Niulize swali lolote kuhusiana na wapemba na Pemba yenyewe..

Niulize swali lolote kuhusiana na wapemba na Pemba yenyewe..

Enzi hizo walikua wakisilim walikua wanamaanisha,.. Sasa hivi wakifanikiwa watakalo siku wakichana kila mtu anarudi alikotoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli mkuu kila anaesilimu mara nyingi wanakuwa bado hawana imanii hata watu wa leo pia hivyo hivyo ndiyo mana pakasemwa katika aya.

قالت الأعراب آمنا قل لم تؤمنوا ولكن قولوا أسلمنا ولما يدخل الإيمان في قلوبكم وإن تطيعوا الله ورسوله لا يلتكم من أعمالكم شيئا إن الله غفور رحيم

[ AL H'UJURAAT - 14 ]
Mabedui wamesema: Tumeamini. Sema: Hamjaamini, lakini semeni: Tumesilimu. Kwani Imani haijaingia katika nyoyo zenu. Na mkimt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume wake, hatakupunguzieni chochote katika vitendo vyenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.

Waarabu walijidai wameamini wakati wamesilimu juzi juzi tu ndipo ikashuka aya waambiws wao bado wamesilimu tu sio waumini bado...

Hivyo hata wewe mkuu usitegemee kwamba anaesilimu ndo kaamini hapo hapo hapana,wengine wanaingia kwa ajili ya ndoa ila baadae wanatengenea,wengine waliingiia kwa ajili ya pesa ila baadae wakatengenea..
Huo ndo uislamu mkuu.
.
Tunayo mifano mingiii hata hapa unguja watu wamepewa wake wamesilimu wametulia kabisaa

الجنون فنون
 
Misuko suko ipi uliyopitia na kwa mini umeihusisha na ushirikina?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni story ndefu mkuu siwezi kuandika hapa. Unajua mara nyingi ukionekana unaweza kujihudumia watu wengi hawapendi wakiona ukifanikiwa sio hilo tu wakikuona una afya nzuri tu nalo pia ni tatizo... Yaani kwa ufupi utaishi kwa shida vinginevyo na wewe uingie kwenye ushirikina mshindane kama mbwai iwe mbwai. We acha tu, huoni mfano mdogo baadhi ya wavuvi wa kipemba wakija Bara hawataki kurudi tena kwao ? Jiulize sababu ni nini ? Mimi kipindi sijapata kazi niliwekewa vizingiti ili nisiganikiwe kwa lolote na hata nikifanikiwa nisione matumizi yangu.
Kuna siku nilishaondoka na hirizi kufika Bara nikaitupa kwa makusudi niliona haina tena haja lakini sikukaa mda mrefu yule mganga wangu akanipigia sim na kunieleza kwamba mzigo alionipa nimeudharau nitapata tabu sana vinginevyo niombe likizo akanipe dawa ya kuoga. Mkuu ni stori ndefu mpaka kufika Pemba kanisimulia sehemu nilipoitupa nikashangaa na hajawahi kufika hata siku moja. Na pia nilikua kicheche sana na yote akaniambia na kuna mwanamke akamtaja kwa mifano kwamba ndo niko nae kwasasa naharibu pesa kwa kumuhudumia lakini hapo alikua kapandisha mashetani yake. Nikamkatalia kinafiki lakini ilikua ni kweli akajaribu kunambia kama unakataa je siku ukienda kuzini nikukatushe nguvu za kiume? Nikamjibu hapana usije ukaniletea balaa... Kumbe aliekwenda kushitaki ni mke wangu kwa yule mmama maana ni mwanamke huyo mganga. Wife aiamwambia anifanyie vitimbi nikitaka kuzini ngoma ilale duh!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli mkuu kila anaesilimu mara nyingi wanakuwa bado hawana imanii hata watu wa leo pia hivyo hivyo ndiyo mana pakasemwa katika aya.

