Niulize chochote kuhusu Taifa la Burundi

Juzi kuna jamaa anasema laki 1 ya Burundi ni amepewa elfu 30 ya Tanzania yaan hela ya Burundi ina nguvu kuliko ya kwetu?

Google is free usidanganywe kizoba kwa mambo unayoweza kuverify kirahisi. Currency strength isn't everything jielimisheni watanganyika.

Hata
 
JF imeruhusu hata ninyi Vilaza muwe mnaandika ili sisi wenye akili TUWAKOSOE. SASA ELEZEA 330 INAINGIAJE MARA 4 KWENYE 1000?😁 ULIDHANI HUMU MMEJAA NYIE TU DIVISION 5.
Huko mbali sana mpe zile kubwa za mls 500 umuulize kama nazo zinaingia 4 kwenye lita 1?
 
usibishane na mtu ambae yuko border. leo kuna mtu kaniambiea hivyo hivyo 10,000 ths ni 30,000 Bif. wabongo mbona mnapenda ubishi??

Ukiwa zwazwa utaamini. Hata mimi niko boarder, wewe umeambiwa mimi nipo Manyovu, Kigoma boarder sijasimuliwa.

Mtu akiwa USA akikwamba $1 ni 50k TSH inawezekana utaamini pia.
 
Ukiwa zwazwa utaamini. Hata mimi niko boarder, wewe umeambiwa mimi nipo Manyovu, Kigoma boarder sijasimuliwa.

Mtu akiwa USA akikwamba $1 ni 50k TSH inawezekana utaamini pia.
Ona sasa ulivyo na akili za kuokoteza. we mbugira leo nilikuwa napanga mikakati ya Huko na mtu nilie kuewa nawasiliana nae yuko huko ndio kanipa taarifa za exchange rate za huko. msitegemee kushikiwa akili kea kila jambo yaani mnaamini sana google
 
Ukiwa zwazwa utaamini. Hata mimi niko boarder, wewe umeambiwa mimi nipo Manyovu, Kigoma boarder sijasimuliwa.

Mtu akiwa USA akikwamba $1 ni 50k TSH inawezekana utaamini pia.
Hili jamaa lobishi sana Linapenda ligi za kipuuzi afu sasa linakisifiaga sijui liko USA
 
Kuna tofauti gani kati ya Wahutu wa Burundi na wale wa Rwanda? Je ni kabila moja? Kama ni kabila moja mbona wanaongea lugha tofauti?
 
Utaratibu wa barabara kuendesha upande upi tumerithi kutoka kwa mabwana zetu waliotutawala. Nikiingia Burundi au nikitoka huko huwa napenda sana eneo la interchange mipakani.
 
Inasemekana hawa waha waliojaa hapa Dar wengi wao ni waburundi hili Lina kaukweli wowote?
Ni kweli Hawa wanaouza Madafu wengi ni warundi wanatokea Burundi hata kiswahili ni cha kuunga UNGA sema wanajiita ni watu wa kigoma..


Sijui kwanini serikali haiko macho.
 
Kigoma hawatoki tu Waha acheni kudanganywa.

Kuna Wabembe hili ni kabila kubwa sana kigoma ulizia.


Kuna wamanyema Hawa ndio wakina ( Mama yake Diamond, juma kaseja, Seleman matola ) ... Wamejaa ujiji. Ni nadra sana kukuta Waha ujiji.


Kuna watongwe n.k
 
Ukiwa zwazwa utaamini. Hata mimi niko boarder, wewe umeambiwa mimi nipo Manyovu, Kigoma boarder sijasimuliwa.

Mtu akiwa USA akikwamba $1 ni 50k TSH inawezekana utaamini pia.
Acha ubishi ndugu yangu Mimi nilikuwa Bujumbura hivi karibuni


100,000 ya Tanzania unapewa 270,000 ya Burundi. Ila bei za vitu Burundi ziko juu hiyo heka Yao inaisha kama upepo.



Taarifa zingine za mitandaoni hazina uhalisia kwenye maisha halisi.
 
Vipi pisi zao ni kali kama za kinyarwanda? Zinachajisha kwa bei gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…