Niulize chochote kuhusu magonjwa ya kulogwa

Niulize chochote kuhusu magonjwa ya kulogwa

ZONGO Ni uchawi wa wanawake wa TANGA. Yaani anakutizama tu anakuachia mzigo. Mara nyingi huwapiga watoto wachanga ili WAZAZI wahangaike.
Hilo linatatulika

Mara nyingi dawa za kutibubuchawi huwa zinatibu gonjwa zaidi ya moja

Ni kama vile broad spectrum antibiotics mfano power safe (ceftriaxone) inatibu pneumonia, UTI, infections mbali mbali vidonda, damu n.k

Dawa za kuua uchawi zipo hivo hivo
 
Ni kweli mkuu.

Siku ingine kuwa makini na wanawake wa dizaini hiyo.

Elfu tano inatosha kukusambaratisha akikutana na babu mwenye akili mk

Ni kweli mkuu.

Siku ingine kuwa makini na wanawake wa dizaini hiyo.

Elfu tano inatosha kukusambaratisha akikutana na babu mwenye akili mbovu
Kwel mkuu kuna demu wango kabla sijamuacha aliwahi kuniuliza Jina la Mama nikamtajia la uongo.
 
Kama nataka kusafiri kwenda kijijini na nina wasiwasi ya kufanyiziwa na Wachawi, nifanye kitu gani cha kunikinga mimi ambaye si mtu wa kiroho wala sipendi uchawi/ushirikina?
 
Kama nataka kusafiri kwenda kijijini na nina wasiwasi ya kufanyiziwa na Wachawi, nifanye kitu gani cha kunikinga mimi ambaye si mtu wa kiroho wala sipendi uchawi/ushirikina?
Unatafuta kinga ya kiroho (zindiko au maombi)

Zindiko utalipata kwa babu yeyote aliyekaribu na wewe (mtaalam) kama utataka maombi utsyapata kanisani au msikitini

Ahsante
 
Ukianza kufatilia mambo ya kichawi...
Jua ndo ushajiingiza kwenye system aiseeee.

Hata huu upande mwingine usiwe close sana..
Wee ka unaamini amini fanya ibada sepa.
Mambo ya kutaka maono sijui hili mara lile. Unaweza jukuta unaingia kwenye mfumo ambao kutoka itakugharimu
 
Unatafuta kinga ya kiroho (zindiko au maombi)

Zindiko utalipata kwa babu yeyote aliyekaribu na wewe (mtaalam) kama utataka maombi utsyapata kanisani au msikitini

Ahsante
Kwa mfano, nataka nijikinge mimi mwenyewe bila kwenda kwa 'babu' wala kwenda kwenye nyumba ya ibada kuombewa.

Yaani siwezi kubeba kitu simple tu ambacho kinapatikana kwa urahisi ndani ya mazingira ya kawaida ninayoishi?
 
Ukianza kufatilia mambo ya kichawi...
Jua ndo ushajiingiza kwenye system aiseeee.

Hata huu upande mwingine usiwe close sana..
Wee ka unaamini amini fanya ibada sepa.
Mambo ya kutaka maono sijui hili mara lile. Unaweza jukuta unaingia kwenye mfumo ambao kutoka itakugharimu
Uchawi ni sayansi ambayo haijavumbuliwa

Ni kama shoka ukiitumia vizuri kupasulia magogo inakusaidia
Ila ukiitumia vibaya kumpasua mtu kichwani utajikuta upo gereza la ukonga

Kwahiyo akili yako ndio kila kitu
Unataka kuitumia kwa namna gani

Knowledge is power

Ahsante
 
Kwa mfano, nataka nijikinge mimi mwenyewe bila kwenda kwa 'babu' wala kwenda kwenye nyumba ya ibada kuombewa.

Yaani siwezi kubeba kitu simple tu ambacho kinapatikana kwa urahisi ndani ya mazingira ya kawaida ninayoishi?
Hapo ni ngumu mkuu

Kama hautaki yote hayo kwanini unaamini huko uendako kuna wachawi?

Case yako inaitwa delusion of persecution

Na hicho kitu unachohitaji ni illusion

Watu wa namna yako huwa wapo wanakuja kila unachomuambia afanye hataki yeye anataka kitu ambacho sio

Ni kama unamfundisha babu kazi
Akiona hivo anakupa chochote tu uende hata kama ni mfupa wa mbuzi
Maana unakua umeonyesha dharau

Unaondoka unafika huko unashindwa kufanikiwa unaona umetapeliwa

Ila kwa uzoefu wangu watu wa namna hiyo huwa ni wanamatatizo ya akili ukiwachunguza vizuri
 
Je, inawezekana mtu kuwa mchawi (anawanga kama kawaida, usiku anabadilika kuwa paka) alafu hajijui? Yaani, Kwa mfano, mtu huyo akikamatwa anasema kwamba "yeye hajijui kama anawanga au amegeuka kuwa paka". Je, hilo linawezekana kufanya mambo ya kiuchawi pasipo muhusika kujijua kama yeye ni mchawi?
Inawezekana vizuri tu,, baadhi ya wachawi hujibadilisha na kuchukua umbo la mtu na sura yake ikatumika kufanya uchawi au kumtumia binadamu na kumfanyisha uchawi kumbadilisha watakavyo wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom