Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Koboko ndo wengi huko maana sikonge imefungwa na pori kubwaAina gani ya nyoka anasumbua huko Sikonge?
Vipi bado fisi wapo?Wilaya ya Sikonge ipo kusini ya Mkoa wa Tabora, wilaya hii inapakana na Wilaya ya Uyui kaskazini na upande wa mashariki inapatikana na mkoa wa Singida.
Kusini inapakana na mkoa wa Mbeya kusini magharibi inapatikana na mkoa wa katavi na upande wa magharibi inapatikana na wilaya ya Urambo.
Wenyeji wa wilaya hii ni wanyamwezi huku shughuli zao zikiwa ni kilimo ufugaji na uwindaji.
Mazao yao makuu yakiwa ni Mahindi, Maharagwe, Karanga, Mhogo na Mpunga
Huku zao kubwa la biashara likiwa ni Tumbaku.
Wilaya hii inajishughulisha pia katika ufugaji wa nyuki na inasemekana kuwa asali ya Tabora ndiyo asali iliyobora kuliko maeneo mengine yote katika nchi yetu.
Aaah weee usitudanganye..nina mtoto huko tutuo na hao waarabu wenu, sikonge nina jamaa yangu huko kwao mambo aliyonieleza ya huko hapa wala usiwatetee mkuu.
Sikonge imeanza 1997 kama wilaya kwa maana ya utawala tu lakini Sikonge kama mji ni wa siku nyingi mno na ni masikini sana.Hujui Sikonge siyo wilaya kongwe na umasikini wa kupindukia siyo kweli
Nitakuuliza swali lilo nje ya mada..Samahani kwa hilo. Waweza jibu au lah, ila nitashukuru kwa mchango wako, je Mtemi Majebele, ni Msukuma au Mnyamwezi, au jina hilo linawahusisha Wanyamwezi au Wasukuma?
Na huyu Mtemi ni kweli alitawala sehemu za Tabora na Shinyanga kwa mpigo au?
Asante...
Hapa ni kweli kabisa, iko kushoto sana ile wilayaSikonge ni wilaya kongwe na masikini kupindukia
Wakaazi wake ni masikini wa kutupwaHapa ni kweli kabisa, iko kushoto sana ile wilaya
Wasukuma na wanyamwezi ni ndugu wa damu ni walewale tu.Je, ni kweli kwamba idadi ya wasukuma huko sikonge ni wengi kuliko wanyamwezi?
Koboko.Aina gani ya nyoka anasumbua huko Sikonge?
Mkuu,Wanyamwezi hawaendekezi sana mambo ila yapo