Niulize chochote kuhusu Kalynda E-commerce

Status
Not open for further replies.
Sijui kwanini kuna watu wapo kwa ajili ya kupinga kila kitu.... Afu tabia ya kujifanya kujua bila kufanya research... sio kila biashara ya mtandao ni utapeli dunia imebadilika ... Technology imekua, nyakati zimebadilika!!
Dunia imebadilika.
 
Sijui kwanini kuna watu wapo kwa ajili ya kupinga kila kitu.... Afu tabia ya kujifanya kujua bila kufanya research... sio kila biashara ya mtandao ni utapeli dunia imebadilika ... Technology imekua, nyakati zimebadilika!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
 
Mataleli siku hizi cha kwanza wanakimbilia kusajir kampun ili wawadanganye vzr kisha wawapige
Jaman watamzania wenzangu hela haipatikani kirahisi na hakuna mtanzania anaweza kukuitia fursa weka hilo akilini
Ukiona unaitiwa fursa ujue we nso fursa yenyewe shtuka
Tafuta kazi halali ifanye upate pesa
Haya yako wap? Mshapigwa [emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…