Iwensato hongera kwa kuitangaza sikonge vizuri.Huo ni Uzalendo kweli.
Naomba niweke takwimu sahihi kidogo kuhusu SKG.
Nyoka hatari zaidi ni Hugo uliyemtaja kwa kiswahili -Koboko (Black Mamba).sio Cobra(Swila).
Wanajamii Sikonge ni pazuri kama sehemu nyingine Tz.
Zipo changamoto ambazo Mimi kwa uzoefu wangu wa muda ambao niliishi skg(2010 - 2017).
1. Unyamwezi umezidi sana - Wizi wa kuku,kuvunja nyumba watu wakiwa makazini umezidi aisee.
Sio wanaofanya hivyo ni wanyamwezi wote ni baadhi ya wakosa kazi wa Usega/Misheni na madukani kwa waarabu,wanapachafua sikonge sana,Hawawachukulii sheria mkononi kama watu wa mikoa mingine wanavyofanya! Unakuta mwizi wa kuku na TV za watu ni Mtoto wa Shangazi inabidi mnyamwezi atupe fimbo aanze kumtetea binadamu yake.
Wanyamwezi wanapata hela lakini sio risk takers! Wameucha uchumi mikononi mwa waarabu (I don't like it).
Wageni njooni sikonge mfaidike Luna fursa balaaa.
Asali,mbao,Mazao,Maeneo na nk.
Naomba kutoa hoja.