Niulize chochote kuhusu magonjwa ya kulogwa

Niulize chochote kuhusu magonjwa ya kulogwa

Vip kuhusu mambo ya mapenzi, yaan limbwata. Mwanamke anakuloga mpaka hujielewi, unajikuta unatoa tu hela, unampenda lakin ukikaa ukiwaza hata wewe mwenyewe huelewi unashindwa nini kumuacha huyo mwanamke. Dawa ya hii kitu ni niji
Hiyo ipo sana mkuu, kama umemfukuza anatengeneza unamrudisha kisha anakuweka chuma kiburi chako chote na jeuri kwisha

Hakikisha una kinga ya kiroho
 
Uzi mzuri, mkuu umekuja na kitu ambacho yafaa wenyekutaka kujifunza tutajifunza .

Unaweza fahamu ugonjwa wa mtu ni wa kulogwa pasipo kwenda kwa mganga au hosptali?
Ndio kwa kutumia uzoefu ila itanilazimu nikuulize maswali kadhaa

Ila ukiwa kwa babu huko ulipo kanuni ni tofauti wewe ukifika unapiga buyu (kimya) yeye ndo akuambie kilichokuleta ni nini
 
Unaweza kuinyoosha ccm [emoji1][emoji1][emoji23]
CCM ndio serikali yenyewe mkuu, kila mganga yeyote unayemjua wewe nchi hii yupo kwenye data base za serikali.

Ikitokea haupo kwenye data base unakamatwa. ofisi zote za kata nchi nzima kuna ma snitch yaani ngazi ya mtaa hapo ulipo ukifungua kilinge kiholela hazipiti hata siku mbili wanakuja kukuzoa na ndinga ya polisi.

Ipo kisheria kabisa mkuu na kuna taasisi maalumu inashughulika na usajili ipo chini ya wizara ya maendeleo jinsia wazee na watoto

Fuatilia utapata habari kamili.

Viongozi wa serikali huwaita wazee wa kimila na wanaukaribu nao sana wakati mwingine huwaita na kuwapa semina kuhusu sheria zilizopo za kuepuka ramli chonganishi na mambo ya mauaji.

Wewe unachofikiria wenzio washafikilua miaka mingi nyuma
 
Back
Top Bottom