Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

Habari kiongozi.
Nina tatizo kubwa saaana nahitaji msaada wako,

Nina gari IST ya 2006 old model, cc1290
Nilipitisha muda wa oil hadi ukoko ukanasia kwenye sample tukasafisha na petrol tukamwaga nikaweka filter mpya na oil mpya...

Nikatembelea kwa week tatu oil mpya yoote ikapotea kwenye gari na hakuna leakage yoyote.... Gari ikawa inatoa moshi mkubwa saaana mweupe huku inalia mlio km wa cherehani.

Nikaenda kwa fundi akakagua gari akasema service ni ya Overhaul gesket seal zoote na piston Ring. Kwa kuwa ilikuwa ugenini mbali na dar nikamuuliza km naweza tembea nayo nikafanye servic dar akasema ndio ila niwe nahakikisha oil inakuwa level... Nikajaza oil, nikachenj plug zilikua zinamis nikaanza safari ya km 600 non stop......

Nafika nyumban tu taa ya engine kupata joto ikawaka... Nikaenda kwa vitu akasema oil haiusian na nikaipima oil iko sawa haijapangua... Cooling system yoote nikiwa na maana feni, motor, radiator zipo poa ila ukijaza maji ukitembea km 8 tu inachemsha vibaya mno na maji yoote yamekata... Tukahisi ni thermostat ikatolewa lakini shida ndio ile ile hakuna kilichosaidia... (]Msaada wako mkuu)


Kingine, kuhusu izo gasket seal sijui valve na piston ring nimeambiwa ni gharama kubwa sana ni zaid ya laki 3 na kwa engine ndogo kufanya hvyo ni kuipoteza kabisa engine kwan hakuna vifaa original hvyo nimeshauriwa iyo engine niitupe kabisa ili ninunue engine mpa mswaki toka japan iwekwe ambayo pia ni gharama zaidi... Sasa kwa ushauri wako kitaalamu tunafanya vipi hii issue, usawa mgumu gari haitembei na ndio source ya income.

Msaada wakubwa
Mkuu inshort huna engine,nenda nunua engine swaki weka...hiyo engine yako hata uki overhaul utapoteza pesa tu..kifupi ni kwamba Kwanza engine yako umesha ua head gaskets na probably cylinder head imepinda kabisa because of overheating, so engine inachanganya maji na oil na vyote vinachomwa kwenye combustion chamber ndo maana waona moshi,, lakini pia yawezekana rings za pistons zimekufa so hata compression ni ndogo lakini pia rings zina ruhusu oil kupanda kwenye combustion chamber kwakua hazifanyi kazi yake ya ku seal..

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Okey... Na mswaki kikawaida inakua safi kabisa au ndio la mentali tu kujaribu jaribu... Afu makadilio kama ngap hivi??? Na maeneo gani kati ya ilala na tandale ni uhakika??
Usije enda nunua injini tandare mkuu, 90% ni mbovu... Nenda ilala kwa wapemba wanao import from Dubai..au kuna wajapan pale ilala wana gereji yao inaitwa Yokohama utapata injini kinanda...chuguza isiwe na carbon kwenye top cover ya injini au kifuniko cha oil..pia kama utaona upande wa exhaust kukiwa na uweusi mwingi busi usiinunue hiyo injini kwakua inakua inachoma oil nyingi..

And next time ukisha rekebisha gari yako hakikisha una badill oil after every 3000km or 4000 km kama watumia fully synthetic oil...nakama watumia mwaka mzima kutembea km 4000 basi kila badili oil after 6months.

Pia kama ni mtu wa trip fupi fupi unazima na kuwasha gari frequently...basi oil pia uchoka haraka kwa design hii ya matumizi ya gari kwakua wakati wa kuwaka gari umwaga mafuta mengi, so kuna mafuta hupenda kwenye piston rings na kwenda kwenye sump ya oil na ku-contaminate oil..but ya hapo oil hu breakdown..

