UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,753
- 12,932
Mkuu mbona hueleweki?,mara ya kwanza umesema ulianza na laki 2 sasa hivi tena unasema umeanza na mtaji wa laki,tushike lipi tuache lipi?Nimeanza na mtaji wa laki 1 lakin hadi sasa nishapata faida ya kutosha!! Sio lazma usichokiamini wewe basi kila mtu asikiamini.... mimi binafsi sipendi siasa lakin kuna watu wamefanikiwa.... Fuata moyo wako na usiforce kulazimisha wengi waone upo sahihi ...