Jazajuan
Senior Member
- Dec 9, 2017
- 182
- 312
- Thread starter
- #101
Kuna kitu wengine sijui ndo wanaitaga iner voice,jambo lolote lenye kunipa kigugumizi huwa nasikia kabisa ndani ya moyo naambiwa acha au fanya kwakweli huwa sidharau.
kuhusu hiyo Kalynder nafsi yangu imekataa katakata sitojaribu ingawa kaka yangu ni mmoja wapo anafanya hii kitu lakini kwa mimi hapana.acha yeye na wengine wawe mabilionea kirahisi rahisi tu mimi ntakua mfanyakazi wao wa kuosha hayo mavieti watakayonunua.
Sikiliza moyo wako!!