Niulize chochote kuhusu Wilaya ya Sikonge Tabora

Niulize chochote kuhusu Wilaya ya Sikonge Tabora

Matobolwa Nsansa makewe uyoga asali vitu hivyo katika soko la Sikonge havikosekani Vilindo vyungu vipo ila vilindo vimeanza kupungua.
Wale wadudu wanaopatikana kwenye miti iliyooza hivi vilikuwa vinapatikana zaidi Inyonga
Matini ilikuwa ni chakula cha akina mama zaidi
Magando unayakumbuka?
 
Wilaya ya Sikonge ipo Kusini ya Mkoa wa Tabora, Wilaya hii inapakana na Wilaya ya Uyui Kaskazini na upande wa Mashariki inapatikana na Mkoa wa Singida.

Kusini inapakana na Mkoa wa Mbeya Kusini Magharibi inapatikana na Mkoa wa Katavi na upande wa Magharibi inapatikana na Wilaya ya Urambo.

Wenyeji wa Wilaya hii ni wanyamwezi huku shughuli zao zikiwa ni kilimo ufugaji na uwindaji.

Mazao yao makuu yakiwa ni Mahindi, Maharagwe, Karanga, Mhogo na Mpunga. Huku zao kubwa la biashara likiwa ni Tumbaku.

Wilaya hii inajishughulisha pia katika ufugaji wa nyuki na inasemekana kuwa asali ya Tabora ndiyo asali iliyobora kuliko maeneo mengine yote katika nchi yetu.
Hivi huko si ndiyo kuna waarab wengi na majini pia? Nasikia kila baada ya nyumba 3 watu wanafuga misukule ama majini, usipofanya hivyo wenzako wanakushangaa....ni kweli hii?
 
Wilaya ya Sikonge ipo Kusini ya Mkoa wa Tabora, Wilaya hii inapakana na Wilaya ya Uyui Kaskazini na upande wa Mashariki inapatikana na Mkoa wa Singida.

Kusini inapakana na Mkoa wa Mbeya Kusini Magharibi inapatikana na Mkoa wa Katavi na upande wa Magharibi inapatikana na Wilaya ya Urambo.

Wenyeji wa Wilaya hii ni wanyamwezi huku shughuli zao zikiwa ni kilimo ufugaji na uwindaji.

Mazao yao makuu yakiwa ni Mahindi, Maharagwe, Karanga, Mhogo na Mpunga. Huku zao kubwa la biashara likiwa ni Tumbaku.

Wilaya hii inajishughulisha pia katika ufugaji wa nyuki na inasemekana kuwa asali ya Tabora ndiyo asali iliyobora kuliko maeneo mengine yote katika nchi yetu.
Sikonge ina ukubwa gani?.Mita za mraba.
 
Waarabu wapo kiasi habari za majini na misukule sijapata kusikia
Hivi huko si ndiyo kuna waarab wengi na majini pia? Nasikia kila baada ya nyumba 3 watu wanafuga misukule ama majini, usipofanya hivyo wenzako wanakushangaa....ni kweli hii?
 
Mkuu labda unasaidie unasema 1.3 kimahesebu inamaanisha nn
Hiyo 149,883 mbona sijaiona? Au ume edit tena? Mana ulisema Laki 149.8 ndiyo maana nikauliza hicho ni kiasi gani kwa tarakimu?
 
Tatizo la maji bado lipo kama unavyojua Sikonge haina vyanzo vya uhakika vya maji
Afu kipindi mgodi wa kitunda unaanza maji walikua wananunua mission kuna boza lilikua linachukua mission na kuuza pale mgodini sijui hali ikoje siku hizi
 
Afu kipindi mgodi wa kitunda unaanza maji walikua wananunua mission kuna boza lilikua linachukua mission na kuuza pale mgodini sijui hali ikoje siku hizi
siku hizi naona kuna mabomba na kuna watu wanasambaza nmetoka pale 2019 ila kumepoa saaana..
 
ha ha ha

Iwensato ilikuwa ni kijiji kikubwa mno kabla ya operration vijiji miaka ya 70. Kwa sasa ni mapori matupu - tukiwa wadogo tulikuwa tunakwenda kule kuchuma Mapera, Maembe na matunda mwitu kama nsungwi, ntarali na zambarao nk
Hahaha Mkuu FUSO

Vipi barabara imeshakamilika nataka nipite huko kuelekea Mpanda...Mkuu pub gani hapo Sikonge nzuri na Guest nataka kupiga kambi hapo few days ...ntakuja na Boing Coast LINE
 
Back
Top Bottom