Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
- Thread starter
- #221
Ni wale wale mkuu maana wapemba na waunguja ukiangalia kwa undani ni mchanganyiko.. Baba kazaa nani ( nikisema hivi nafikiri unanielewa ) sema kuna baadhi ya wanaoishi Unguja hujifanya wao hawaijui Pemba lakini ukijaribu kuuliza ambae yeye ni muunguja tu hajahusu Pemba iwe babu, bibi au mjomba basi utapata wawili kwenye mia.. Na hao wawili wanatokea bongo. Sema kinachoiharibu Unguja ni kwamba wageni wamekuwa wengi mno ambao maadili yao sio mazuri.Kuna tofauti yoyote kubwa ya kijamii kati ya unguja na pemba?
Mpemba halisi