Sasa ukiweka na oxidation because of excessive engine temperature, baada ya muda ile oil uanza kutengeneza mabonge bonge kama uji..hikifikia hali hii. Huu uji hung'ang'ania rings za oil, huziba njia za oil, oil filter pia huziba, pia rings ziki ng'ang'ania kwa muda mrefu sehemu moja then huanza kuchimba cylinder walls sasa hapa ndo utakuta piston zina anza kucheza cheza, gari ina anza toa moshi mweusi, compression inashuka gari inakosa nguvu au inakua na miss nyingi zisizo isha, pia kwakua njia za oil zimeziba basi utakuta na taa ya oil inawaka kwakua oil pressure ni ndogo kwenye injini hence excessive wear because lubrication is not enough..hapa ndo vyuma uanza kusagana na vvti system kushindwa kufanya kazi kwakua vvti inahitaji oil pressure kufanya kazi..ndo una anza sikia gari inaunguruma kama cherehani na miungurumo mingine ya ajabu ajabu...

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mazaga yako yapo fresh kiongozi, issue ya engine kuwa heat ilikua fan inazunguka kinyume kwa iyo nimegeuza tu switch imeacha.....

Msala ni hii issue ya gasket seal na piston ring,. Gari inatoa moshi mweupe hadi watuwanakimbia... Fundi anasema servic inagusa hadi laki 4, huku mswaki engine nilaki 8+...

Na overhaul ya engine kwa gari ndogo ni mbaya anasema... Bora kuweka engine mpya ndio nimepagawa natafuta njia mbadala
Engine kinanda used 1NZ kutoka japan ni karibia milioni mbili kutoka befoward na hapa bongo zipo kibao tu for a lower price. Kwaio chagua ww tu, au fanya overhaul ila uende kwa mafundi wasafi wanaoipenda nakuijua kazi yao tu. Lakini Kutoboka mfuko ni muhimu
 
Kwanza hongera kwa kuamua kuwa msaada kwa wengine,Nina shida inakera sana katika gari yangu.
Gari yangu ni RunX huwa inatabia ya kujizima nikiwa barabaran,imenisababishia ajali mara moja na zingine nanusurika tu kwa maana gari hujizima nikiwa katika motion.
Nimejaribu kutafuta muafaka kwa sasa naelekea kukata tamaa,maana nimenunulishwa pump mpya bado tatizo lipo tu,mara naambiwa plug mara naambiwa umeme yaan shaghala baghala.

Naomba msaada wako au ushauri wa kitaalamu ili niepukane na keto hii maana kwa sasa Sina Raha kabisa na gari .
Mkuu Gari Yako inajizima ukiwa umewasha AC au umezima AC Tuanzie Hapo Ntakupa Jibu na je ikijizima Si unawasha tu fresh
 
Usije enda nunua injini tandare mkuu, 90% ni mbovu... Nenda ilala kwa wapemba wanao import from Dubai..au kuna wajapan pale ilala wana gereji yao inaitwa Yokohama utapata injini kinanda...chuguza isiwe na carbon kwenye top cover ya injini au kifuniko cha oil..pia kama utaona upande wa exhaust kukiwa na uweusi mwingi busi usiinunue hiyo injini kwakua inakua inachoma oil nyingi..

And next time ukisha rekebisha gari yako hakikisha una badill oil after every 3000km or 4000 km kama watumia fully synthetic oil...nakama watumia mwaka mzima kutembea km 4000 basi kila badili oil after 6months.

Pia kama ni mtu wa trip fupi fupi unazima na kuwasha gari frequently...basi oil pia uchoka haraka kwa design hii ya matumizi ya gari kwakua wakati wa kuwaka gari umwaga mafuta mengi, so kuna mafuta hupenda kwenye piston rings na kwenda kwenye sump ya oil na ku-contaminate oil..but ya hapo oil hu breakdown..

Sasa ukiweka na oxidation because of excessive engine temperature, baada ya muda ile oil uanza kutengeneza mabonge bonge kama uji..hikifikia hali hii. Huu uji hung'ang'ania rings za oil, huziba njia za oil, oil filter pia huziba, pia rings ziki ng'ang'ania kwa muda mrefu sehemu moja then huanza kuchimba cylinder walls sasa hapa ndo utakuta piston zina anza kucheza cheza, gari ina anza toa moshi mweusi, compression inashuka gari inakosa nguvu au inakua na miss nyingi zisizo isha, pia kwakua njia za oil zimeziba basi utakuta na taa ya oil inawaka kwakua oil pressure ni ndogo kwenye injini hence excessive wear because lubrication is not enough..hapa ndo vyuma uanza kusagana na vvti system kushindwa kufanya kazi kwakua vvti inahitaji oil pressure kufanya kazi..ndo una anza sikia gari inaunguruma kama cherehani na miungurumo mingine ya ajabu ajabu...

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Shukrani saaana mzeee hapa ni kujichanga tu kudaka mswaki mpya. .

