Niulize chochote kuhusu Wilaya ya Sikonge Tabora

Niulize chochote kuhusu Wilaya ya Sikonge Tabora

Kuna mama mmoja ni afisa elimu (primary) yule mama nahisi hata uchawi ni mchawi
Kimeo pale ni afisa utumishi, amekuja na upuuzi flani ati watumishi wa Sikonge wanakopa sana, ameweka urasimu usiona maana kukopa mpaka barua ipite kwa mkuu wa idara, na DED, ndio aingize makato na hashindi ofisini dah watumishi wamelalamika na benki lakini ndio kaamua labda mwalimu Seleman amwambie arekebishe mambo, watu wanakopa kwa shida sio kwa raha
Huyo bibi haeleweki na bado hajapewa ofisi / anakaimu
 
Vipi kuhusu urambo nina mwanamke tokea huko....
Urambo ni mji mdogo ambao hauna mambo mengi sana, haujaendelea sana ila hauko nyuma sana.

Urambo kuna biashara nyingi za saizi ya kati hasa za maza, mifugo na huduma.

Wafanyabiashara wengi wa urambo ni waha, waarabu na wasukuma, wapo wahindi pia ila ni wachache.

Mji wa urambo umezungukwa na miji midogo mingi ambayo hupokea huduma kutoka mji.

Biashara kuu ya mazao urambo ni Karanga, Mahindi na mpunga lakini pia kuna mnada mkubwa sana wa mifugo unakuwepo kila siku ya ijumaa ukihudumia zaidi ya mifugo 300 kwa siku.

Kibiashara siyo mji mbaya sana maana umezungukwa na miji midogo midogo zaidi ya 9 inayotegemea huduma kutoka hapo.

Fursa zilizopo.
Viwanda vya kuwekeza usindikaji wa mazao ya kilimo hasa mafuta ya mbegu na unga na mchele.

Huduma za afya kutokana uwepo wa wingi wa watu.

Usafirishaji na huduma za malazi kwa sababu mji huu uko barabara kuu ya kwenda kigoma na ni kiunganishi cha mikoa mitatu na mkoa wa Tabora.

Kuna Benki mbili tu katika mkoa huu ambazo ni NMB na CRDB bank.

NB, mara yangu ya mwisho kufika kwenye mji huu ilikuwa 2018 huenda kuna mabadiliko mengine
 
Urambo ni mji mdogo ambao hauna mambo mengi sana, haujaendelea sana ila hauko nyuma sana.

Urambo kuna biashara nyingi za saizi ya kati hasa za maza, mifugo na huduma.

Wafanyabiashara wengi wa urambo ni waha, waarabu na wasukuma, wapo wahindi pia ila ni wachache.

Mji wa urambo umezungukwa na miji midogo mingi ambayo hupokea huduma kutoka mji.

Biashara kuu ya mazao urambo ni Karanga, Mahindi na mpunga lakini pia kuna mnada mkubwa sana wa mifugo unakuwepo kila siku ya ijumaa ukihudumia zaidi ya mifugo 300 kwa siku.

Kibiashara siyo mji mbaya sana maana umezungukwa na miji midogo midogo zaidi ya 9 inayotegemea huduma kutoka hapo.

Fursa zilizopo.
Viwanda vya kuwekeza usindikaji wa mazao ya kilimo hasa mafuta ya mbegu na unga na mchele.

Huduma za afya kutokana uwepo wa wingi wa watu.

Usafirishaji na huduma za malazi kwa sababu mji huu uko barabara kuu ya kwenda kigoma na ni kiunganishi cha mikoa mitatu na mkoa wa Tabora.

Kuna Benki mbili tu katika mkoa huu ambazo ni NMB na CRDB bank.

NB, mara yangu ya mwisho kufika kwenye mji huu ilikuwa 2018 huenda kuna mabadiliko mengine

Tangu 2018? Lazima kuna mabadiliko mengi mana miji ya huko inakua kwa kasi.
 
Kiongozi unajitahidi sana kuipa sifa nzuri huko Sikonge,lakini pia jitahidi kupokea sifa mbaya za Sikonge.Kumbuka watu wanazunguka hivyo wameona mengi.
Kuna member kazungumzia maswala ya utumishi wa umma

Sikonge(Unyamwezini),nilikuwa na jamaa yangu ni mtumishi wa umma huko alikuwa akinisimulia mambo ya huko sikuamini mpaka nilipoenda kujionea katika muda wa miezi kadhaa.
Ni kweli gharama ya ardhi huko ni ndogo,gharama ya jiko na upatikanaji wa asali pia.
Lakini kumbuka kuwa maisha si hayo tu,MAISHA YANAJUMUISHA KWA KIASI KIKUBWA SANA JAMAA UNAYOISHI NAYO na hapa ndipo kwenye changamoto kubwa ya huko Sikonge.

Kwanza wanyamwezi hawapendi uendelee rejea matukio ya wizi hapo Sikonge mjini ni matukio wanayofanyiwa watu wakuja,pia rejea kifo cha 2 majengo.Hii inatokana na uvivu wa kufanya kazi hivyo kuwa masikini wa kutupwa hasa vijijini.Uvivu unazaa chuki dhidi ya watu wakuja.Juzi nilisikia madiwani uchwara wenu wamemfukuza mtumishi kwa kuiba hadubini lakini kimsingi mtumishi huyo alishinda kesi mahakani wanyamwezi wakaona kuliko kumlipa mtumishi huyo ni vyema wamfukuze kazi kabisa(Wivu).

Pili wanyamwezi ni washirikina sana,kwao ushirikina ni jambo la kawaida sana.Nikupe siri moja tu kuwa wanaume wanapokuja huko kwa mambo kadhaa huusiwa na ndugu zao kuwa unapoenda huko uwe makini na wanawake wa kinyamwezi(namshukuru ndugu yangu alielewa sana hili mpaka anahama huko).Pia ushirikina upo katika mambo mengi hivyo unapoenda huko yamkini ujipange.Uzuri wao wakikushindwa kukuroga watakuambia tu.

Tatu wanyamwezi wa Sikonge ni wanafiki na wafitinishaji sana,nadhani hii inatokana na uvivu wao wa kufanya kazi hivyo kuwapa muda wa kufanya hayo.

Niseme tu kwamba ndio siku zote kinachovutia mtu kuishi eneo fulani ni jamii inayomzunguka,Sikonge ni wilaya kubwa kuliko wilaya yoyote mkoani Tabora lakini ndo wilaya yenye wakazi wachache mkoani humo.Jiulize kwanini wilaya zingine zina wakazi wengi?

KUTOKANA NA MAMBO HAYO HUWA NIPO MAKINI SANA NA MNYAMWEZI POPOTE KATIKA DUNIA HII WANASEMA TABIA NI KAMA RANGI YA NGOZI TU.
Sehemu kubwa ya wilaya ya Sikonge ni mapori tengefu.
 
Hivi ule ujinga wa Mabasi kutoka Dar kwenda MPANDA yakifika Sikonge yanazuiwa kuendelea na safari bado upooo?
 
Back
Top Bottom