Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 10,174
- 89,364
- Thread starter
- #41
Computer hutumia data nyingi zaidi kwa sababu ya updates zinazokua zikiendela pale inapounganishwa na internet. Vitu kama Updates za window yenyewe, softwares kama office, antivirus na zinginezo.swali langu kwa mleta mada, kipi hufanya computer itumie data kwa kiwango kikubwa kuliko smartphone
Pia ukubwa wa kioo hasa pale unapo browse kwenye browser, taarifa zitakazo kuwa loaded ni kubwa zaidi kulinganisha na kioo cha simu.