Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Navojua haweziHGL hawezi kusoma jiolojia
Qtz huwa haingaii so haiwezi kua appear kama kiooObvious itakua ni mineral quartz, micas ni sheet silicate labda angesema kama bati kama ni paricles au vipande vipande ni quartz
Geological answerSospeter Muhongo ama S.M kwa jina la kitaalamu ni matokeo ya uozaji wa mwamba geu(serikali ya ESCROW) na mwamba moto(serikali ya MKURUPUKO)kwa pamoja ukazaa mwamba tabaka(UWAZIRI)....
Aina ya miamba hii inapatikana kaskazini mwa nchi (MUSOMA)
Nimekujibu sijui?
Hawezi mkuuHGL hawezi kusoma jiolojia
Nimemwambia inaweza kuwa ni inclusion ya minerals kama hizo mica etcGlassy texture u say.. glassy texture ina occur inform of particles?? Glassy particles vivid example si obsidian?
Hizi small particles sio micas (muscovite)
Mulize yeye mwenyewe anataka kusomea nini.! Kisha mpeleke hicho hichoAnafaa akasome nini
BlueschistNaomba nielezee niweze kufahamu zaidi mkuu. Navojua kuna minerals zinazotokana na sedimentation kama calcite. Phosphate na zile za limestone.
Na nyingine kwenye process of crystallisation.
Na nyingine zinakuwa formed due to metamorphic reactions.
Kuna vyuo vinne tu tanzania vinavyotoa mafunzo yanayohusiana na mambo ya jiolojia.Ahsante sana. Je, kwa Tanzania Chuo kizuri cha kusoma hayo majiolojia ni kipi?? Na ni zipi sifa za anayetaka kusoma Cheti?
Unamtafutia geology??? Au una maanisha nini??Dah!!! Namtafutia mdogo wangu ana Pass za HGL
Mambobrahisi sana huku, mlete tuuDah!!! Namtafutia mdogo wangu ana Pass za HGL
Kuna tofauti gani kati ya geology na geotechnic!! Je ziko sawa??Nakuuliza katika Geology(for that matter nazungumzia Engineering Geology).
Katika elimu miamba pia kuna elimu udongo(Soil Mechanics)!
Sasa dwali jepesi, je aina za udongo gani zinaingia katika makundi matatu ya Miamba? Yaani Metarmophic Rock et al na aina tatu za udongo yaani Argilleciuos, Calcerous na Siliceous(spelling zingatia)
Kwa sababu miamba aina tatu muhimu huzalisha aina tatu za udongo. Humo ndani utakatana na Silica, Kaolinite, Irone Oxide, Calcium Ferroxide et al. Naomba uhusiano.
Hapo nimeuliza yale yanayohusiana Udongo na Geology. Sijataka kujikita na yale ya Soil Mechanics and Foundation Engineering
Ubarikiwe
Asante kwa masahihisho, mimi ni mtu wa field sijakaa darasani kwenye fani hii.Ni coordinates mkuu
Sure,Ni vizuri mkijadiliana hapa. Ili muweze kipata suport kwa wataalamu wengine. Na kuna
Geologist wanatafuta nafasi za kuanzia bado hawajapata
Hasante kwa mchango wakonaomba niongezee hapo mkuu....dodoma ipo kwnye tanzania craton lakini ni central tanzania craton ambayo iko less endowed na gold ukilinganisha na northern tz craton ambayo ni lake victoria goldfield (geita huko)....gold imeonekana dodoma kwenye greenstone belt ya mazoka-mafulungu..kama mkuu alivyosema pia ukanda wa mozambique pembeni kidogo ya dodoma kwenye mikoa kama tanga,moro
Muulize anapenda nini then icho ndio akasomee....infact sheria...biashara na kozi zote za arts!! japo itatemea na levo..Anafaa akasome nini