Niulize chochote kuhusu Kalynda E-commerce

Niulize chochote kuhusu Kalynda E-commerce

Status
Not open for further replies.
Kuna kitu wengine sijui ndo wanaitaga iner voice,jambo lolote lenye kunipa kigugumizi huwa nasikia kabisa ndani ya moyo naambiwa acha au fanya kwakweli huwa sidharau.
kuhusu hiyo Kalynder nafsi yangu imekataa katakata sitojaribu ingawa kaka yangu ni mmoja wapo anafanya hii kitu lakini kwa mimi hapana.acha yeye na wengine wawe mabilionea kirahisi rahisi tu mimi ntakua mfanyakazi wao wa kuosha hayo mavieti watakayonunua.

Sikiliza moyo wako!!
 
Mwanzoni kujiunga ni bure na mara baada ya kujiunga utapewa muda wa siku tano wa Internship na hapo utalipwa elfu moja kianzio then kila siku utapatiwa 1988 ni hiari yako kuchukua pesa na kuachana nao au baada ya siku tano kuwekeza elfu 20 na kuendelea!!

IMG_0785.png


Oya nataka niwapige hili buku walilonipa mbona wameanza uhuni mapema hivi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wacha tupingwe yuko kwenye uwanja Wa vita,vitani kuna kupiga na kupingwa,Mimi nimeshavaa silaha,askari akifa vitani ni shujaa,wacha tupigane kalyda watupiga ndio ushindi wao,Maadam tumeshajiandaa na vita
 
Kwani hawa ni wale ukileta kizazi kinazaa kizazi cha pili? Au ukiingia unakufa na lako?
 
Wabongo bhana!! Yan 20k nayo inakutoa povu as if umeambiwa unawekeza roho!!!

Nimeingia kwa miguu yote na nshaanza kuvuna! Na Kama Kuna nyingine Kama hii naomba mniinvite wakuu!

0715053339
 
Wabongo bhana!! Yan 20k nayo inakutoa povu as if umeambiwa unawekeza roho!!!

Nimeingia kwa miguu yote na nshaanza kuvuna! Na Kama Kuna nyingine Kama hii naomba mniinvite wakuu!

0715053339
Hapo sasa, yaan 20000 ndo ikulize mara mnatapeliwa wakat kwa siku chache unairudisha tu
 
Hii kitu ni Ponzi scheme, ukiaangalia hii video inayoelezea jinsi hiyo platform inavyofanya ni tofauti kabisa na jinsi e-commerce kubwa wauzaji wanavyopata fake reviews.
 
Hao eBay,Shoppee,Amazon n.k wote wana kitengo cha marketing ambapo sisi tunafanya kazi ya kuongeza sales ratings kupitia Platform yetu ya Kalynda ...All in all hatupo hapa kwa ajili ya kukuconvince kujiunga... Kama haupo tayari kujiunga Kalynda Nakushauri tu biashara ni nyingi sana ... Tafuta mtaji ujiunge biashara yoyote be free!!
Mnatangaza biashara aina gani ? Je pombe,kamali n.k.vipo ktk kuvitangaza?
 
Wabongo bhana!! Yan 20k nayo inakutoa povu as if umeambiwa unawekeza roho!!!

Nimeingia kwa miguu yote na nshaanza kuvuna! Na Kama Kuna nyingine Kama hii naomba mniinvite wakuu!

0715053339
Nipo kalynda tangu June wewe ni mwenzangu
 
Kuna mdau juzi katoka kulizwa laki 3 na yesstyle.

Platform yoyote inayokutaka uweke pesa ni ya kitapeli, ndo hivyo.
 
Nimejiunga Kwa Hawa jamaa bana Leo siku ya tatu nasubilia mwezi hapa nijue kitachofuata baada ya kupewa taarifa na mtu wa kalibu na kuona alivhopiga pesa
 
Mimi nadhani ungejiridhisha kwanza kwa kuikagua kampuni ya Kalynda ipo kisheria na inatambulika na Brela na TRA?! ... Ina ofisi ?! Kisha ndo uje hapa kaongea porojo
Watu wana certificate of incorporation, leseni, tax clearance, tin, vat registration certificate, osha, leseni ya B.O.T na bado wanakimbia na kutekeleza ofisi. Wabongo wezi sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom