Mkuu salama?
Nina gari Suzuki grand escuodo ya 2001 H27. Ilianza tatizo la kutowaka taa ya 4WD ukiingiza, fundinakaunga direct. Baadae tena silencer inakuwa chini kila mara hata ukiiongezea, tena ikiwashan AC inashuka badala ya kupanda, tatizo linaongezeka kila kukicha, mafundi wananiambia wakachezea na control box kuna umeme hauji eti kwenye sensor.
Pia inapoteza nguvu, hili huenda kwa ajilibya catalytic converter kutolewa unga niliwahi kukuuliza sijapata nyingine. Je, shida ya rpm kushuka hadi gari kuwa inazima nini tatizo?