KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Ningependa unieleze kinagaubaga zaidi i mean nikivipi huo uchumi unakwaza kukua na kushuka kwa thamani ya fedha..?Thamani ya fedha inachangiwa sana na uchumi wa nchi husika....lakini upande wa euro ina thamani kuliko dollar,ipo hivi KENZY uchumi wa nchi za ulaya upo stable sana....ndio maana wamemaintain hilo jambo...lakini ukiangalia kitokana na uingereza kujitoa euro imeshuka thamani uchumi wa nchi zao umeathirika
by emma mjasiriamali