jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,012
Yeye ndio kasema aulizwe mkuu,hakutuambia tuka google.Sometimes usiulize swali kwa lengo LA kumkomoa mtu Zoesite unaweza ukagoogle ukaisoma
Pole kwa ugumu wa maisha mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye ndio kasema aulizwe mkuu,hakutuambia tuka google.Sometimes usiulize swali kwa lengo LA kumkomoa mtu Zoesite unaweza ukagoogle ukaisoma
Hua mwenye eneo analipwa.?Kuna kampuni inafanya exploration maeneo ya Handeni inaitwa Canaco, sio mgodi thou still wapo kwenye exploration.
Migodi mingi ya gold ipo kunako Archean greenstone belt, ndipo kuna deposit kubwa ya gold so far kwa Tz.
Mbona naskia wamehama pale.?Upanga inatizamana na tambaza shule
Sijajua kuhusu mhusika wa eneo inakuaje, ila hadi kuanza exploration ni lazima kapata kibali cha kufanya hivyo.Hua mwenye eneo analipwa.?
Sina ugumu Wa maisha KijanaYeye ndio kasema aulizwe mkuu,hakutuambia tuka google.
Pole kwa ugumu wa maisha mkuu.
Kama unamiliki surface right kisheria unalipwa na kama unamiliki mineral right pia utaingia katika makubaliano na anayetaka kukununua leseni yakoHua mwenye eneo analipwa.?
kwan kuna shdaww jamaa mpk insta unatumia jina hil nikasema nan huy kanifollow
Kweli kabisa unapokwenda chini zaidi Kwenye kiini cha dunia (earth's core) jotoardhi (geothermal) huongezeka... Kina kirefu zaidi cha bahari kinapatikana bara la Amerika kusini, kinaitwa "Mariana trench"..Ila kitu unachotakiwa kukumbuka ni kwamba kina kirefu cha bahari bado kipo Kwenye uso wa dunia na ni mbali sana kutoka Kwenye mantle au core..Inasemekana katikati ya dunia ..kati...Core kuna Moto mkali sana.
Sasa inakuwaje kina cha bahari maji ni bardi
Sospeter Muhongo ama S.M kwa jina la kitaalamu ni matokeo ya uozaji wa mwamba geu(serikali ya ESCROW) na mwamba moto(serikali ya MKURUPUKO)kwa pamoja ukazaa mwamba tabaka(UWAZIRI)....Je, unamfahamu Prof. Muhomgo?
Glassy texture u say.. glassy texture ina occur inform of particles?? Glassy particles vivid example si obsidian?Hivyo sio vioo ndugu. Ni very small fine particles. Zinazotokana na pale miamba iliyoyeyuka inaganda kwa haraka sana ndo inasababisha kutokea hali hiyo. ( inaitwa glassy texture ) vilevile hiyo inaweza kuwa ni inclusion ya monera mbalimbali ambazo zinaonekana kama vioo kutokana na bright colour.
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 hatareeeeeeeYeye ndio kasema aulizwe mkuu,hakutuambia tuka google.
Pole kwa ugumu wa maisha mkuu.
Zoesite.. group of minerals ambazo zipo in sorosilicate (epidote grup) zina range in colours from white, yellow, brown, green, blue to purple.. tanzanite ni zoisite ambayo ni blue-purple in colourBado hujajibu ipasavyo,Zoethite ni nini?
Ukishapima code nets za eneo unakwenda kucheki wizarani kama halina mtu, na kama hakuna aliyepewa license ya shughuri za utafiti eneo hilo kuna taratibu za kijiji kukujadili na kuandaa mukhtasari wa kijiji na utalipa malipo ya kijiji kisha ndio unakwenda kuliombea license eneo hilo wizarani baada ya kumaliza kuchukuwa code nets zake kwa GPS.Hua mwenye eneo analipwa.?
Ha ha ha kazi ipoo, msamehe tu ndugu yetu huyo.Unajua tofauti ya lecturer na lecture?
Acha masihara banaSospeter Muhongo ama S.M kwa jina la kitaalamu ni matokeo ya uozaji wa mwamba geu(serikali ya ESCROW) na mwamba moto(serikali ya MKURUPUKO)kwa pamoja ukazaa mwamba tabaka(UWAZIRI)....
Aina ya miamba hii inapatikana kaskazini mwa nchi (MUSOMA)
Nimekujibu sijui?
Vice versa ndo sawa... tanzanite ni moja wapo ta form ya zoisiteNi mojawapo ya form za tanzanite
mkuu uko deep indeed....Ndio its possible. Hii inatokana na solid solution. Inapokuwa inatokea temperature inabadirika but pressure inabaki constant. At the end zote zinakuwa stable at the same condition. Thats why you can observe such condition
Mbona naskia wamehama pale.?
Tunaweza kuongea pm.?Kama unamiliki surface right kisheria unalipwa na kama unamiliki mineral right pia utaingia katika makubaliano na anayetaka kukununua leseni yako