Aseeh mkuu mm naomba kuulza kwann wasichana wananikataa sana!? Yani hadi nmekuwa muoga sasa ni wasichana wa 4 wamenikataa ndani ya miezi miwili iliyopita na hata manzi nlienae nahisi hanipendi ila natumia nguvu tu kuwa nae yeye wala hana muda na mm ndio natongoza kwengine ili nijitoe kwa huyu manzi ila sasa wananikataa na huku naona sikubaliki kbs yani ukweli najiskia vibaya sana hadi nahisi nmerogwa !?
Yn msichana ukienda tu kuonana nae mtashikana vzr na mtapga story fresh ila baadae ndio hakutaki tena sshv ni kama npo Single tu wasichana hawanitaki na kimuonekano huwa nasifiwa ni HB ila na u HB wangu bdo nakataliwa na ninaumia na haya Mapenzi.
Je huwenda kun kitu nmefanyiwa na watu wa dunia hii!?