Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Daa.. sasa hapa ndio nimegundua naingizwa chaka. Shiringi ni ile ile japo utaiona kwa pande zake 2Majini na mashetani ni vitu viwili tofauti kabisa na vina uzito sanaa
Uliza uelimishwe
Ahsante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daa.. sasa hapa ndio nimegundua naingizwa chaka. Shiringi ni ile ile japo utaiona kwa pande zake 2Majini na mashetani ni vitu viwili tofauti kabisa na vina uzito sanaa
Uliza uelimishwe
Ahsante
AHabari wakuu,
Nipo bariadi gamboshi masomoni nachukua digrii ya uchawi wenye faida.
Mizimu ni roho za watu waliokufa.
Kila mtu ana mizimu. Mizimu ya upande wa kwa baba na ya upande wa kwa mama (mababu na mabibi wote waliokufa)
Mizimu ipo mizuri na mizimu mibaya
Kuna aina zaidi ya >200 za mizimu.
Kama una swali lolote kuhusu mizimu kisayansi au kiroho niulize nitakujibu
Ahsante
Sasa kama majini wapo kitambo sana hapa duniani kulinganisha na binadam .......mbona wapo nyuma sana kiteknolojia au kazi yao ni kushangaa tuNeno Mizimu ya Ukoo.
Inatokana na ukweli kwamba majini huishi miaka mingi sana tofauti na binadamu. Jini anauwezo wa kuishi zaidi ya miaka 500..hivyo anakuwa ameshuhudia vizazi zaidi ya 7-10 vya binadamu. Kwahiyo kama alikuwa akiabudiwa na babu zako waliokutangulia anaendeleza desturi hiyo kwa uzawa huo kwa vizazi kadhaa .
Mwisho ni kuwa mizimu haina uwezo wa kumnufaisha wala kundhuru mwanadamu isipokuwa kwa idhini ya Mungu.
Mungu akitaka kukupa mtihani wewe mwanadamu anaweza kuruhusu udhurike kwa shari za hao majini na akitaka huwezi kudhurika kamwe.
Kwakweli😂😂nimecheka sana, ukute Koo yangu ni mizimuni huko halafu naenda kushinda Kwa walokole usiku na mchana na mapambio, vita haziishi...kumbe natakiwa nirudi nyumbani kesi iishe.Mada yako bwana kifupi sana sana usilo lijua nikwamba...
Wewe ni movie halisi.
Na mastermind wa muvi yenyewe ndio hao wasio onekana.kwamatabaka yao wapo wengi sana,kuna mungu,miungu,aliens,mizimu n..k..
Nakila mtu yupo katika koo moja wapo yahizo..tatizo kubwa walio wengi hatujui,hawajui koo zao vizuri...hivo kujikuta hawana msaada wowote ule dhidi ya mashambulizi kutoka katika koo zingine.
Nilazima utambue ukoo wako vizuri ili uungane nao.
Hakuna majini WAZURI bali wooote ni waovu.Majini wazuri wanamuabudu na kumtii Mungu wala hawashawishi wanaadamu wamkufuru Mungu.