Niulize swali lolote kuhusiana na wapemba na Pemba yenyewe..

Swali langu nilisikia ardhi ya pemba inamegwa na bahari na kutishia kisiwa cha Pemba. Je kunajitihada gani zimewekwa na kuanza kutekelezwa Kikinusuru kisiwa hicho...?
 


Na wewe vipi mdomo wako??, je ukiambiwa huwa unakula "eye" utakataa??😫😫
 
Swali la pili, mleta uzi umekiri kuwa wapemba ni washirikina je ushirikina wao unauhusiano wowote na imani ya dini kwa maana ya kutumia kitabu au wakutumia mitishamba,Kama inavyofahamika asilimia kubwa ni waislam na wacha Mungu hauoni kwa kujihusisha na ushirikina inapingana na sifa za uchaMungu.
 
Nasikia Pemba ukienda mfanyakazi au mfanyabiashara uko vizuri kimaisha unaulizwa anakupikia nani? Ukisema unapika mwenyewe unaambiwa kuna mwenzako atakuja kukusaidia, na unakuwa ndo ushapewa mke, ni kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So hakuna mpemba atakayeona pepo kama nyote washirikina!!

Halafu mna wasema wabara kuwa wahuni.
 
Kumbe hata pemba kuna vijiji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa maana hiyo basi wanaoana ndugu kwa ndugu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akikujib unitag

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali langu nilisikia ardhi ya pemba inamegwa na bahari na kutishia kisiwa cha Pemba. Je kunajitihada gani zimewekwa na kuanza kutekelezwa Kikinusuru kisiwa hicho...?
Jitihada zilizofanyika ilipangwa miti/mikoko kwa wingi ili kupunguza mmong'onyoko wa ardhi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchawi upo na utaendelea kuwepo tangia enzi za Nabii Mussa ulikuwepo... Sasa kwa upande wa kutumia vitabu kwa kumshirikisha Allah hapana. Kutumia vitabu vya Allah ili kupata dawa ndo njia sahihi kabisa... Lakini watu wengi tulipofeli ni pale kuendekeza mashetani/Majini. Na ushirikina unakuja pale ambapo shetani atataka afanyiwe kitu fulani na msipomfanyia atakavyo akadai familia yenu itapata tabu kwa maana yeye anajifanya amekuwa Mungu akifanyiwa atakalo hakuna shida atailinda familia wakati mlinzi ni mmoja tu. Na pia hakuna uhusiano wa dini na ushirikina.. Dini inakemea hilo. Na miti shamba ni kweli inahusishwa na ushirikina baadhi ya watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…