Niulize swali lolote kuhusu Geology na field zote zinazohusuhiana na Jiolojia

Niulize swali lolote kuhusu Geology na field zote zinazohusuhiana na Jiolojia

Swali zuri sana. Nakumbuka topic iliitwa paleontology

Anyway hiyo ni kwamba zinaitwa trace fossils. Zilitokana na kipindi kile almost 40 million years ago.
Kabla udongo haujawa changed kuwa rocks hizo nyayo zilikuwepo kama kwenye matope tu. But kutokana na hali ilipobadirika ule udongo ukawa changed to stone na zile nyayo hazikuharibika ndo maana tunaziona mpaka saiv.

Kuna evidence nyingi kama nyayo za dinasors na wanyama wengine.
Daaah mie paleontology nilisoma kama somo kabisa kwa semister nzima ilinitesa sana cz tc all about biology tu nlikonda sana kipindi kile
 
Jo
Mkuu Kuna tofauti ganj kati ya Mawe na Miamba?
Tofauti ni size tu. Kuna scale inatwa wentworth scale inaweza kutumika kuclassfy types zote kama garavel. Pebbles, cables etc
 
Duuuuuh....daaaaah...kwa maelezo hayo but hujaja katka reality...unajua ukweli utajulikana tu hata kwa maelezo...

But asante kwa mchango wako..lakini pia unataka kunambia shape ya earth as spherical ilibuniwa tu...??
Kwani unataka kunambia miaka yako hiyo cjui 4 hukufundishw how planets came to exist under laws and processes governed..??
Tuache siasa....nijibu
Mkuu mbona unanikatalia.. Kama unalojibu liseme tu..

Dunia haipo spherical ndugu..
Angalia hapa
1469533909394.jpg


Kuna principle nyingi zilizo tolewa na watu tofauti, lkn juu la shape ya earth ni hivyo mkuu hakuna siasa hapa..
 
Daaah mie paleontology nilisoma kama somo kabisa kwa semister nzima ilinitesa sana cz tc all about biology tu nlikonda sana kipindi kile
Yah hii ni kozi na wengi huwa wanaiogopa sana kwa sababu ya biology
 
Kwa mara ya kwanza nimefarijika sana kuona geo wenzangu wakijadili
Vizur basi tutambuane alf tubadiliashe hata namba za simu na tupeane machimbo nadhan mnafahamu hali ya ajira ilivyo kwa sasa.. Muanzisha uzi kama utaweza kutengeneza whatsapp group to taarifa tukupe namba zetu utu-add
Wako mtiifu
MULTIPHILL90
BSc GEOLOGY
UDOM-2013
 
Jo
Mkuu Kuna tofauti ganj kati ya Mawe na Miamba?
Nilitumia jiwe kulingana na jinsi mhusika alivyo uliza

Anyways, mwamba(rock) ni ile mjumuiko wa madini tofauti tofauti kwa ujumla ni mwamba na inakua ktk large scale

Jiwe(stone) ni vipande vya mwamba, huwa na size ndogo
 
Kwa mara ya kwanza nimefarijika sana kuona geo wenzangu wakijadili
Vizur basi tutambuane alf tubadiliashe hata namba za simu na tupeane machimbo nadhan mnafahamu hali ya ajira ilivyo kwa sasa.. Muanzisha uzi kama utaweza kutengeneza whatsapp group to taarifa tukupe namba zetu utu-add
Wako mtiifu
MULTIPHILL90
BSc GEOLOGY
UDOM-2013
Ntalifanyia kazi mkuu

Avatar mok
 
Kweli kabisa...kuna watu wawil watatu humu wanauliza maswali ya mitego...wanauliza maswali ambayo wanajua Majibu yao...mwalim hawezi kumfundisha mwalim kuna sehem tu hawataelewana.. Mwalim anaweza kumfundisha mwanafunz tu

Acheni viherehere kudandia nyuzi za watu nyie mngeanzisha nyie basi huu uzi....subiri muhusika ajibu maswali kama mkiona kuna sehem ya kuongeza ongezeeni sio na nyie muulize maswali
Asante mkuu kwa kuwaona hao watu, ila sio mbaya [emoji57]
 
Nimeanzisha uzi huu kuwapata watu kama nyie. Ikiwezekana tupeane channel.

Za machimbo mzee
Uko interested na chimbo? Well kama kun mgodi sehemu unweza kutumia taaluma yako na kuweza kujuwa hazina iliyopo au mpaka uchukuwe mchanga kutoka chimbo ukapimwe?

Je unayo taaluma ya kugunduqa miamba hasa kwa wachimbaji wadogo bila kutumia vifaa vya kisasa?

Je taaluma yako ni ya darasani zaidi au ukipelekwa field kwenye uhalisia unaweza kuitumia taaluma yako?
 
Asante mkuu kwa kuwaona hao watu, ila sio mbaya [emoji57]
Tulikuwa tunaondoa doubt mzee, dats y tukawa tunauliza maswali ya mtego ili tupate uhakika kama mwanzilishi wa uzi ana uhakika ameiva katika geology, anyway mjiolojia hauogopi changamoto hata maswali pia ni muhimu
 
Uko interested na chimbo? Well kama kun mgodi sehemu unweza kutumia taaluma yako na kuweza kujuwa hazina iliyopo au mpaka uchukuwe mchanga kutoka chimbo ukapimwe?

Je unayo taaluma ya kugunduqa miamba hasa kwa wachimbaji wadogo bila kutumia vifaa vya kisasa?

Je taaluma yako ni ya darasani zaidi au ukipelekwa field kwenye uhalisia unaweza kuitumia taaluma yako?
Sina uzoefu sana na chimbo mkuu
 
Back
Top Bottom