Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Naomba kujua definition of pillar in mining methods [emoji101]Kuna maneno mengine yapo scientifically kiswahili hakijitoshelezi kukamilisha maelezo yote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba kujua definition of pillar in mining methods [emoji101]Kuna maneno mengine yapo scientifically kiswahili hakijitoshelezi kukamilisha maelezo yote
Kila kitu kinawezekana. As long as wataalam tupo wa kutosha. Kinachosumbua hii field ni umoja hasa katika kusaidiani.Uko interested na chimbo? Well kama kun mgodi sehemu unweza kutumia taaluma yako na kuweza kujuwa hazina iliyopo au mpaka uchukuwe mchanga kutoka chimbo ukapimwe?
Je unayo taaluma ya kugunduqa miamba hasa kwa wachimbaji wadogo bila kutumia vifaa vya kisasa?
Je taaluma yako ni ya darasani zaidi au ukipelekwa field kwenye uhalisia unaweza kuitumia taaluma yako?
Mkuu hakuna mtu aliekatazwa kutoa mchango wake...mimi naona mtu kama anajua kitu na anaona muhusika ajajibu sahihi kivile basi aongezee na yeye kitu ili watu wapate info zaidi...Asante mkuu kwa kuwaona hao watu, ila sio mbaya [emoji57]
HaswaaTulikuwa tunaondoa doubt mzee, dats y tukawa tunauliza maswali ya mtego ili tupate uhakika kama mwanzilishi wa uzi ana uhakika ameiva katika geology, anyway mjiolojia hauogopi changamoto hata maswali pia ni muhimu
Ukijichanganya kwa wadau chaka zipo mkuu.Mkuu moyo unanituma nikutafute [emoji6]
Jiolojisti yeyote ndani ya tz, lazima apitie chimala..Kuna mjiolojia humu aliyewahi kwenda chimala mbeya kwa field work?
Naomba unisome upya kisha unijibu kwa ufasaha, mimi nipo kwenye hii industry si kama mtaalam bali mmiliki, ukinijibu niliyokuuliza ndio utanipa mwangaza hata wakufanya arrangement za kwenda field kufanya visibility study.Kila kitu kinawezekana. As long as wataalam tupo wa kutosha. Kinachosumbua hii field ni umoja hasa katika kusaidiani.
Ukimwona mwenzio anazo sifa na anajituma usisite kumhusisha.
Hizi kazi za madili hazije zenyewe bila kujenga channel na wengine
TOGETHER WE CAN
Daaa...aya makitu yalimfilisi kabisa babu yangu...alitumbukiza pesa zote uko mwisho wa siku akapotea kabisa na nyumbani...Naomba unisome upya kisha unijibu kwa ufasaha, mimi nipo kwenye hii industry si kama mtaalam bali mmiliki, ukinijibu niliyokuuliza ndio utanipa mwangaza hata wakufanya arrangement za kwenda field kufanya visibility study.
Ndio maana nimekuuliza taaluma yako ni ya darasani tu au tukienda field unaweza kuitumia taaluma yako kwa vitendo?
Site zipo ila kutumbukiza pesa sehemu bila uhakika wakujuwa unachoitafuta ndio maana tunalipia tu leseni zetu lakini hatuchimbi unaweza kufirisika huku unajiona.
Kujua hazina ya mali inaitajika vipomo mkuu,Uko interested na chimbo? Well kama kun mgodi sehemu unweza kutumia taaluma yako na kuweza kujuwa hazina iliyopo au mpaka uchukuwe mchanga kutoka chimbo ukapimwe?
Je unayo taaluma ya kugunduqa miamba hasa kwa wachimbaji wadogo bila kutumia vifaa vya kisasa?
Je taaluma yako ni ya darasani zaidi au ukipelekwa field kwenye uhalisia unaweza kuitumia taaluma yako?
+ Nikienda field ninao uwezo wa kuitumia piaNaomba unisome upya kisha unijibu kwa ufasaha, mimi nipo kwenye hii industry si kama mtaalam bali mmiliki, ukinijibu niliyokuuliza ndio utanipa mwangaza hata wakufanya arrangement za kwenda field kufanya visibility study.
Ndio maana nimekuuliza taaluma yako ni ya darasani tu au tukienda field unaweza kuitumia taaluma yako kwa vitendo?
Site zipo ila kutumbukiza pesa sehemu bila uhakika wakujuwa unachoitafuta ndio maana tunalipia tu leseni zetu lakini hatuchimbi unaweza kufirisika huku unajiona.
Ha ha haUkijichanganya kwa wadau chaka zipo mkuu.
Naona mkuu alidirect kuwa ni small scale anahitaji mtaalam anaeweza kuobserve bila kutumia vifaa vya kisasa...Kujua hazina ya mali inaitajika vipomo mkuu,
Mkuu hapa ni general knowledge tu.Naomba unisome upya kisha unijibu kwa ufasaha, mimi nipo kwenye hii industry si kama mtaalam bali mmiliki, ukinijibu niliyokuuliza ndio utanipa mwangaza hata wakufanya arrangement za kwenda field kufanya visibility study.
Ndio maana nimekuuliza taaluma yako ni ya darasani tu au tukienda field unaweza kuitumia taaluma yako kwa vitendo?
Site zipo ila kutumbukiza pesa sehemu bila uhakika wakujuwa unachoitafuta ndio maana tunalipia tu leseni zetu lakini hatuchimbi unaweza kufirisika huku unajiona.
Hahaha pole, ilikuaje mkuuDaaa...aya makitu yalimfilisi kabisa babu yangu...alitumbukiza pesa zote uko mwisho wa siku akapotea kabisa na nyumbani...
Dah we acha tu, mnaweka Camp wanaume wa shoka uhakikishe wanakula na kushiba na posho ndogondogo uwape halafu mwezi mzima bilabila inauma sana.Daaa...aya makitu yalimfilisi kabisa babu yangu...alitumbukiza pesa zote uko mwisho wa siku akapotea kabisa na nyumbani...
Sasa mkuu field bila taaluma ya darasani hakuna kitu. Ndo maana tunaanzia darasani, then inafata practical. Labda tu tofauti zetu ni uzoefu wa kazi ila mambo ya darasani ni yaleyale tu.Naomba unisome upya kisha unijibu kwa ufasaha, mimi nipo kwenye hii industry si kama mtaalam bali mmiliki, ukinijibu niliyokuuliza ndio utanipa mwangaza hata wakufanya arrangement za kwenda field kufanya visibility study.
Ndio maana nimekuuliza taaluma yako ni ya darasani tu au tukienda field unaweza kuitumia taaluma yako kwa vitendo?
Site zipo ila kutumbukiza pesa sehemu bila uhakika wakujuwa unachoitafuta ndio maana tunalipia tu leseni zetu lakini hatuchimbi unaweza kufirisika huku unajiona.