Ushauri wa bure hakikisha unaenda chuo na pesa ya kutosha kwa ajili ya kulipa ada, direct cost na hostel...pia ya kujikimu kwa siku chache maana hupewi boom hadi ukamilishe usajili, na usajili unakamilika baada ya kulipa kila kitu...
All the best
Hallow wana jamvi kwa wale ambao wamechaguliwa kuja kuwa student teachers kama mimi na wale wote wanahtaji kufahamu kuhusu chuo hiki cha Dar Es Salaam University College Of Education(DUCE) nitajitahidi kadri ya uwezo wangu kuwajibu. KARIBUNI[/
Ushauri wa bure hakikisha unaenda chuo na pesa ya kutosha kwa ajili ya kulipa ada, direct cost na hostel...pia ya kujikimu kwa siku chache maana hupewi boom hadi ukamilishe usajili, na usajili unakamilika baada ya kulipa kila kitu...
All the best
Ushauri wa bure hakikisha unaenda chuo na pesa ya kutosha kwa ajili ya kulipa ada, direct cost na hostel...pia ya kujikimu kwa siku chache maana hupewi boom hadi ukamilishe usajili, na usajili unakamilika baada ya kulipa kila kitu...
All the best
Hostel za Mbagara zipo sehem gani?
sasa kama loanbod inanilipia asilimia 100 na ninahtajika kulipa ada ili kukamilisha usajili, je nikilipa na loanbod wakatoa mkopo wao nitarudishiwa ile niliyolipa?
Vp kuna watoto wazuri apo
JE, wanafunzi wa Duce wameacha kujifanya wanasoma UDSM wakiulizwa mtaani?
sasa kama nikilipa na ada let say kwa semister 1, boom likitoka watanirudishia?
vip wapo ma-lecturer wakuda wengi au?
JE, wanafunzi wa Duce wameacha kujifanya wanasoma UDSM wakiulizwa mtaani?
naomba link ya undergraduate selected applicants ya DUCE 2014/'15