Niulize swali lolote kuhusiana na wapemba na Pemba yenyewe..

Niulize swali lolote kuhusiana na wapemba na Pemba yenyewe..

Naongelea wapemba mkuu kama mada inavyojieleza sio wake zetu. Na habari zinajulikana kua wapemba wanapenda kula jicho. Mimi binafsi nilikutana na mmoja nikipiga kwenye papuchi anailengesha makusudi kwenye jicho

Mtu Mzito HEAVY WEIGHT



لعنة الله عليك
 
Mimi nasikia kuwa hata msumbiji kuna mji (mkoa) unaitwa Pemba, sasa niambie nani "kaiba" jina kutoka kwa mwenzake??.

Swali la pili, ninasikia kando ya bahari ya pemba kuna mafuta, je yameanza kuchimbwa au ni uongo hakuna mafuta??.
 
Mimi nasikia kuwa hata msumbiji kuna mji (mkoa) unaitwa Pemba, sasa niambie nani "kaiba" jina kutoka kwa mwenzake??.

Swali la pili, ninasikia kando ya bahari ya pemba kuna mafuta, je yameanza kuchimbwa au ni uongo hakuna mafuta??.
La kwanza hata sijui maana kuna baadhi ya maeneo pia yanafanana majina..

La pili, mafuta bado hayajaanza kuchimbwa na pia mafuta kweli hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa nini wapemba ni wachafu?
Sio kweli, na ukitaka kupata watu wasaf ni Wapemba na Zanzibar kwa ujumla maana hakuna mwanamke anaekojoa amesimama wala hakuna ambae anaenda kukojoa asitumie maji lakini bongo nimeyaona haya. Ilifikia kipindi nikapata magonjwa ya ajabu kwa kuwaingilia watu huo bila kondom nilijuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom