OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Habari wakuu,
Kwa ambao hawanifahamu, nipo Bariadi huku Gamboshi napiga bachelor of science in uchawi wenye faida (digrii isiyo rasmi).
Katika uzi huu nitaeleza ninayojua kuhusu mada tajwa hapo juu.
Magonjwa yanayotokana na uchawi ni magonjwa ambayo hayapo kwenye Standard Guideline Treatment (STG) Mara nyingi haya exist ki medical (kitabibu) na daktari akifanya diagnosis inakuwa haipo clear atatoa dawa utaenda utatumia lakini hali ipo vile vile unahama hospitali hata tano lakini hakuna nafuu unayopata na majibu unapewa hayaeleweki.
Au unaumwa unaenda hospitali unapimwa kila kitu unaambiwa hauna tatizo lolote ila unamaumivu tu unapewa dawa za kutuliza maumivu kisha unaambiwa urudi nyumbani ukijiangalia unaona kabisa unaumwa tena sana.
Mara nyingi magonjwa ya kulogwa huwa ni tumbo, kupooza, maumivu yasiyoeleweka, kuchizika n.k
Kiujumla magonjwa ya kulogwa ni magonjwa ambayo hayatambuliki kihospitali.
Nakaribisha maswali yote uliza hapa hapa nitajibu hapa hapa.
Ahsante
Kwa ambao hawanifahamu, nipo Bariadi huku Gamboshi napiga bachelor of science in uchawi wenye faida (digrii isiyo rasmi).
Katika uzi huu nitaeleza ninayojua kuhusu mada tajwa hapo juu.
Magonjwa yanayotokana na uchawi ni magonjwa ambayo hayapo kwenye Standard Guideline Treatment (STG) Mara nyingi haya exist ki medical (kitabibu) na daktari akifanya diagnosis inakuwa haipo clear atatoa dawa utaenda utatumia lakini hali ipo vile vile unahama hospitali hata tano lakini hakuna nafuu unayopata na majibu unapewa hayaeleweki.
Au unaumwa unaenda hospitali unapimwa kila kitu unaambiwa hauna tatizo lolote ila unamaumivu tu unapewa dawa za kutuliza maumivu kisha unaambiwa urudi nyumbani ukijiangalia unaona kabisa unaumwa tena sana.
Mara nyingi magonjwa ya kulogwa huwa ni tumbo, kupooza, maumivu yasiyoeleweka, kuchizika n.k
Kiujumla magonjwa ya kulogwa ni magonjwa ambayo hayatambuliki kihospitali.
Nakaribisha maswali yote uliza hapa hapa nitajibu hapa hapa.
Ahsante