Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 10,174
- 89,364
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu Simu za aina yoyote ile pamoja na kamera za aina yote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mirrorless camera ni kamera ambayo mfumo wake wa upigaji picha kwenye upande wa sensor haina mfumo wa kuakisi Refelexmwanga kutoka kwenye picha inayochukuliwa ili ipelekwe kwenye sensor na picha kutengenezwa. Mfano mzuri ni kamera toka kampuni ya Fuji, Sony na baadhi toka kampuni za Nikon na Canon. Ni watengenezaji wakubwa wa hizi za Mirrorless camera.Nini maana ya Mirrorless na dslr ?
DSLR NI Kifupi cha digital single-lens reflex. Mfumo wa uchukuaji picha ni kinyume cha Mirrorless ambapo ili picha inaswe na sensor ya kamera ina akisiwa toka kwenye kioo na ndipo hupelekwa kwenye sensor ili picha itengenezwe.Nini maana ya dslr ?
Kwa sasa hizo simu used toka nje zimekamata sana soko. Mfano mzuri mimi natumia Sony XZ1. Kuna baadhi ya brand ni ngumu kuchakachua kama Sony, LG maana mchina hahusiki na kutoa copy sana.Kumekuwa kuna deals za smartphones kali kutoka used (Used from Dubai, Korea, Uk) simu kama samsung S7 edge utakuta inauzwa 240.......je ni deal nzuri kwa bei hiyo? na je zinakuwaga ni og au unahisi wanachakachua sana.?
Smartphone zinatumia Liquid Crystal Display screen ambapo pale kioo kinapopata majeraha huonekana kama ni wino, la hasha sio wino ni idadi ya pixel za kioo kilichopata jeraha.Wino wa kwenye smartphone upo gramu ngapi mbona nimekaa na simu miaka miwili na haijawahi kuishiwa wino?
Je, tukikusanya wino wa simu milioni moja unaweza kujaza ndoo moja?
Mkuu nitakuelezea kutokana na baadhi ya vigezo kwa kupambanisha hziz simu mbili, wewe mwenyewe utaangalia kipi unachohitaji zaidi halafu utachagua aina ipi utainunu.Ushauri kqti ya samsung A12 na samsung A 21s hipi bora.nataka nichukue moja apo
Chief-Mkwawa
| A12 | A21 |
| Kutolewa 2020, June 26 | Kutolewa 2020, December 21 |
| OS ANDROID 10 | OS ANDROID 10 unaweza ku-upgrade mpaka 11 |
| Internal storage ni 32GB pekee | Internal storage ni 32GB 2GB RAM, 32GB 3GB RAM, 64GB 4GB RAM, 128GB 3GB RAM, 128GB 4GB RAM, 128GB 6GB RAM |
| Kamera ya mbele:13 MP, f/2.0, (wide), 1/3.1", 1.12µm Kmaera ya nyuma: 16 MP, f/1.8, (wide), 1/3.06", 1.0µm, PDAF 8 MP, f/2.2, (ultrawide), 1/4.0", 1.12µm 2 MP, f/2.4, (macro) 2 MP, f/2.4, (depth) | kamera ya mbele: 8 MP, f/2.2 Kmaera ya Nyuma: 48 MP, f/2.0, 26mm (wide), AF 5 MP, f/2.2, 123˚ (ultrawide) 2 MP, f/2.4, (macro) 2 MP, f/2.4, (depth) |
| Battery:Li-Po 4000 mAh | Battery:Li-Po 5000 mAh |
| Bei ya kiwandani:Tshs. 274295.00 | Bei ya kiwandani:Tshs. 366495.00 |
|
|
USAInternet tunayotumia inatoka wapi?
Na Nani anayeimiliki
Internet ni mtandao wa kieletroniki unaounganishwa na mamilioni ya computer duniani ambayo hutumia protokali fulani ili kubadilishana taarifa mbalimbali. Mwanzo kabisa kianzilishi kilikuwa ARPANET ambao hawa walikua Wakala wa Miradi ya Utafiti wa Juu ndio waliofadhili zoezi la kubadilishana kwa taarifa.Internet tunayotumia inatoka wapi?
Hakuna mtu anayeimiliki, ila tunalipia gharama za kutumia kutokana na mitambo ambayo hutumika kusafirishia mtandao huo kama minara ambayo inamilikiwa na baadhi ya watuNa Nani anayInternet ni
Unatuchelewesha MaendeleoNataka kuhack meseji za mtu unaweza kunifundisha.
Sasa kuhack meseji za mtu na masuala ya mapenzi vinahusiana vipi?Unatuchelewesha Maendeleo
Nenda Ukafanye Hacking World Bank
Mambo Ya Mapenzi Hayana Maana