Juzi kuna jamaa anasema laki 1 ya Burundi ni amepewa elfu 30 ya Tanzania yaan hela ya Burundi ina nguvu kuliko ya kwetu?
Huko mbali sana mpe zile kubwa za mls 500 umuulize kama nazo zinaingia 4 kwenye lita 1?JF imeruhusu hata ninyi Vilaza muwe mnaandika ili sisi wenye akili TUWAKOSOE. SASA ELEZEA 330 INAINGIAJE MARA 4 KWENYE 1000?😁 ULIDHANI HUMU MMEJAA NYIE TU DIVISION 5.
usibishane na mtu ambae yuko border. leo kuna mtu kaniambiea hivyo hivyo 10,000 ths ni 30,000 Bif. wabongo mbona mnapenda ubishi??Google is free usidanganywe kizoba kwa mambo unayoweza kuverify kirahisi. Currency strength isn't everything jielimisheni watanganyika.
Hata
View attachment 3219178
usibishane na mtu ambae yuko border. leo kuna mtu kaniambiea hivyo hivyo 10,000 ths ni 30,000 Bif. wabongo mbona mnapenda ubishi??
Ona sasa ulivyo na akili za kuokoteza. we mbugira leo nilikuwa napanga mikakati ya Huko na mtu nilie kuewa nawasiliana nae yuko huko ndio kanipa taarifa za exchange rate za huko. msitegemee kushikiwa akili kea kila jambo yaani mnaamini sana googleUkiwa zwazwa utaamini. Hata mimi niko boarder, wewe umeambiwa mimi nipo Manyovu, Kigoma boarder sijasimuliwa.
Mtu akiwa USA akikwamba $1 ni 50k TSH inawezekana utaamini pia.
Hili jamaa lobishi sana Linapenda ligi za kipuuzi afu sasa linakisifiaga sijui liko USAUkiwa zwazwa utaamini. Hata mimi niko boarder, wewe umeambiwa mimi nipo Manyovu, Kigoma boarder sijasimuliwa.
Mtu akiwa USA akikwamba $1 ni 50k TSH inawezekana utaamini pia.
Kuna tofauti gani kati ya Wahutu wa Burundi na wale wa Rwanda? Je ni kabila moja? Kama ni kabila moja mbona wanaongea lugha tofauti?Niulize historia, fursa, diplomasia, n. K nitakujibu
Inasemakana Taifa la Burundi ndo nchi masikini zaidi duniani.
Ukitaka uone shida za watu fika Burundi, kule ndo Kuna masikini na shida hasa, watu hawana nguo, viatu, watoto hawasoni, pesa ngumu n. K
Burundi Kuna makabila makuu 3 amba ni Wahutu ambao ndo wengi, Watusi na Watwa
Lugha kubwa Burundi ni Kirundi na Kiswahili huko mjini Bujumbura
Majengo na miundo mbinu Burundi ni duni mno, rami ipo maeneo macheche, magari sio mengi
Sokoni au gulioni watu wanaokula tu, wanalewa pombe za kienyeji, n.k ni umasikini sana
Mji mkuu wa Burundi ni Gitega yaani Kwa Hapa kwetu ni kama Dodoma. Huko ndo kuna ofsi za serikali ila ukiambiwa kuwa hii ndo Dodoma ya Burundi utashangaa yaani ni kama kijijini huko
Bunjumbura ndo mji wenye harakati nyingi, ndo mji wa Biashara Kwa Hapa Tanzania ndo kama Dar es salaam lakini inalingana na Bagamoyo mjini au pale Kibaha.
Hapo starehe zipo, bia kubwa inabeba Lita 1 inaitwa primus, hizo safari lager zenu zinaingia mara 4
Fursa za biashara kule ni mazao, kununua mazao Burundi ni bei nafuu na kuja kuuza huku
Au kupeleka mavazi
Warundi ni watu wema na waoga Kwa Watanzania, ukienda Mtanzania wanakuheshimu mno,
Ila uasi mtaani upo sana, kutekwa mchana sokoni na kuibiwa au kuuwawa ni jambo la kawaida.
Soma kwa makini ulichoandikaJuzi kuna jamaa anasema laki 1 ya Burundi ni amepewa elfu 30 ya Tanzania yaan hela ya Burundi ina nguvu kuliko ya kwetu?
Utaratibu wa barabara kuendesha upande upi tumerithi kutoka kwa mabwana zetu waliotutawala. Nikiingia Burundi au nikitoka huko huwa napenda sana eneo la interchange mipakani.1 waliogawa mipaka ni wazungu
Tanganyika koloni la German na Kigoma ikiwa Tanganyika
Rwanda koloni la France
Burundi koloni la German
Kwaiyo hakuna nchi iliyojitengeneza ni wakoloni huko mkutanoni Berlin 1884
Utaratibu wa barabarani kwao ni keep right huku Tanzania ni keep left, kusema la ukweli sijui sababu nini
Ni kweli Hawa wanaouza Madafu wengi ni warundi wanatokea Burundi hata kiswahili ni cha kuunga UNGA sema wanajiita ni watu wa kigoma..Inasemekana hawa waha waliojaa hapa Dar wengi wao ni waburundi hili Lina kaukweli wowote?
Kigoma hawatoki tu Waha acheni kudanganywa.Inafahamika kuwa waha wanatoka mkoa wa Kigoma.
1. Ni nini kinawatofautisha waha na warundi au wanyarwanda?
2. Kwa nini mkoa wa Kigoma haukuunda nchi yao kama Rwanda na Burundi licha ya kuwa na eneo lake, lugha na utamaduni?.
3. Kwa nini Burundi wanaendeshea magari yao kulia kwa barabara wakati dereva akiketi na usukani kushoto?
Acha ubishi ndugu yangu Mimi nilikuwa Bujumbura hivi karibuniUkiwa zwazwa utaamini. Hata mimi niko boarder, wewe umeambiwa mimi nipo Manyovu, Kigoma boarder sijasimuliwa.
Mtu akiwa USA akikwamba $1 ni 50k TSH inawezekana utaamini pia.