قالت الأعراب آمنا قل لم تؤمنوا ولكن قولوا أسلمنا ولما يدخل الإيمان في قلوبكم وإن تطيعوا الله ورسوله لا يلتكم من أعمالكم شيئا إن الله غفور رحيم

[ AL H'UJURAAT - 14 ]
Mabedui wamesema: Tumeamini. Sema: Hamjaamini, lakini semeni: Tumesilimu. Kwani Imani haijaingia katika nyoyo zenu. Na mkimt'ii Mwenyezi Mungu na Mtume wake, hatakupunguzieni chochote katika vitendo vyenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.

Waarabu walijidai wameamini wakati wamesilimu juzi juzi tu ndipo ikashuka aya waambiws wao bado wamesilimu tu sio waumini bado...

Hivyo hata wewe mkuu usitegemee kwamba anaesilimu ndo kaamini hapo hapo hapana,wengine wanaingia kwa ajili ya ndoa ila baadae wanatengenea,wengine waliingiia kwa ajili ya pesa ila baadae wakatengenea..
Huo ndo uislamu mkuu.
.
Tunayo mifano mingiii hata hapa unguja watu wamepewa wake wamesilimu wametulia kabisaa

الجنون فنون
Hahaha Sheikh, aljunuun funuun ni signature yako?
 
Tehehe ndio mkuu ni signecha yangu ambayo naisema mimi sio nilivyo bali naisema mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

الجنون فنون
Hahaha mash khouf ila nimecheka sana. Sabahul khayr.

Fiy amanillah.
 
Ni story ndefu mkuu siwezi kuandika hapa. Unajua mara nyingi ukionekana unaweza kujihudumia watu wengi hawapendi wakiona ukifanikiwa sio hilo tu wakikuona una afya nzuri tu nalo pia ni tatizo... Yaani kwa ufupi utaishi kwa shida vinginevyo na wewe uingie kwenye ushirikina mshindane kama mbwai iwe mbwai. We acha tu, huoni mfano mdogo baadhi ya wavuvi wa kipemba wakija Bara hawataki kurudi tena kwao ? Jiulize sababu ni nini ? Mimi kipindi sijapata kazi niliwekewa vizingiti ili nisiganikiwe kwa lolote na hata nikifanikiwa nisione matumizi yangu.
Kuna siku nilishaondoka na hirizi kufika Bara nikaitupa kwa makusudi niliona haina tena haja lakini sikukaa mda mrefu yule mganga wangu akanipigia sim na kunieleza kwamba mzigo alionipa nimeudharau nitapata tabu sana vinginevyo niombe likizo akanipe dawa ya kuoga. Mkuu ni stori ndefu mpaka kufika Pemba kanisimulia sehemu nilipoitupa nikashangaa na hajawahi kufika hata siku moja. Na pia nilikua kicheche sana na yote akaniambia na kuna mwanamke akamtaja kwa mifano kwamba ndo niko nae kwasasa naharibu pesa kwa kumuhudumia lakini hapo alikua kapandisha mashetani yake. Nikamkatalia kinafiki lakini ilikua ni kweli akajaribu kunambia kama unakataa je siku ukienda kuzini nikukatushe nguvu za kiume? Nikamjibu hapana usije ukaniletea balaa... Kumbe aliekwenda kushitaki ni mke wangu kwa yule mmama maana ni mwanamke huyo mganga. Wife aiamwambia anifanyie vitimbi nikitaka kuzini ngoma ilale duh!.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana.

Kwa hiyo hata kupata kazi tu ilikuwa kwa mbinde ili na watu walikuwekea vizingiti ukipata kazi pesa utakayoipata iishe bila wewe kujua umefanyia kazi gani.

