Niulize chochote kuhusu Wilaya ya Sikonge Tabora

Niulize chochote kuhusu Wilaya ya Sikonge Tabora

Iwensato hongera kwa kuitangaza sikonge vizuri.Huo ni Uzalendo kweli.
Naomba niweke takwimu sahihi kidogo kuhusu SKG.
Nyoka hatari zaidi ni Hugo uliyemtaja kwa kiswahili -Koboko (Black Mamba).sio Cobra(Swila).

Wanajamii Sikonge ni pazuri kama sehemu nyingine Tz.
Zipo changamoto ambazo Mimi kwa uzoefu wangu wa muda ambao niliishi skg(2010 - 2017).
1. Unyamwezi umezidi sana - Wizi wa kuku,kuvunja nyumba watu wakiwa makazini umezidi aisee.
Sio wanaofanya hivyo ni wanyamwezi wote ni baadhi ya wakosa kazi wa Usega/Misheni na madukani kwa waarabu,wanapachafua sikonge sana,Hawawachukulii sheria mkononi kama watu wa mikoa mingine wanavyofanya! Unakuta mwizi wa kuku na TV za watu ni Mtoto wa Shangazi inabidi mnyamwezi atupe fimbo aanze kumtetea binadamu yake.

Wanyamwezi wanapata hela lakini sio risk takers! Wameucha uchumi mikononi mwa waarabu (I don't like it).

Wageni njooni sikonge mfaidike Luna fursa balaaa.
Asali,mbao,Mazao,Maeneo na nk.

Naomba kutoa hoja.
 
Iwensato hongera kwa kuitangaza sikonge vizuri.Huo ni Uzalendo kweli.
Naomba niweke takwimu sahihi kidogo kuhusu SKG.
Nyoka hatari zaidi ni Hugo uliyemtaja kwa kiswahili -Koboko (Black Mamba).sio Cobra(Swila).

Wanajamii Sikonge ni pazuri kama sehemu nyingine Tz.
Zipo changamoto ambazo Mimi kwa uzoefu wangu wa muda ambao niliishi skg(2010 - 2017).
1. Unyamwezi umezidi sana - Wizi wa kuku,kuvunja nyumba watu wakiwa makazini umezidi aisee.
Sio wanaofanya hivyo ni wanyamwezi wote ni baadhi ya wakosa kazi wa Usega/Misheni na madukani kwa waarabu,wanapachafua sikonge sana,Hawawachukulii sheria mkononi kama watu wa mikoa mingine wanavyofanya! Unakuta mwizi wa kuku na TV za watu ni Mtoto wa Shangazi inabidi mnyamwezi atupe fimbo aanze kumtetea binadamu yake.

Wanyamwezi wanapata hela lakini sio risk takers! Wameucha uchumi mikononi mwa waarabu (I don't like it).

Wageni njooni sikonge mfaidike Luna fursa balaaa.
Asali,mbao,Mazao,Maeneo na nk.

Naomba kutoa hoja.
Umeongea fact sana[emoji120],la nyongeza wanaume wa skg ni wavivu sikonge imechangamshwa na watu kutoka nje mkoa wa Tabora hususan watumishi wa serikali pamoja na wa sector binafsi, mfano waliojenga nyumba nzuri nzuri,na wenye biashara za kueleweka ni watu kuja(wazawa wanapenda kazi laini laini hususan kuwaabudu na kuwatumikia mkoloni wao mwaarabu)
 
Iwensato hongera kwa kuitangaza sikonge vizuri.Huo ni Uzalendo kweli.
Naomba niweke takwimu sahihi kidogo kuhusu SKG.
Nyoka hatari zaidi ni Hugo uliyemtaja kwa kiswahili -Koboko (Black Mamba).sio Cobra(Swila).

Wanajamii Sikonge ni pazuri kama sehemu nyingine Tz.
Zipo changamoto ambazo Mimi kwa uzoefu wangu wa muda ambao niliishi skg(2010 - 2017).
1. Unyamwezi umezidi sana - Wizi wa kuku,kuvunja nyumba watu wakiwa makazini umezidi aisee.
Sio wanaofanya hivyo ni wanyamwezi wote ni baadhi ya wakosa kazi wa Usega/Misheni na madukani kwa waarabu,wanapachafua sikonge sana,Hawawachukulii sheria mkononi kama watu wa mikoa mingine wanavyofanya! Unakuta mwizi wa kuku na TV za watu ni Mtoto wa Shangazi inabidi mnyamwezi atupe fimbo aanze kumtetea binadamu yake.

