Niulize swali lolote kuhusu Geology na field zote zinazohusuhiana na Jiolojia

Niulize swali lolote kuhusu Geology na field zote zinazohusuhiana na Jiolojia

Naona mkuu alidirect kuwa ni small scale anahitaji mtaalam anaeweza kuobserve bila kutumia vifaa vya kisasa...
Huo ni ubahatishaji. As mtaalam inabidi uwe na vifaa. Madini sio kama mawe ya chimala. Unayoangalia kwa rangi na texture
 
Dah we acha tu, mnaweka Camp wanaume wa shoka uhakikishe wanakula na kushiba na posho ndogondogo uwape halafu mwezi mzima bilabila inauma sana.

Ndio maana hapa nataka ukweli wa geologist wa kweli tuingie site, maana shida ya hizi mambo mwamba unaweza ukauona Mwenge kumbe mali zenyewe zipo Tegetaaaa!! Na siyo site yako, ndio ugumu wa biashara hii ulipo.

Lakini kama yupo Geologist wa uhakika n mkajiridhisha na site unaingiza Skaverta site bila mawazo, maana ukae ukijuwa kulikodi Skaverta kwa siku ni laki saba na opareta unamipa wewe na gari ya kulibeba kulileta site unalipa wewe pia.
Mkuu, upo na uhakika unahitaji mtaalam?? Wa kazi nikucheki.
 
Inawezekana ila kama itakuwepo ni very deep sana af in very low concentration. Kwahiyo hata kuichimba itakuwa ni hasara.

Af gold deposits inapatikana kwa wingi katika ukanda wa Mozambique belt. Na dodoma ipo nje ya ukanda huu.
mkuu kati ya lake victoria greenstone belt na mpanda mineral field gold iliyopo ni kidogo kuliko mozambique mobile belt? hebu edit.
 
Dah we acha tu, mnaweka Camp wanaume wa shoka uhakikishe wanakula na kushiba na posho ndogondogo uwape halafu mwezi mzima bilabila inauma sana.

Ndio maana hapa nataka ukweli wa geologist wa kweli tuingie site, maana shida ya hizi mambo mwamba unaweza ukauona Mwenge kumbe mali zenyewe zipo Tegetaaaa!! Na siyo site yako, ndio ugumu wa biashara hii ulipo.

Lakini kama yupo Geologist wa uhakika n mkajiridhisha na site unaingiza Skaverta site bila mawazo, maana ukae ukijuwa kulikodi Skaverta kwa siku ni laki saba na opareta unamipa wewe na gari ya kulibeba kulileta site unalipa wewe pia.
Hahahaha alifanya huo huo mchezo....kaweka kambi analisha wanaume na posho juu....baada ya miez kadhaa hakuna kitu kilichotoka hasara....alikua na kazi yake nzuri tu serikalini ikabidi aache na kazi ili apate mda wa kwenda kwenye machimbo yake.... Sijui alihisi kuna pesa ya fasta fasta kule


Alikua akikosa chimbo hili anahamia chimbo lingne ivo ivo tena anaweka kambi na kulisha wanaume na posho juu....kaja kushituka hana kitu mfukon,akiba benki imeisha, kazi nzuri ya udaktar kaacha, watoto hawamuelewi uchumi umeyumba, madeni yamemjaa na hajui atalipaje....mzee akaona isiwe shida ishakua nuksi hii akakikimbia familia aisee.
 
Naona mkuu alidirect kuwa ni small scale anahitaji mtaalam anaeweza kuobserve bila kutumia vifaa vya kisasa...
Mkuu wewe umenielewa vyema, na hao ndio wataalam wa miamba ambao tunawatumia,hawajasoma lakini akiingia shimoni kutafuta mwamba ni lazima aupate, ila kuna tatizo la mwamba kuhamahama njia, hapo ndipo ninapoona umuhimu wa mtu aliyekwenda shule.

Hii industry mtu aliye nje ngumu sana kuelewa na ikikukubali pesa yake ni tamu sana ila ikiamuwa kukupasuwa kichwa kuna sehemu mnapata mawe lakini hayana soko.