Walimwengu wana mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni story ndefu mkuu siwezi kuandika hapa. Unajua mara nyingi ukionekana unaweza kujihudumia watu wengi hawapendi wakiona ukifanikiwa sio hilo tu wakikuona una afya nzuri tu nalo pia ni tatizo... Yaani kwa ufupi utaishi kwa shida vinginevyo na wewe uingie kwenye ushirikina mshindane kama mbwai iwe mbwai. We acha tu, huoni mfano mdogo baadhi ya wavuvi wa kipemba wakija Bara hawataki kurudi tena kwao ? Jiulize sababu ni nini ? Mimi kipindi sijapata kazi niliwekewa vizingiti ili nisiganikiwe kwa lolote na hata nikifanikiwa nisione matumizi yangu.
Kuna siku nilishaondoka na hirizi kufika Bara nikaitupa kwa makusudi niliona haina tena haja lakini sikukaa mda mrefu yule mganga wangu akanipigia sim na kunieleza kwamba mzigo alionipa nimeudharau nitapata tabu sana vinginevyo niombe likizo akanipe dawa ya kuoga. Mkuu ni stori ndefu mpaka kufika Pemba kanisimulia sehemu nilipoitupa nikashangaa na hajawahi kufika hata siku moja. Na pia nilikua kicheche sana na yote akaniambia na kuna mwanamke akamtaja kwa mifano kwamba ndo niko nae kwasasa naharibu pesa kwa kumuhudumia lakini hapo alikua kapandisha mashetani yake. Nikamkatalia kinafiki lakini ilikua ni kweli akajaribu kunambia kama unakataa je siku ukienda kuzini nikukatushe nguvu za kiume? Nikamjibu hapana usije ukaniletea balaa... Kumbe aliekwenda kushitaki ni mke wangu kwa yule mmama maana ni mwanamke huyo mganga. Wife aiamwambia anifanyie vitimbi nikitaka kuzini ngoma ilale duh!.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu acha shirki mtegemee Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka kimekuchekesha nini hasaaa?

الجنون فنون
Hiyo signecha, baada ya kuinakili aya kwa kumuelimisha mleta Uzi, nilifikiri kulingana na jibu alilolitoa mleta Uzi kwa yule aliyemuuliza ukampa nasaha kwamba sampuli za hao waulizaji zipo nyingi.

Na kuuliza signecha ni kutaka kufahamu kwa hichi nilichofikiri.. Kumbe nilikuwa nimefikiri kwa kukosea kabisa.
 
Ni story ndefu mkuu siwezi kuandika hapa. Unajua mara nyingi ukionekana unaweza kujihudumia watu wengi hawapendi wakiona ukifanikiwa sio hilo tu wakikuona una afya nzuri tu nalo pia ni tatizo... Yaani kwa ufupi utaishi kwa shida vinginevyo na wewe uingie kwenye ushirikina mshindane kama mbwai iwe mbwai. We acha tu, huoni mfano mdogo baadhi ya wavuvi wa kipemba wakija Bara hawataki kurudi tena kwao ? Jiulize sababu ni nini ? Mimi kipindi sijapata kazi niliwekewa vizingiti ili nisiganikiwe kwa lolote na hata nikifanikiwa nisione matumizi yangu.
Kuna siku nilishaondoka na hirizi kufika Bara nikaitupa kwa makusudi niliona haina tena haja lakini sikukaa mda mrefu yule mganga wangu akanipigia sim na kunieleza kwamba mzigo alionipa nimeudharau nitapata tabu sana vinginevyo niombe likizo akanipe dawa ya kuoga. Mkuu ni stori ndefu mpaka kufika Pemba kanisimulia sehemu nilipoitupa nikashangaa na hajawahi kufika hata siku moja. Na pia nilikua kicheche sana na yote akaniambia na kuna mwanamke akamtaja kwa mifano kwamba ndo niko nae kwasasa naharibu pesa kwa kumuhudumia lakini hapo alikua kapandisha mashetani yake. Nikamkatalia kinafiki lakini ilikua ni kweli akajaribu kunambia kama unakataa je siku ukienda kuzini nikukatushe nguvu za kiume? Nikamjibu hapana usije ukaniletea balaa... Kumbe aliekwenda kushitaki ni mke wangu kwa yule mmama maana ni mwanamke huyo mganga. Wife aiamwambia anifanyie vitimbi nikitaka kuzini ngoma ilale duh!.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini Wapemba mnaowa mkiwa katika umri mdogo, kuna rafiki yangu tulisoma nae advanced level lakini tayari alikuwa anamke Pemba kuna siri gani katika hili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo ukibarehe tu unakamitiwa mke? Sipati picha ingekuwa hivyo kwa baadhi ya vijana wa Bara

Sent using Jamii Forums mobile app
Zanzibar ukidowea mtoto wa mtu unakuja unakamatiwa(kama ndoa ya mkeka)tena pemba ndo balaa hasa mana mwanamke anapanga njama na ndugu zake kwamba anaenda sehemu fulani wamfate,wewe unajikuta hujui unamkaribisha mwisho wa siku unagongewa mlango ukifungua unaozeshwa lazima lazima..