Wanyamwezi wanapata hela lakini sio risk takers! Wameucha uchumi mikononi mwa waarabu (I don't like it).

Wageni njooni sikonge mfaidike Luna fursa balaaa.
Asali,mbao,Mazao,Maeneo na nk.

Naomba kutoa hoja.
Umeongea fact sana[emoji120],la nyongeza wanaume wa skg ni wavivu sikonge imechangamshwa na watu kutoka nje mkoa wa Tabora hususan watumishi wa serikali pamoja na wa sector binafsi, mfano waliojenga nyumba nzuri nzuri,na wenye biashara za kueleweka ni watu kuja(wazawa wanapenda kazi laini laini hususan kuwaabudu na kuwatumikia mkoloni wao mwaarabu)
 
Hizo ni propaganda maana msimu wa asali na tumbaku ni tofauti pia asali hupatikana katika misitu minene
Asali ya tabaora ina viwango duni kwakuwa ina vionjo vya Tumbaku "nicotine"
 
Nakushukuru sana asante
Iwensato hongera kwa kuitangaza sikonge vizuri.Huo ni Uzalendo kweli.
Naomba niweke takwimu sahihi kidogo kuhusu SKG.
Nyoka hatari zaidi ni Hugo uliyemtaja kwa kiswahili -Koboko (Black Mamba).sio Cobra(Swila).

Wanajamii Sikonge ni pazuri kama sehemu nyingine Tz.
Zipo changamoto ambazo Mimi kwa uzoefu wangu wa muda ambao niliishi skg(2010 - 2017).
1. Unyamwezi umezidi sana - Wizi wa kuku,kuvunja nyumba watu wakiwa makazini umezidi aisee.
Sio wanaofanya hivyo ni wanyamwezi wote ni baadhi ya wakosa kazi wa Usega/Misheni na madukani kwa waarabu,wanapachafua sikonge sana,Hawawachukulii sheria mkononi kama watu wa mikoa mingine wanavyofanya! Unakuta mwizi wa kuku na TV za watu ni Mtoto wa Shangazi inabidi mnyamwezi atupe fimbo aanze kumtetea binadamu yake.

Wanyamwezi wanapata hela lakini sio risk takers! Wameucha uchumi mikononi mwa waarabu (I don't like it).

Wageni njooni sikonge mfaidike Luna fursa balaaa.
Asali,mbao,Mazao,Maeneo na nk.

Naomba kutoa hoja.
 
Kwa uvivu hiyo sikubaliani na wewe pengine kwa kuchangamka nakubaliana na maeneo mengi yamepata maengeleo kutokana na wageni.
Wanyamwezi ni wachapa kazi sana
Umeongea fact sana[emoji120],la nyongeza wanaume wa skg ni wavivu sikonge imechangamshwa na watu kutoka nje mkoa wa Tabora hususan watumishi wa serikali pamoja na wa sector binafsi, mfano waliojenga nyumba nzuri nzuri,na wenye biashara za kueleweka ni watu kuja(wazawa wanapenda kazi laini laini hususan kuwaabudu na kuwatumikia mkoloni wao mwaarabu)
 
Nsansa, Matobolwa, makewe , uyoga, asali, kumbikumbi ,matini, nyama pori, mahama vilindo vyungu, wadudu wengine wanaoliwa kama wale wanaopatikana kwenye miti iliyooza na wale wenye mafuta mithili ya siafu lkn wana tank lenye mafuta

Vitu hivyo vipo?
 
Yaani kina nyenge na mlevi wameshindwa kugombea hata udiwani
Mlevi no mdogo wangu kabisa,
Mimi nimehama mwaka 1993,lakini hua naensa kila mala,hata wiki iliyopita nilikuwa USUNGA One.
 

Attachments

  • FB_IMG_1605811058025.jpg
    FB_IMG_1605811058025.jpg
    58.3 KB · Views: 11
  • FB_IMG_1605811058025.jpg
    FB_IMG_1605811058025.jpg
    58.3 KB · Views: 11
  • FB_IMG_1605591602400.jpg
    FB_IMG_1605591602400.jpg
    38.6 KB · Views: 10
Back
Top Bottom