Niulize swali lolote kuhusu Geology na field zote zinazohusuhiana na Jiolojia

Niulize swali lolote kuhusu Geology na field zote zinazohusuhiana na Jiolojia

Asante sana mkuu kwa kuanzisha uzi huu ambao kimsingi ni uzi ambao utakufanya ujikubali kwa kadri utakavyojib maswali ya critical asked qns lakini pia ni uzi huu huu utakaokufanya uprove failure elimu yalo...

Naomba nikulize kitu ambacho kinanitatiza na ukikijibu vizuri kabsaaa nitakupa zawadi nono sana mkuuu...

1.kwanini wanageolojia wengi wanapenda kusoma the earth as with its components ,minerals.rocks as well as type of rocks and the way how they were formed..??
Actually minerals na rocks are formed in different shapes and the structure they appear..but the question comes ...
Why though the earth exists with all it properties concerned formed the laws governing their nature how they were formed...namanisha kwamba formation ya miamba hiyo na madini hayo ni kwa misingi ya sheria na taratibu zilipelekea kupatikana lakini ni kwanini dunia hii ina umbo la duara..??

What force(s) governs the formation of earth's crust shaped falling to its spherical nature aparty from other shape though the earth itself governs the formation of other its components into different structures...??

2.kwnin lakini ..?? Hebu jitutumue mkuu juu ya orijinal nature formation of the earth's structure...
Swali zuri saaaana mkuu..
Napenda kuanza hivi.

1.dunia sio duara as most of people thinks. Dunia ni tufe lenye umbo undefined.. On the basis of GIS&RS(GEOGRAPHIC INFO. SYSTEM NA REMOTE SENSING)
WATAALAM WALIKAA WAKAAMUA KUTAFUTA NJIA AMBAYO ITASAIDIA KTK KUISOMA DUNIA HAPA NA MAANISHA VIPIMO KAMA VYA LATITUDE NA LONGTUDES. WAKAAMUA KUIPROJECT DUNIA KATIKA SHAPE YA SPHERICAL ILI MATHEMATICAL ARITHMETICS ZIWE POSSIBLE IN CALCULATIONS..

NIRUDI KATIKA KWANINI FORCES ZINAZOGOVERN SHAPE TOFAUTI TOFAUTI ZA MINERAL HAZI ACT KTK KUISHAPE DUNIA

DUNIA NI COMPLEX IN TERM YA INTERNAL & EXTERNAL PROCESSES. INTERNAL KUNA VOLCANIC NA SEISMIC ACTIVITIES. EXTERNAL KUNA WEATHERIN GRADATION WIND NA WATER (AELION) ACTIVITIES KWAHIYO SHAPE YA NJE INAKUWA DETERMINED NA IZI ACTIVITIES SIO HIZI TU BALI KUNA RELATION KATI YA INTERNAL NA EXTERNAL THAT'S "ISOSTATIC PRINCIPLE" KWAMBA UKU KUKIBONYEA BASI KULE KUTA TANUKA.

MINERALS KAMA MINERALS ZINA UNDWA NA AGGREGATES ZA ATOMS TOFAUT TOFAUT MF DIAMOND AU GRAPHITE STUCTURE ZAO ZIKO TOFAUTI NA FLOURITE HII NI CHEMISTRY SASA... HOW ATOMS ARE BONDS TOGETHER..

SIJUI UMEPATA MWANGA KAMA NDIO HIYO ZAWADI NONO NAOMBA UNIPE.. AMBAPO HAPAJAELEWEKA ULIZA.
ASANTE
 
Mkuu hivi kuna tofauti gani kati ya oil shale na shale oil katika tasnia ya mafuta na gesi.
Oil shale ni sedimentary rock ambazo zimecontain colagen materials

Shale oil ni mchanganyiko wa organic matters, water, sand and clay. Kwa kifupi ni hivo
 
Swali zuri saaaana mkuu..
Napenda kuanza hivi.

1.dunia sio duara as most of people thinks. Dunia ni tufe lenye umbo undefined.. On the basis of GIS&RS(GEOGRAPHIC INFO. SYSTEM NA REMOTE SENSING)
WATAALAM WALIKAA WAKAAMUA KUTAFUTA NJIA AMBAYO ITASAIDIA KTK KUISOMA DUNIA HAPA NA MAANISHA VIPIMO KAMA VYA LATITUDE NA LONGTUDES. WAKAAMUA KUIPROJECT DUNIA KATIKA SHAPE YA SPHERICAL ILI MATHEMATICAL ARITHMETICS ZIWE POSSIBLE IN CALCULATIONS..

NIRUDI KATIKA KWANINI FORCES ZINAZOGOVERN SHAPE TOFAUTI TOFAUTI ZA MINERAL HAZI ACT KTK KUISHAPE DUNIA

DUNIA NI COMPLEX IN TERM YA INTERNAL & EXTERNAL PROCESSES. INTERNAL KUNA VOLCANIC NA SEISMIC ACTIVITIES. EXTERNAL KUNA WEATHERIN GRADATION WIND NA WATER (AELION) ACTIVITIES KWAHIYO SHAPE YA NJE INAKUWA DETERMINED NA IZI ACTIVITIES SIO HIZI TU BALI KUNA RELATION KATI YA INTERNAL NA EXTERNAL THAT'S "ISOSTATIC PRINCIPLE" KWAMBA UKU KUKIBONYEA BASI KULE KUTA TANUKA.

MINERALS KAMA MINERALS ZINA UNDWA NA AGGREGATES ZA ATOMS TOFAUT TOFAUT MF DIAMOND AU GRAPHITE STUCTURE ZAO ZIKO TOFAUTI NA FLOURITE HII NI CHEMISTRY SASA... HOW ATOMS ARE BONDS TOGETHER..