Sasa kwa kipindi hiki vipi gari niipak au niendelee kuiburuza tu haina shida... Maana nina miez miwili mbele ya kujikusanya kupata mswaki , na gari nahitaji saana kuitumia. Vip siwez sababisha matatizo sehemu zingine??
 
Engine kinanda used 1NZ kutoka japan ni karibia milioni mbili kutoka befoward na hapa bongo zipo kibao tu for a lower price. Kwaio chagua ww tu, au fanya overhaul ila uende kwa mafundi wasafi wanaoipenda nakuijua kazi yao tu. Lakini Kutoboka mfuko ni muhimu
Kwamba bongo inakuwa rahisi kuliko japan sio. .. !?

Kutoboka hakuepukiki hapa
 
Mkuu inshort huna engine,nenda nunua engine swaki weka...hiyo engine yako hata uki overhaul utapoteza pesa tu..kifupi ni kwamba Kwanza engine yako umesha ua head gaskets na probably cylinder head imepinda kabisa because of overheating, so engine inachanganya maji na oil na vyote vinachomwa kwenye combustion chamber ndo maana waona moshi,, lakini pia yawezekana rings za pistons zimekufa so hata compression ni ndogo lakini pia rings zina ruhusu oil kupanda kwenye combustion chamber kwakua hazifanyi kazi yake ya ku seal..

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nimeiuwa engine kizembe saana... In km 100000 tu dadek... Ila ukiweka engine ingine... Ndinga si mpya kabisa
 
Kichuguu na wataalam wengine, habar ya uzima... gari yangu haionyeshi hali ya kukosa nguvu, haionyeshi taa kwamba engine imepata joto, kilakitu kipo normal... Tatizo ni coolant kuisha yote kwenye radiator na kwenye tank la coolant, kwasabab tank la coolant (linalokaa pembeni ya radiator) hilo tank limetoboka kwa juu ubavuni ni kama limetoboka na msumari, kwahio nikitembea kilometa kama 8 coolant ikipata joto inamwagika kupitia hilo tundu.... JE HAPO NAWEZA KUZIBA NA GUNDI MAALUM AU HADI NINUNUE TANK LINGINE..? JE SABABU NI NINI MPAKA HILO TANK LA COOLANT KUTOBOKA TUNDU KAM MTU KATOBOA NA MSUMARI..?
Ni PM namba yako
 
WaTz wenye fani fulani fulani hamjui kabisa customer care na hamjui namna nzuri ya kum approach mteja...
Ningeweka my contact hapa, but shida kidogo yeye ani pm namba yake ntampigia kumpa msaada to the best of my knowledge free of charge.

Kama kuna kosa basi sorry sana.

Namna ya attend cooling system issues sometimes inakua ina depend na design ya cooling system..so commenting general comments kwenye kitu probably kinahitaji specific comment ni muhimu kuwasiliana na mtoa mada husika au kuona gari ili kuona valid comment inayo endana na prevailing situation.
 
Usishangae kuhusu utambulisho huu. Mimi sasa ni ASE Certified Service Consultant wa magari madogo yanayotumia petroli hasa ya Ford, GM, na Chrysler.

Nimepata license yangu hivi majuzi tu mwaka huu baada ya kuitafuta kwa muda kidogo through part-time activities kwani hiyo siyo kazi yangu kuu.

Certification hiyo inahitaji siyo tu kufaulu mtihani wake, lakini pia uwe na uzoefu wa kutosha kwenye auto-repair shop.

Nimekamilisha experience hiyo inayotakiwa mwaka huu na kupata license yangu.

Kwa vile injini nyingi za petroli zinafanana katika utendaji, jisikie free kuniuliza swali lolote kuhusu matatizo ya injini ya gari yako model yoyote inayotumia mafuta ya petroli.

Siahidi kuwa majibu yangu yote yatakuwa ni sahihi, lakini sehemu kubwa itakuwa ni sahihi, na hata yale ambayo hayatakuwa sahihi yanaweza kukusadia kujua wapi pa kuanzia.
Mimi gari yangu Mark II 110 engine JZX110 2.5. Tatizo langu ni gari ikishawaka nikatembea kwa muda kama dakika 5 nikisimama hata kwenye taa nikianza kuondoka kuna sauti flani inajitokeza kama crrr nikikanyaga mafuta zaidi inapotea sijui tatizo ni nini Naomba unisaidie
 
Ni zaidi ya km 10000, hadi mlio wa gari ukaanza kuchenj, siku naibadili nikakuta ukoko kabisa umeganda nikafungua sample tukakwatua woote na kusafisha tukaweka ingine iliyoliwa
Kwa hiyo hata kuchek oil ulikuwa huchek?? Mbona ni mzembe hivyo,?
 
