Wewe ni mpemba? je mpemba wa wapi?Habari za majukumu wakuu..
Bila kusahau kwamba leo ni Ijumaa nawakumbusha ibada kwa wale wenzangu nami.
Rudi kwenye mada.. Kama inavojieleza hapo juu nawakaribisha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alipo mpemba hata kama ni Marekani watatafutana na uaminifu wao ndo unaofanya watafutane.
Hamna labda wakuja..je ni kweli pemba hamna wanawake wanaotembea vichwa wazi (ukiondoa wazungu)??
kwahiyo na wakuja lazima afunike kichwa ili kuto onekana watoufauti??
Hapana ni mawazo tu ya watu wasiojielewa..Eti nikweli pesa zena zina ushirikina? Kwamba ukimuuzia mpemba kitu hesabu muda mfupi tu hela yako imeisha na matumizi ya maana uliyofanya huyajui
Akikujibu nitagAlafu kwanini Pemba utani wenu ni kufumuana marinda??
Yani unakuta hata mtoto anamtania babu mzima.
Sent using Jamii Forums mobile app
* Mkuu ni uongo uliotukuka hakuna kuchagua watu wakuwapa waume.. Kule mara nyingi wanaangalia tabia yako hata uwe mbongo. Kitu kitakachokufanya upate mke kwa urahisi zaidi Pemba uwe na mwenyeji akumalizie yeye na sio wewe. Wanajua wabongo wengi ni walevi, wauwaji na mambo mengi mabaya. Ukiwa na mwenyeji ndo anakumalizia yeye kwa kukusifia wewe sio wewe mwenyewe hawakuamini.Kwanini inakua ngumu kuruhusu mwingiliano wa kindoa na mtu kutoka bara ama sivyo awe tajiri?
Mnabaguana wenyewe kwa wenyewe?
Unamchukuliaje asiye mpemba?
Umewahi ishi bara? Ulichukua muda gani kuzoea mazingira?
Unadhani ni Kwanini anal sex inadaiwa kushamiri huko pemba?
Ndio tena wa wilaya ya Micheweni.Wewe ni mpemba? je mpemba wa wapi?
Hao wakuja wenyewe wakifika lazima watafata mila za kipemba maana tunawaowa ili wasirudi tena bara.kwahiyo na wakuja lazima afunike kichwa ili kuto onekana watoufauti??
Hahaha, urojo ni kilaji cha kiburudisho tu na sio kwamba lazima ukipate.. Pweza wanaongeza damu mwilini na pia kuhusu misuli ilikua zamani sasa hivi imeadimika.
Niliwaona Unguja kwenye vijiwe vya kahawa, yani ni full masihara
Ikitokea binti nikamtia mimba siwezi oa?Hahaha... Mkuu mimi sio shekh, inategemea na sehemu utakayobahatika sio kwamba hawataki. Ila wana itikadi ya kupeana wao kwa wao. Ukiona rangi nyeusi wameowana na mwarabu huyo kwakweli itakua wamenza mbali sana. Juhudi za kazi anapofanyia kazi kwa waarabu wanamchunguza tabia mpaka wanajiridhisha kumpa mtoto wao.
Sent using Jamii Forums mobile app