Kukamatiwa maana yake ndo hiyoo

الجنون فنون
 
Ni story ndefu mkuu siwezi kuandika hapa. Unajua mara nyingi ukionekana unaweza kujihudumia watu wengi hawapendi wakiona ukifanikiwa sio hilo tu wakikuona una afya nzuri tu nalo pia ni tatizo... Yaani kwa ufupi utaishi kwa shida vinginevyo na wewe uingie kwenye ushirikina mshindane kama mbwai iwe mbwai. We acha tu, huoni mfano mdogo baadhi ya wavuvi wa kipemba wakija Bara hawataki kurudi tena kwao ? Jiulize sababu ni nini ? Mimi kipindi sijapata kazi niliwekewa vizingiti ili nisiganikiwe kwa lolote na hata nikifanikiwa nisione matumizi yangu.
Kuna siku nilishaondoka na hirizi kufika Bara nikaitupa kwa makusudi niliona haina tena haja lakini sikukaa mda mrefu yule mganga wangu akanipigia sim na kunieleza kwamba mzigo alionipa nimeudharau nitapata tabu sana vinginevyo niombe likizo akanipe dawa ya kuoga. Mkuu ni stori ndefu mpaka kufika Pemba kanisimulia sehemu nilipoitupa nikashangaa na hajawahi kufika hata siku moja. Na pia nilikua kicheche sana na yote akaniambia na kuna mwanamke akamtaja kwa mifano kwamba ndo niko nae kwasasa naharibu pesa kwa kumuhudumia lakini hapo alikua kapandisha mashetani yake. Nikamkatalia kinafiki lakini ilikua ni kweli akajaribu kunambia kama unakataa je siku ukienda kuzini nikukatushe nguvu za kiume? Nikamjibu hapana usije ukaniletea balaa... Kumbe aliekwenda kushitaki ni mke wangu kwa yule mmama maana ni mwanamke huyo mganga. Wife aiamwambia anifanyie vitimbi nikitaka kuzini ngoma ilale duh!.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mkiristu ila naamini masuala yetu Waafrika hayatatuliwi kidini, Bali yanatatuliwa kwa mila zetu, kuna watu humu waongo wanajifanya eti dini ndo kila kitu mila za makabila yao wanaziona za kishenzi lakini ukiwachunguza unawakuta wanamatizo kibao hadi wanakaribia kuwa vichaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zanzibar ukidowea mtoto wa mtu unakuja unakamatiwa(kama ndoa ya mkeka)tena pemba ndo balaa hasa mana mwanamke anapanga njama na ndugu zake kwamba anaenda sehemu fulani wamfate,wewe unajikuta hujui unamkaribisha mwisho wa siku unagongewa mlango ukifungua unaozeshwa lazima lazima..

Kukamatiwa maana yake ndo hiyoo

الجنون فنون
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] niliishi Tanga miaka fulani, vijana ndoa za mikeka zilikuwa nyingi lakini hazidumu, lakini naona za wapemba huwa zinadumu au mabinti ni watundu sana kiasi kwamba unajikuta umeridhika nae?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] niliishi Tanga miaka fulani, vijana ndoa za mikeka zilikuwa nyingi lakini hazidumu, lakini naona za wapemba huwa zinadumu au mabinti ni watundu sana kiasi kwamba unajikuta umeridhika nae?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachochangia pia mtu anachagua kifaa kakipenda hata akikamatiwa mwenyewe anaridhika kabisa kwa sababu pemba unaweza kamatiwa hata hujazini labda mtoto ana tabia safi katulia ila kaja kwako sio kwa lengo la zinaa unakamatiwa,sasa utamuacha huyu mkuu??

Unamuoa na maisha yanaenda

الجنون فنون
 
Back
Top Bottom