SIJUI UMEPATA MWANGA KAMA NDIO HIYO ZAWADI NONO NAOMBA UNIPE.. AMBAPO HAPAJAELEWEKA ULIZA.
ASANTE
Duuuuuh....daaaaah...kwa maelezo hayo but hujaja katka reality...unajua ukweli utajulikana tu hata kwa maelezo...

But asante kwa mchango wako..lakini pia unataka kunambia shape ya earth as spherical ilibuniwa tu...??
Kwani unataka kunambia miaka yako hiyo cjui 4 hukufundishw how planets came to exist under laws and processes governed..??
Tuache siasa....nijibu
 
Inakuwaje kuna nyayo za binadamu kwenye baadhi ya mawe makubwa hapa tz?
Swali zuri sana. Nakumbuka topic iliitwa paleontology

Anyway hiyo ni kwamba zinaitwa trace fossils. Zilitokana na kipindi kile almost 40 million years ago.
Kabla udongo haujawa changed kuwa rocks hizo nyayo zilikuwepo kama kwenye matope tu. But kutokana na hali ilipobadirika ule udongo ukawa changed to stone na zile nyayo hazikuharibika ndo maana tunaziona mpaka saiv.

Kuna evidence nyingi kama nyayo za dinasors na wanyama wengine.
 
Jo
Mawe yako katika aina kuu tatu, sedimentary, igneous na metamorphic

Katika aina izo tatu igneous ni aina mama ambayo inasababisha rocks nyngine, igneous inatokea kukiwa na volcanic yaani ule uji uji wa moto uki toka na kuganda eidha nje ya uso wa dunia au ndani (intrusives&extrusives)
Sedimentary inatokea endapo ivneous inapo kua weathered na maji au wanyama n. K
Metamorphic inatokea kama katika ukanda wenye sedimentary utaunguzwa na uwepo wa magma au pressure kubwa (burrial pressure abt 2kbar na kuendelea)

Basics ni hivyo.. Asante
Mkuu Kuna tofauti ganj kati ya Mawe na Miamba?
 
Swali zuri saaaana mkuu..
Napenda kuanza hivi.

1.dunia sio duara as most of people thinks. Dunia ni tufe lenye umbo undefined.. On the basis of GIS&RS(GEOGRAPHIC INFO. SYSTEM NA REMOTE SENSING)
WATAALAM WALIKAA WAKAAMUA KUTAFUTA NJIA AMBAYO ITASAIDIA KTK KUISOMA DUNIA HAPA NA MAANISHA VIPIMO KAMA VYA LATITUDE NA LONGTUDES. WAKAAMUA KUIPROJECT DUNIA KATIKA SHAPE YA SPHERICAL ILI MATHEMATICAL ARITHMETICS ZIWE POSSIBLE IN CALCULATIONS..

NIRUDI KATIKA KWANINI FORCES ZINAZOGOVERN SHAPE TOFAUTI TOFAUTI ZA MINERAL HAZI ACT KTK KUISHAPE DUNIA

DUNIA NI COMPLEX IN TERM YA INTERNAL & EXTERNAL PROCESSES. INTERNAL KUNA VOLCANIC NA SEISMIC ACTIVITIES. EXTERNAL KUNA WEATHERIN GRADATION WIND NA WATER (AELION) ACTIVITIES KWAHIYO SHAPE YA NJE INAKUWA DETERMINED NA IZI ACTIVITIES SIO HIZI TU BALI KUNA RELATION KATI YA INTERNAL NA EXTERNAL THAT'S "ISOSTATIC PRINCIPLE" KWAMBA UKU KUKIBONYEA BASI KULE KUTA TANUKA.

MINERALS KAMA MINERALS ZINA UNDWA NA AGGREGATES ZA ATOMS TOFAUT TOFAUT MF DIAMOND AU GRAPHITE STUCTURE ZAO ZIKO TOFAUTI NA FLOURITE HII NI CHEMISTRY SASA... HOW ATOMS ARE BONDS TOGETHER..

SIJUI UMEPATA MWANGA KAMA NDIO HIYO ZAWADI NONO NAOMBA UNIPE.. AMBAPO HAPAJAELEWEKA ULIZA.
ASANTE
Pamoja classmate. Aka cr wangu enzi zileee
 
Duuuuuh....daaaaah...kwa maelezo hayo but hujaja katka reality...unajua ukweli utajulikana tu hata kwa maelezo...

But asante kwa mchango wako..lakini pia unataka kunambia shape ya earth as spherical ilibuniwa tu...??
Kwani unataka kunambia miaka yako hiyo cjui 4 hukufundishw how planets came to exist under laws and processes governed..??
Tuache siasa....nijibu
We jamaa unataka uandikiwe equation za garavity, ukisoma kuna evidence kibao kama rotation of the earth. Na mass of the earth......

Geophysics yote inahusika mkuu
 
Very simple

Ila acheni maswali ya mitego.

Nakumbuka inaform gneiss
Kweli kabisa...kuna watu wawil watatu humu wanauliza maswali ya mitego...wanauliza maswali ambayo wanajua Majibu yao...mwalim hawezi kumfundisha mwalim kuna sehem tu hawataelewana.. Mwalim anaweza kumfundisha mwanafunz tu

Acheni viherehere kudandia nyuzi za watu nyie mngeanzisha nyie basi huu uzi....subiri muhusika ajibu maswali kama mkiona kuna sehem ya kuongeza ongezeeni sio na nyie muulize maswali
 
Back
Top Bottom