Niulize chochote kuhusu magonjwa ya kulogwa

Niulize chochote kuhusu magonjwa ya kulogwa

Aseeh mkuu mm naomba kuulza kwann wasichana wananikataa sana!? Yani hadi nmekuwa muoga sasa ni wasichana wa 4 wamenikataa ndani ya miezi miwili iliyopita na hata manzi nlienae nahisi hanipendi ila natumia nguvu tu kuwa nae yeye wala hana muda na mm ndio natongoza kwengine ili nijitoe kwa huyu manzi ila sasa wananikataa na huku naona sikubaliki kbs yani ukweli najiskia vibaya sana hadi nahisi nmerogwa !?

Yn msichana ukienda tu kuonana nae mtashikana vzr na mtapga story fresh ila baadae ndio hakutaki tena sshv ni kama npo Single tu wasichana hawanitaki na kimuonekano huwa nasifiwa ni HB ila na u HB wangu bdo nakataliwa na ninaumia na haya Mapenzi.

Je huwenda kun kitu nmefanyiwa na watu wa dunia hii!?
 
Aseeh mkuu mm naomba kuulza kwann wasichana wananikataa sana!? Yani hadi nmekuwa muoga sasa ni wasichana wa 4 wamenikataa ndani ya miezi miwili iliyopita na hata manzi nlienae nahisi hanipendi ila natumia nguvu tu kuwa nae yeye wala hana muda na mm ndio natongoza kwengine ili nijitoe kwa huyu manzi ila sasa wananikataa na huku naona sikubaliki kbs yani ukweli najiskia vibaya sana hadi nahisi nmerogwa !?

Yn msichana ukienda tu kuonana nae mtashikana vzr na mtapga story fresh ila baadae ndio hakutaki tena sshv ni kama npo Single tu wasichana hawanitaki na kimuonekano huwa nasifiwa ni HB ila na u HB wangu bdo nakataliwa na ninaumia na haya Mapenzi.

Je huwenda kun kitu nmefanyiwa na watu wa dunia hii!?
Badilisha mbinu za kutongoza kijana mdogo,achana na hisia potofu.una element za "u- soy boy" ,hakuna mtu amekuloga.
 
Aseeh mkuu mm naomba kuulza kwann wasichana wananikataa sana!? Yani hadi nmekuwa muoga sasa ni wasichana wa 4 wamenikataa ndani ya miezi miwili iliyopita na hata manzi nlienae nahisi hanipendi ila natumia nguvu tu kuwa nae yeye wala hana muda na mm ndio natongoza kwengine ili nijitoe kwa huyu manzi ila sasa wananikataa na huku naona sikubaliki kbs yani ukweli najiskia vibaya sana hadi nahisi nmerogwa !?

Yn msichana ukienda tu kuonana nae mtashikana vzr na mtapga story fresh ila baadae ndio hakutaki tena sshv ni kama npo Single tu wasichana hawanitaki na kimuonekano huwa nasifiwa ni HB ila na u HB wangu bdo nakataliwa na ninaumia na haya Mapenzi.

Je huwenda kun kitu nmefanyiwa na watu wa dunia hii!?
Hapo mkuu tatizo ni nyota huenda imejifunika

Kuna nyota ya jumla na nyota ya kazi

Vipi kuhusu kazi yako inakwenda vile utakavyo?
 
Hapo mkuu tatizo ni nyota huenda imejifunika

Kuna nyota ya jumla na nyota ya kazi

Vipi kuhusu kazi yako inakwenda vile utakavyo?
Kazi nlkuwa nmefungiwa na TRA miezi miwili juzi kati ndio nmefanikiw kufungua inaenda vzr tu, ila huku kwengne ni tafrani tu na kuna muda naona kama kila mtu ananichukia hasa wasichana dah napata tabu sana nfanye nn ili niwe sawa mkuu! Kuogea chumvi vp nitafanikiwa kusafisha nyota
Hapo mkuu tatizo ni nyota huenda imejifunika

Kuna nyota ya jumla na nyota ya kazi

Vipi kuhusu kazi yako inakwenda vile utakavyo?
 
Badilisha mbinu za kutongoza kijana mdogo,achana na hisia potofu.una element za "u- soy boy" ,hakuna mtu amekuloga.
U- Soy boy ni nn mkuu tafadhali nieleweshe nipate kujfunza haiwezekani nakataliwa tu wakat mtu amekupa hadi namba akaomb mkutane na unaenda kukutana nae mnapga story vzr anakuwa kama amekukubali ila baadae anakubadlikia tu hakutaki tena uanjarbu kwngne nako unakuta mnapanga kila kitu ikifka siku ya kuonana ndio hataki tena hata kupokea simu had nakuwa mkali ila wapi.
 
Kazi nlkuwa nmefungiwa na TRA miezi miwili juzi kati ndio nmefanikiw kufungua inaenda vzr tu, ila huku kwengne ni tafrani tu na kuna muda naona kama kila mtu ananichukia hasa wasichana dah napata tabu sana nfanye nn ili niwe sawa mkuu! Kuogea chumvi vp nitafanikiwa kusafisha nyota
Hizo ni red flag mkuu soon hata kazi zitazingua
 
Back
Top Bottom