Ndio maana utaona wtu wanakwenda mpaka Mozambique wengine Congo ili kupata mawe ambayo ni hot cake, au mtu mwingine anaamuwa kudeal na dhahabu tu.
 
Naomba unijulishe crude oil au mafuta petrolium yanasababishwa na nini?!nini kinafanyika hadi yanatokea
 
Mkuu wewe umenielewa vyema, na hao ndio wataalam wa miamba ambao tunawatumia,hawajasoma lakini akiingia shimoni kutafuta mwamba ni lazima aupate, ila kuna tatizo la mwamba kuhamahama njia, hapo ndipo ninapoona umuhimu wa mtu aliyekwenda shule.

Hii industry mtu aliye nje ngumu sana kuelewa na ikikukubali pesa yake ni tamu sana ila ikiamuwa kukupasuwa kichwa kuna sehemu mnapata mawe lakini hayana soko.

Ndio maana utaona wtu wanakwenda mpaka Mozambique wengine Congo ili kupata mawe ambayo ni hot cake, au mtu mwingine anaamuwa kudeal na dhahabu tu.

Dah
Heshima yako mkuu.

Hilo ndo tatizo tunalokutana nalo hatuna experience ya kutosha. Nakumbuka kipindi kile tukienda field tunatoa macho tu migodini.

Af tena huwez kumtoa mtu mwenye experience aende darasani akaweza.

Ndo maana nimesema hii kitu huwezi kusimama mwenyewe ukaifanya. Sekta zote mbili zinahitajika.
 
Hahahaha alifanya huo huo mchezo....kaweka kambi analisha wanaume na posho juu....baada ya miez kadhaa hakuna kitu kilichotoka hasara....alikua na kazi yake nzuri tu serikalini ikabidi aache na kazi ili apate mda wa kwenda kwenye machimbo yake.... Sijui alihisi kuna pesa ya fasta fasta kule


Alikua akikosa chimbo hili anahamia chimbo lingne ivo ivo tena anaweka kambi na kulisha wanaume na posho juu....kaja kushituka hana kitu mfukon,akiba benki imeisha, kazi nzuri ya udaktar kaacha, watoto hawamuelewi uchumi umeyumba, madeni yamemjaa na hajui atalipaje....mzee akaona isiwe shida ishakua nuksi hii akakikimbia familia aisee.
Uliyoandika hapa mtu asiyeelewa anaweza kudhani ni mchezo wa kuigiza kumbe ni kweli haya yanatokea kila siku, tena huyo aliyemshawishi utakuta kashamkimbia yupo na tajili mpya.

Mimi hii industry nimejiongeza mapema kwamba siyo inayoniweka mjini, hii ni biashara ya muda mrefu si yakuyaona matunda leo wala kesho.

Kwakweli kilichompata huyo ndugu yako ndio risk zilizopo kwenye hii industry, sometimes ni bora uwe broker wa kwenda kununuwa migodini halafu wewe uuze kuliko kuanzisha uchimbaji.
 
Mkuu wewe umenielewa vyema, na hao ndio wataalam wa miamba ambao tunawatumia,hawajasoma lakini akiingia shimoni kutafuta mwamba ni lazima aupate, ila kuna tatizo la mwamba kuhamahama njia, hapo ndipo ninapoona umuhimu wa mtu aliyekwenda shule.

Hii industry mtu aliye nje ngumu sana kuelewa na ikikukubali pesa yake ni tamu sana ila ikiamuwa kukupasuwa kichwa kuna sehemu mnapata mawe lakini hayana soko.

Ndio maana utaona wtu wanakwenda mpaka Mozambique wengine Congo ili kupata mawe ambayo ni hot cake, au mtu mwingine anaamuwa kudeal na dhahabu tu.
Mkuu kwenye geology, kuna strike na dip direction, strike ina onesha orientation ya geologic structure na hapo ukishajua sehemu ya mwamba ulipo unaweza kuufuata
 
Uliyoandika hapa mtu asiyeelewa anaweza kudhani ni mchezo wa kuigiza kumbe ni kweli haya yanatokea kila siku, tena huyo aliyemshawishi utakuta kashamkimbia yupo na tajili mpya.

