Niulize chochote kuhusu magonjwa ya kulogwa

Niulize chochote kuhusu magonjwa ya kulogwa

Hapo hamna uchawi

Atakuwa na psychosis iliyojificha huenda nibya kurithi kwa genetic factors kwa baba ama kwa mama

Akinywa pombe inakuwa alcohol induced psychosis pombe ni triger ya ukichaa kwa mtu mwenye elements hizo

Kumsaidia mtafutie dawa ya kuacha pombe

Mtu anayelogewa pombe ni wale mnawaita cha pombe yaani maisha yao muda wote wamelewa kulala kuamka ni pombe wanashinda vilabuni asubuhi jioni hadibusiku wanaacha kazi mke watoto wanakuwa wapo wapo tu

Ahsante
Sisi wazazi wake hatunywi pombe na tupo stable sana mentally kuanzia hata Babu na bibi zake hivyo siyo kurithi ilianza mara baada ya ugomvi na hao na hospital hataki kwenda hata kuombewa kidini hataki na kienyeji ndio kabisa.
Nimechoka sana natamani nife
 
Hapo kuna uwezekano wa mizimu mibaya kumuandama mtu ndo ysnakuwaga hivyo yaani unajikuta hata kuoa au kuolewa inakuwa ngumu unakuwa upo upo tu halafu unakua mtu wa kuumwa hovyo hovyo

Ila kisayansi watakuambia ni stress au depression waambie wakutibu sasa unaona wanaanza kukupa majibu yasiyolizisha au kukukwepa
Noma sana!
 
Vip kuhusu mambo ya mapenzi, yaan limbwata. Mwanamke anakuloga mpaka hujielewi, unajikuta unatoa tu hela, unampenda lakin ukikaa ukiwaza hata wewe mwenyewe huelewi unashindwa nini kumuacha huyo mwanamke. Dawa ya hii kitu ni niji
Akikujibu nishtue nimloge mtoto wa mtu nipewe pesa 😹
 
Kuna cheti nilikiona kipo kimeandikwa wizara ya maendeleo jinsia wazee na watoto nadhani baada ya kuigawa wizara hiyo taasisi imebaki huko ada sio elfu kumi ni elfu thelathini mpaka 50
Mimi ndo natoa hizo leseni, usibishe sasa.
 
Miaka 11 iliyopita tuliwahi rogwa mm na rafiki angu kwanini nasema tulirogwa ilikuwa hivii ilikuwa alhamisi tupo kitaa kwetu tukapita mtaaa wa pili kuna bibi wa huo mtaa pili yasemakana na watu walikuwa wakimtuhumu kwa habari za uchawi
Basi siku hiyo tulivyopita akatuita akatupa embe dodo sisi hatukujali lolote tukachukua lile embe dodo tukafika nyumbani tukalila lile embe dodo basi Ile tunamalizia tu kula yule mwenzangu kufikia usiku mida ya saa 2 akaniambia lile embe limemkaa rohoni anashindwa kupumua mm nikajua utani na hakuwa ana dalili yoyote ya ugonjwa weee alikaa siku 3 akafa daa aisee hapo ndipo mwanzo wa kuona kama uchawi upo au laa maana kama upo kwa nini mimi sijafa alikufa rafiki yangu pekee yake na tulikula wote nikatoka na jibu uchawi nao sio lolote wala chochote kama unabahatisha tu hauna nguvu kama unavyosemwa kama ingekuwa hivyo mm Leo nisingekuwepo maana tulirogwa wawili tukala embe wawili na baada ya kula mwenzangu embe likamnasa kooni na akaaa kwa siku 3 ilihali hospital tulimpeleka wakasema hana shida
 
Inawezekana mchawi akakiwekea nuksi nyumbani kwako ili mambo yako yasifanikiwe..?? Na kama uwezekano huo upo suluhisho lake ni nini ili kuondoa nuksi hiyo..??
 
Sisi wazazi wake hatunywi pombe na tupo stable sana mentally kuanzia hata Babu na bibi zake hivyo siyo kurithi ilianza mara baada ya ugomvi na hao na hospital hataki kwenda hata kuombewa kidini hataki na kienyeji ndio kabisa.
Nimechoka sana natamani nife
Hayo magonjwa yana vyanzo vingi sana mkuu kitabibu niamini mimi hapo hamna uchawi

Wagonjwa wa namna hiyo huwa wananyweshwa dawa kwa kabali na huo ndio uzoefu wangu vinginevyo hautaweza kumsaidia binti yako

Mtafutie dawa ya kuacha pombe kisha kodi vijana wenye nguvu wamnyweshe kwa lazima

Hata case za hivyo kwa walologwa mgonjwa anavyopewa dawa mwanzoni lazima muwepo wanaume hata watano, wengine wanashika miguu wengine mikono wengine kichwa mwingine kikombe mnamnywesha kibabe dozi ya mwanzo mwanzo huwa ni wasumbufu ila baadae akianza kupata nafuu huwa wanakunywa wenyewe tu

Hautaweza kunegotiate na mgonjwa wa akili never


Tumia ngivu
 
Inawezekana mchawi akakiwekea nuksi nyumbani kwako ili mambo yako yasifanikiwe..?? Na kama uwezekano huo upo suluhisho lake ni nini ili kuondoa nuksi hiyo..??
Ndio

Anakutandika unakuwa kama vile umepakwa kinyesi kila mtu anakukwepa.

Halafu mtu kukutandika sio lazima awe mchawi ni pesa tu mkuu anaenda sehemu anakunyoosha

Suluhisho ni kanisani/msikitini au kwa wazee (babu)
 
Nimekuuluza swali dogo tu la ZONGO, kweli utaweza kujibu maswali yanayohusu LIMBWATA , KISIMO na USINGA?
Uchawi wewe huujui.
Limbwata nitakujibu hiyo nna experience nayo

Hiyo zongo na mengine misamiati migeni tumia lugha nyepesi na mimi nikitumia misamiati ya huku hamtanielewa jf nzima unless uwe umewahi kupita maeneo haya
 
Vip kuhusu mambo ya mapenzi, yaan limbwata. Mwanamke anakuloga mpaka hujielewi, unajikuta unatoa tu hela, unampenda lakin ukikaa ukiwaza hata wewe mwenyewe huelewi unashindwa nini kumuacha huyo mwanamke. Dawa ya hii kitu ni niji
Hiyo ipo tena inawadau wengi tu jinsia zote ila wadau majority ni Ke

Fikra, moyo, mapenzi, upendo na akili ya mlengwa inaelekezwa kwa mhusika

Chochote atakachotataka lazima utatoa chochote atakachosema lazima umsikilize na kumtii kama vile coplo na brigedia
 
Limbwata nitakujibu hiyo nna experience nayo

Hiyo zongo na mengine misamiati migeni tumia lugha nyepesi na mimi nikitumia misamiati ya huku hamtanielewa jf nzima unless uwe umewahi kupita maeneo haya
ZONGO Ni uchawi wa wanawake wa TANGA. Yaani anakutizama tu anakuachia mzigo. Mara nyingi huwapiga watoto wachanga ili WAZAZI wahangaike.
 
Back
Top Bottom