Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

Gari inshtuka ikiwa inachange gear mostly gear 2 to 3 engine ni 2NZ. Naomba kujua tatizo linaweza kua nini?
 
Wakuu habarini, naomba msaada huu, nini kitakujuilisha kma tubo ya gari yako imekufa? Je mlio utabadilika , au gari haitokuwa na nguvu? Sababu imenitokea saiv kwamba gari hana nguvu hata kupanda kilima, na mlio umebadilika, .
 
Gari inshtuka ikiwa inachange gear mostly gear 2 to 3 engine ni 2NZ. Naomba kujua tatizo linaweza kua nini?
Nitakujibu vizuri baadaye. Natumai ni Autotransmission. Je ina mileage kiasi gani?
 
Mkuu gari yangu ya IST nikiamka asubuhi nikiiwasha inakuwa kama vile inajiresi kwa mda then injini ikipata moto inakuwa sawa itakuwa na tatizo gani?au ikipowa ukiwasha inajiresi ikipata moto inakuwa sawa

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ingekua kawaida gari zote zingekua hivyo
Kishasema gari akiwasha asubuhi inakuwa hivyo. RPM inakuwa juu kwa sababu injini inahitaji kupata optimal temperature ili ifanye kazi kwa usahihi. Na inapopata joto, mvumo huo au mzunguko wa RPM hushuka chini hadi kwenye kiwango kinachotakiwa. Hapa inategemea kama ni 650rpm, 700rpm, n.k.

Nina assume injini yake ni 2NZ-FE au 1NZ-FE ambazo hicho kitu ni kawaida. Mimi nina 1ZZ-FE na hiyo ni hali ya kawaida. Ninapowasha gari asbh, RPM hupanda kati ya 1500rpm hadi 2000rpm. Kisha baadae hushuka hadi 750rpm.

Haya, tupe uzoefu wa injini uliyonayo. Sio kosa kuwa tofauti.
 
Mkuu gari yangu ya IST nikiamka asubuhi nikiiwasha inakuwa kama vile inajiresi kwa mda then injini ikipata moto inakuwa sawa itakuwa na tatizo gani?au ikipowa ukiwasha inajiresi ikipata moto inakuwa sawa

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

Kuna sababu kadhaa zinazoweza kusababisha hali hiyo, ila iwapo inajitokeza wakati wa engine kustart tu halafu inatoweka injini haijiresi tena mpaka mwisho wa safari, basi tatizo lako kubwa litakuwa ni "idle air control valve" ambayo ni chafu. Huna haja ya kuibadilisha kwani huwa zinadumu muda mrefu sana na zinasafishika. Tafuta fundi mzuri akusafishie. Unaweza kuhitaji gasket mpya baada ya kuifungua na kuisafisha.

Madhara ya kutorekebisha tatizo hilo ni the long term injini itaanza ku-knock pole pole na hivyo kuzalisha matatizo mengine yanaweza kuharibu injini zaidi.

Kishasema gari akiwasha asubuhi inakuwa hivyo. RPM inakuwa juu kwa sababu injini inahitaji kupata optimal temperature ili ifanye kazi kwa usahihi. Na inapopata joto, mvumo huo au mzunguko wa RPM hushuka chini hadi kwenye kiwango kinachotakiwa. Hapa inategemea kama ni 650rpm, 700rpm, n.k.

Nina assume injini yake ni 2NZ-FE au 1NZ-FE ambazo hicho kitu ni kawaida. Mimi nina 1ZZ-FE na hiyo ni hali ya kawaida. Ninapowasha gari asbh, RPM hupanda kati ya 1500rpm hadi 2000rpm. Kisha baadae hushuka hadi 750rpm.

Haya, tupe uzoefu wa injini uliyonayo. Sio kosa kuwa tofauti.
Hata ya kwako ina matatizo; soma jibu nililompa ujue cha kufanya.
 
Kuna sababu kadhaa zinazwoeza kusababisha hali hiyo, ila iwapo inajitokeza wakati wa engine kustart tu halafu inatoweka mpaka mwisho wa safari injini haijiresi tena, basi tatizo lako kubwa litakuwa ni "idle air control valve" ambaypo ni chafu. Huna haja ya kuibadilisha kwani huwa zinadumu muda mrefu sana na zinasifishika. Tafuta fundi mzuri akusafishie. Unaweza kuhitaji gasket mpya baada ya kuifungua na kuisafisha.

Madhara ya kutorekebisha tatizo hilo ni the long term injini itaanza ku-knock pole pole na hivyo kuzalisha matatizo mengine yanaweza kuharibu injini zaidi.


Hata ya kwako ina matatizo; soma jibu nililompa ujue cha kufanya.
Nitafanya hivyo, ingawa haina hata miezi 2 tangu isafishwe kwa kutumia WD-40 spray.
 
Mkuu Kichuguu gari yangu ilionyesha check engine baada ya kufanya diagnosis kwenye mashine ilileta majibu apo chini ile baada ya kuclear aionyeshi tena ni mwezi wa pili sasa, pia nikiwa naendesha ikifika speed 100 inakua inatetemeka hasa stearing na ikivuka 120 inatulia kabisa,, je shida inaweza kua nini na nifanye nini? Gari ni subaru Asante
66435FFA-CAD7-4D6F-A3BC-25873A71B3B6.jpeg
 
Gari inshtuka ikiwa inachange gear mostly gear 2 to 3 engine ni 2NZ. Naomba kujua tatizo linaweza kua nini?
Hilo ni tatizo la transmission na unahitaji mtaalamu wa transmission box aikague. Vitu vya kuanzia ni iwapo gari ina milage ndefu basi unaweza kutakiwa kubadili transmission fluid pamoja na filter yake. Kwa bahati mbaya magari mengi ya siku hizi yako designed kuwa transmission fluid haibadilishiwi lakini hiyo inachukulia kuwa gari lina maisha ya miaka 20 au maili 200,000 tu. Iwapo gari lako linazidi maili 180,000 basi fikiria overaul ya transmission box kwa kubadili ATF na filter. Kazi hiyo inahitaji umakini sana kwani fundi akikosea basi utalazimika kubadili hata Torque converter.

Sababu nyingione ndogo ambayo tumeona inaweza kukusabbishisha matatizo hayo ni iwapo alternator yako inafanya kazi vizuri. Mafundi wa kawaida hawawezi kuamini lakini alternator inapopongua nguvu husababisha zile valves zilzoomo kwenye transmission zisipate umeme wa kutosha na hivyo zisifunguke sawasawa na kusababisha kero hiyo hata kama sehemu nyingine za gari zinapata umeme wa kutosha
 
Hili tatizo linataka kufanana na langu kabisa. Ila gari ni tofauti.
Mimi gari ikiwa imepoa, haiwaki kwa trial moja, inasumbuka sana kudaka.

Ila ukizima na kuwasha muda huo huo, jino moja. Kama imepoa ila sio sana utaisikia inahangaika na mwishoni inadaka. Ikipoa kabisa ni lazima uwashe mara mbili au tatu
Nina gari Toyota premio likipoa nikiwa naliwasha mshale wa silencer hupanda alafu unashuka mpaka zero na huzimika sanasana wakati wa asubuh mpaka niliwashe tena na linaanza kumis mpaka litulie tatizo linaweza kuwa nini naomba msaad
 
Back
Top Bottom