Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
'hutapewa'Laki ya Burundi hutapewa kama elfu 75
?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
'hutapewa'Laki ya Burundi hutapewa kama elfu 75
Bujumbura kuzuri sana, kwa bagamoyo amedanganyaNimeangalia hapa BUJUMBURA na KIBAHA au BAGAMOYO MJINI zinafana imekua ni mbingu na Ardhi, hapo umetuokota
Unawasaidiaje sasa?? Kazi kuleta porojo tu hapa.Niulize historia, fursa, diplomasia, n. K nitakujibu
Inasemakana Taifa la Burundi ndo nchi masikini zaidi duniani.
Ukitaka uone shida za watu fika Burundi, kule ndo Kuna masikini na shida hasa, watu hawana nguo, viatu, watoto hawasoni, pesa ngumu n. K
Burundi Kuna makabila makuu 3 amba ni Wahutu ambao ndo wengi, Watusi na Watwa
Lugha kubwa Burundi ni Kirundi na Kiswahili huko mjini Bujumbura
Majengo na miundo mbinu Burundi ni duni mno, rami ipo maeneo macheche, magari sio mengi
Sokoni au gulioni watu wanaokula tu, wanalewa pombe za kienyeji, n.k ni umasikini sana
Mji mkuu wa Burundi ni Gitega yaani Kwa Hapa kwetu ni kama Dodoma. Huko ndo kuna ofsi za serikali ila ukiambiwa kuwa hii ndo Dodoma ya Burundi utashangaa yaani ni kama kijijini huko
Bunjumbura ndo mji wenye harakati nyingi, ndo mji wa Biashara Kwa Hapa Tanzania ndo kama Dar es salaam lakini inalingana na Bagamoyo mjini au pale Kibaha.
Hapo starehe zipo, bia kubwa inabeba Lita 1 inaitwa primus, hizo safari lager zenu zinaingia mara 4
Fursa za biashara kule ni mazao, kununua mazao Burundi ni bei nafuu na kuja kuuza huku
Au kupeleka mavazi
Warundi ni watu wema na waoga Kwa Watanzania, ukienda Mtanzania wanakuheshimu mno,
Ila uasi mtaani upo sana, kutekwa mchana sokoni na kuibiwa au kuuwawa ni jambo la kawaida.
JF imeruhusu hata ninyi Vilaza muwe mnaandika ili sisi wenye akili TUWAKOSOE. SASA ELEZEA 330 INAINGIAJE MARA 4 KWENYE 1000?😁 ULIDHANI HUMU MMEJAA NYIE TU DIVISION 5.Huna uweZo wa kuandika hapa jukwaani
Unakaa unafatilia wenye akili na maarifa tutaleta nini usome na uje kuhara hapa
JF imeruhusu hata ninyi Vilaza muwe mnaandika ili sisi wenye akili TUWAKOSOE. SASA ELEZEA 330 INAINGIAJE MARA 4 KWENYE 1000?😁 ULIDHANI HUMU MMEJAA NYIE TU DIVISION 5.Kikubwa unapata maarifa yangu Bure.
Furahi
Noma sana!JF imeruhusu hata ninyi Vilaza muwe mnaandika ili sisi wenye akili TUWAKOSOE. SASA ELEZEA 330 INAINGIAJE MARA 4 KWENYE 1000?😁 ULIDHANI HUMU MMEJAA NYIE TU DIVISION 5.
JF imeruhusu hata ninyi Vilaza muwe mnaandika ili sisi wenye akili TUWAKOSOE. SASA ELEZEA 330 INAINGIAJE MARA 4 KWENYE 1000?😁 ULIDHANI HUMU MMEJAA NYIE TU DIVISION 5.Acha shobo mrembo
Me nimeona ni mme wa mtu
Unataka utokee mtwara anWhy not
Nina nia yakweli kabisa nitafute mke wa kuoasi shida. Tatizo we muoaji kweli au mpitaji tu!! Kwa kuoa na kuweka ndani, lazima ufate taratibu zote kama umedhamilia kuanzisha familia.
Bibie hivi vitu vingine ni vyakawaida tu acha ligi za kike humu ndaniJF imeruhusu hata ninyi Vilaza muwe mnaandika ili sisi wenye akili TUWAKOSOE. SASA ELEZEA 330 INAINGIAJE MARA 4 KWENYE 1000?😁 ULIDHANI HUMU MMEJAA NYIE TU DIVISION 5.
JF imeruhusu hata ninyi Vilaza muwe mnaandika ili sisi wenye akili TUWAKOSOE. SASA ELEZEA 330 INAINGIAJE MARA 4 KWENYE 1000?😁 ULIDHANI HUMU MMEJAA NYIE TU DIVISION 5.Bibie hivi vitu vingine ni vyakawaida tu acha ligi za kike humu ndani