zetu.
 
Mi naomba kujua kuna mazoea gani kati ya wasichana wa duce na wanajeshi wa mgulani pale maana kuna dada yangu mwaka jana alipewa mimba na mwanajeshi wa pale na akajifungua kipindi cha ue so akaairisha mwaka na kuna mdogo wangu anakuja duce so nataka nimpe mwangaza kuhusu mahusiano yaliyopo kati ya hao wanajeshi na dada zetu.

Hayo ni mambo binafsi na mapenzi ya mtu wala hayana uhusiano wa moja kwa moja na chuo. Mtu anaweza kuwa na yoyote ampendaye ili mradi anajua anafanya nini, wapi, na katika mazingira ngani.
 
Nisaidie tofauti kati ya bsc in education na bsc with education

mkuu unaposema IN maana yake unachukua teaching subject moja wakat unaposema WITH unachukua teaching subject 2 bt anaechukua IN anasoma coarse za education nyng tofaut na yule wa WITH
 
Hallow wana jamvi kwa wale ambao wamechaguliwa kuja kuwa student teachers kama mimi na wale wote wanahtaji kufahamu kuhusu chuo hiki cha Dar Es Salaam University College Of Education(DUCE) nitajitahidi kadri ya uwezo wangu kuwajibu. KARIBUNI

vp madanguro ya karibu huko duce yako sehemu gan!
 
Ukitaka kuandika barua ya kuomba kazi..inaenda kwa nani na s.l.p yake
 
Back
Top Bottom