Inavujisha oil kwenye combustion chamber pole pole sana; inabidi ikaguliwe. Kwa dalili hizo, mshukiwa mkubwa anweza kuwa ni valve seatsGari yangu ina tatizo kama hili la oil kupungua,
Haina changamoto yoyote kwenye speed au nguvu.
Tatizo wakati wa kuiwasha asubh kama itakuwa imekaa siku bila kuiwasha inatoa moshi na pop sound.
Nadhani hizo old models zinatumia timing belt na hilo linaweza kuwa ndiyo tatizo lako; hizi models za siku hizi zinatumia timing chain. Kagua kama ina timing belt, basi ndiyo inayolalamika inataka kwenda kulala.Wakuu na mafundi wa magari naombeni msaada wenu wa kina, nina gari yangu Premio Old model NZT240 gari ya 2007 engine ya 1NZfe imekutana na tatizo ambalo sielewi, Ina tetemeka na kuzima ikiwa kwenye mwendo, tumeshabadili Plug, fuel pump, Airflow sensor lakini tatizo liko pale pale, Nini kifanyike ili kuweza kutatua tatizo Hilo? gari ipo dodoma na Kama Kuna fundi mzr zaidi kwa dodoma mnisaidie niweze kumfikia na kutatua tatizo Hilo Ahsanteni sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana mkuu ngoja niipeleke kwa fundi waikague nitaleta mrejesho hapaNadhani hizo old models zinatumia timing belt na hilo linaweza kuwa ndiyo tatizo lako; hizi models za siku hizi zinatumia timing chain. Kagua kama ina timing belt, basi ndiyo inayolalamika inataka kwenda kulala.
Timing belt zipo sawa, machine imesoma code upande wa hewa ila bahati mbaya fundi aliepelekewa gari bado hakuweza kufahamu zaidi atengeneze Nini, gari inaandaliwa utaratibu wa kuja dar pengine tunaweza kutatua hilo tatizo kwa hukuNadhani hizo old models zinatumia timing belt na hilo linaweza kuwa ndiyo tatizo lako; hizi models za siku hizi zinatumia timing chain. Kagua kama ina timing belt, basi ndiyo inayolalamika inataka kwenda kulala.
Timing belt zipo sawa, machine imesoma code upande wa hewa ila bahati mbaya fundi aliepelekewa gari bado hakuweza kufahamu zaidi atengeneze Nini, gari inaandaliwa utaratibu wa kuja dar pengine tunaweza kutatua hilo tatizo kwa huku
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaalam naomba contacts zako za whatsappImesoma code namba gani?
Kama Airflow Sensor ni mpya, Fuel Pump nimMpya, na nina imani Alternator inafanya kazi sawasawa ama sivyo baada ya muda gari lisingekuwa lina start, basi jaribu kuangalia Manifold Absolute Pressure (MAP) Sensor. Mara nyingi MAP sensor inapokufa utakutana na tatizo kama lako pia.
System turinImesoma code namba gani?
Kama Airflow Sensor ni mpya, Fuel Pump nimMpya, na nina imani Alternator inafanya kazi sawasawa ama sivyo baada ya muda gari lisingekuwa lina start, basi jaribu kuangalia Manifold Absolute Pressure (MAP) Sensor. Mara nyingi MAP sensor inapokufa utakutana na tatizo kama lako pia.
IST Ukiwasha AC gari ikiwa imesimama inatetemeka sana ila ikiwa kwenye mwendo au ukiweka handbrake husikii mitetemo...!! je tatizo ni nini??
Sawa boss!Nikumbushe tena baada ya mwaka mpya kwa vile sasa hivi niko kwenye mithani, na nikimaliza mitahani sitakwenda kwenye karakaraka yetu kwani itakuwa imefungwa kwa ajili ya Krismas hadi tarehe 3 January.
Peugeot 504 pick upUsishangae kuhusu utambulisho huu. Mimi sasa ni ASE Certified Service Consultant wa magari madogo yanayotumia petroli hasa ya Ford, GM, na Chrysler.
Nimepata license yangu hivi majuzi tu mwaka huu baada ya kuitafuta kwa muda kidogo through part-time activities kwani hiyo siyo kazi yangu kuu.
Certification hiyo inahitaji siyo tu kufaulu mtihani wake, lakini pia uwe na uzoefu wa kutosha kwenye auto-repair shop.
Nimekamilisha experience hiyo inayotakiwa mwaka huu na kupata license yangu.
Kwa vile injini nyingi za petroli zinafanana katika utendaji, jisikie free kuniuliza swali lolote kuhusu matatizo ya injini ya gari yako model yoyote inayotumia mafuta ya petroli.
Siahidi kuwa majibu yangu yote yatakuwa ni sahihi, lakini sehemu kubwa itakuwa ni sahihi, na hata yale ambayo hayatakuwa sahihi yanaweza kukusadia kujua wapi pa kuanzia.
Niliwahi kupata changamoto kama hii hasa nikiwa kwenye foleni na nimewasha AC. Tulikuja kugundua kuwa engine mounts kama mbili zilikuwa zimechoka na kukatika. Baada ya kufunga mpya, tatizo likapotea.IST Ukiwasha AC gari ikiwa imesimama inatetemeka sana ila ikiwa kwenye mwendo au ukiweka handbrake husikii mitetemo...!! je tatizo ni nini??
Nimeshindwa kuitafsiri hii. Msaada.Habari mkuu
Nataka kubadili ATF kwenye 2NZ, dukani nimekuta galoni za lita nne na naona hapo mtandaoni wanasema zinawekwa 5.6 je, nini cha kufanya au kipi sahihi?View attachment 2847148
Ninamaanisha hii attachment.Nimeshindwa kuitafsiri hii. Msaada.
Habari bwana Kichuguu. Uliniahidi baada ya sikukuu za mwisho wa mwaka nikukumbushe juu ya manual ya kiingereza ya gari tajwa hapo juu. Nadhani huu ndo muda mwafaka. Ahsante.Mimi yangu ni Toyota Succeed.
Model code: NCP59G-FWPLK
Vin: NCP590003329
Product date: 2002/10
Nitafutie hiyo manual ya kiingereza. Halafu niambie niandae kiasi gani?
Asante, ngoja niipeleke kwa fundiInavujisha oil kwenye combustion chamber pole pole sana; inabidi ikaguliwe. Kwa dalili hizo, mshukiwa mkubwa anweza kuwa ni valve seats
Habari bwana Kichuguu. Mimi nakumbushia tu ahadi uloniahidi. Uliniahidi baada ya sikukuu za mwisho wa mwaka nikukumbushe juu ya manual ya kiingereza ya gari tajwa hapo juu. Nadhani huu ndo muda mwafaka. Ahsante.Habari bwana Kichuguu. Uliniahidi baada ya sikukuu za mwisho wa mwaka nikukumbushe juu ya manual ya kiingereza ya gari tajwa hapo juu. Nadhani huu ndo muda mwafaka. Ahsante.