Kwa hiyo hata kuchek oil ulikuwa huchek?? Mbona ni mzembe hivyo,?
Sasa ningejuaje km oil imeisha,. Afu sio uzembe..... Utaratibu wa kila ukiamka unadip stick kupima oil kila siku sio good aiseee,. Gari mpya unaikagua kagua nini..... Dashb board ipp kukupa maelekezo
 
Usije enda nunua injini tandare mkuu, 90% ni mbovu... Nenda ilala kwa wapemba wanao import from Dubai..au kuna wajapan pale ilala wana gereji yao inaitwa Yokohama utapata injini kinanda...chuguza isiwe na carbon kwenye top cover ya injini au kifuniko cha oil..pia kama utaona upande wa exhaust kukiwa na uweusi mwingi busi usiinunue hiyo injini kwakua inakua inachoma oil nyingi..

And next time ukisha rekebisha gari yako hakikisha una badill oil after every 3000km or 4000 km kama watumia fully synthetic oil...nakama watumia mwaka mzima kutembea km 4000 basi kila badili oil after 6months.

Pia kama ni mtu wa trip fupi fupi unazima na kuwasha gari frequently...basi oil pia uchoka haraka kwa design hii ya matumizi ya gari kwakua wakati wa kuwaka gari umwaga mafuta mengi, so kuna mafuta hupenda kwenye piston rings na kwenda kwenye sump ya oil na ku-contaminate oil..but ya hapo oil hu breakdown..

Sasa ukiweka na oxidation because of excessive engine temperature, baada ya muda ile oil uanza kutengeneza mabonge bonge kama uji..hikifikia hali hii. Huu uji hung'ang'ania rings za oil, huziba njia za oil, oil filter pia huziba, pia rings ziki ng'ang'ania kwa muda mrefu sehemu moja then huanza kuchimba cylinder walls sasa hapa ndo utakuta piston zina anza kucheza cheza, gari ina anza toa moshi mweusi, compression inashuka gari inakosa nguvu au inakua na miss nyingi zisizo isha, pia kwakua njia za oil zimeziba basi utakuta na taa ya oil inawaka kwakua oil pressure ni ndogo kwenye injini hence excessive wear because lubrication is not enough..hapa ndo vyuma uanza kusagana na vvti system kushindwa kufanya kazi kwakua vvti inahitaji oil pressure kufanya kazi..ndo una anza sikia gari inaunguruma kama cherehani na miungurumo mingine ya ajabu ajabu...

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mkuu kwa kipindi hiki ambacho gari imeua gasket seal, piston na cylinder head...

Inatembea ila kuna time inatoa moshi mwingi saana.

Je naweza kuitembelea hivi hivi bila madhara ypyote!?

Na kuna njia gani ya kupunguza huu moshi?


Maaana nahitaji saana matumiz ya gari huku nikijichanga kununua mswaki
 
Samahani wadau iv normal temperature gauge ya gari inatakiwa iweje,je iwe katikati au iwe chini ya katikati?
 
Mkuu kwa kipindi hiki ambacho gari imeua gasket seal, piston na cylinder head...

Inatembea ila kuna time inatoa moshi mwingi saana.

Je naweza kuitembelea hivi hivi bila madhara ypyote!?

Na kuna njia gani ya kupunguza huu moshi?


Maaana nahitaji saana matumiz ya gari huku nikijichanga kununua mswaki
Karibu tena kwa huduma mkuu... hope una enjoy gari yako sasa baada kulitibu. Na asante kwa kutuamini.
 
Nahitaji gia boksi ya Toyota Townace van - automatiki.
Maelezo yake ni:

Make: Toyota
Model: TOWNACE
Model number: KR26
Year: 2005
Transmission : Automatic
Chassis no: KR4250045318
Engine no: GKKR42V
Engine type: 7K
 
Ni sahihi kwa gari lenye engine ya 5A FE kutumia oil ya 5W30 Fully synthetic? Kama jibu ni ndiyo, je itembee kilometer ngapi hadi next service? Natanguliza shukurani
 
Back
Top Bottom