Mimi hii industry nimejiongeza mapema kwamba siyo inayoniweka mjini, hii ni biashara ya muda mrefu si yakuyaona matunda leo wala kesho.

Kwakweli kilichompata huyo ndugu yako ndio risk zilizopo kwenye hii industry, sometimes ni bora uwe broker wa kwenda kununuwa migodini halafu wewe uuze kuliko kuanzisha uchimbaji.
Nadhani kosa kubwa alilolifanya ni kitendo cha kufikiri kua pesa yake ni fasta sana ndo maana akapata na kiburi cha kuacha kazi serikalini
 
Naomba unijulishe crude oil au mafuta petrolium yanasababishwa na nini?!nini kinafanyika hadi yanatokea
Crude oil ni mafuta ambayo huchimbwa chini na yanapatikana katika sedimentary basins kwani content yako inatokea baada ya plants and animals wakifa i mean remains of plant and animals at the bottom of the sea....**** mechanism zinazotake miaka mingi hadi crude oil inapatikana then petroleum inatokana na crude oil ikiwa purified
 
Nadhani kosa kubwa alilolifanya ni kitendo cha kufikiri kua pesa yake ni fasta sana ndo maana akapata na kiburi cha kuacha kazi serikalini
Acha kabisa mkuu, ndio maana watu huwa tunafunguka humu JF ili wengine wapate elimu ya bure, pesa ni ngumu sana na biashara hii si mawe yote ni hot cake.

Huyo babu yako angeweza kupata hata mifelisper akaijaza tu store bila kumfaidi chochote, wewe mawe unaambiwa kilo sh 3000 ni kwa nini usiuze semba la Azzam tu?

1469537913393.jpg
 
Mkuu kwenye geology, kuna strike na dip direction, strike ina onesha orientation ya geologic structure na hapo ukishajua sehemu ya mwamba ulipo unaweza kuufuata
Exactly

Hivo ni vipimo vidogo sana ila ni muhimu.

Na principle kibao zinazoitaji uingie darasani kuzielewa
 
Acha kabisa mkuu, ndio maana watu huwa tunafunguka humu JF ili wengine wapate elimu ya bure, pesa ni ngumu sana na biashara hii si mawe yote ni hot cake.

Huyo babu yako angeweza kupata hata mifelisper akaijaza tu store bila kumfaidi chochote, wewe mawe unaambiwa kilo sh 3000 ni kwa nini usiuze semba la Azzam tu?

View attachment 371232
Pole sana mkuu
 
Acha kabisa mkuu, ndio maana watu huwa tunafunguka humu JF ili wengine wapate elimu ya bure, pesa ni ngumu sana na biashara hii si mawe yote ni hot cake.

Huyo babu yako angeweza kupata hata mifelisper akaijaza tu store bila kumfaidi chochote, wewe mawe unaambiwa kilo sh 3000 ni kwa nini usiuze semba la Azzam tu?

View attachment 371232
Mkuu hizi mambo unazifanya bado?, na ni wapi haswa unapofanya (field)
 
Acha kabisa mkuu, ndio maana watu huwa tunafunguka humu JF ili wengine wapate elimu ya bure, pesa ni ngumu sana na biashara hii si mawe yote ni hot cake.

Huyo babu yako angeweza kupata hata mifelisper akaijaza tu store bila kumfaidi chochote, wewe mawe unaambiwa kilo sh 3000 ni kwa nini usiuze semba la Azzam tu?

View attachment 371232
Daaa..poleni sana ndugu
 
Swali langu ni je unaweza ukaniambia kuhusu kama ninataka kuianza hii biashara ya mawe, niwe na nunua na kuuza je ni taratibu zipi nianze za kihalali au kisheria,
 
Back
Top Bottom