Niulize swali lolote kuhusu KUNENA KWA LUGHA nikufafanulie.

Niulize swali lolote kuhusu KUNENA KWA LUGHA nikufafanulie.

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hello
Shalom!
Kila siku kwa kadri ya neema ya MUNGU nitaleta mada moja muhimu ili kumjenga mkristo.
Tujengwe imara ili tusiyumbishwe na mbwa mwitu.
Kristo alisema atakaa ndani yetu nasi tutakaa ndani yake.
Asitokee mtu yeyote akawageuza Wakristo wenzake kama chanzo cha mapato yake.
Watu wajue kuwa MUNGU anakaa ndani yao .
Screenshot_20240401-080451.jpg
Screenshot_20240401-080359.jpg

Kutokana na somo langu la kwanza la maombi katika Roho kumekuwa na maswali mengi juu ya kunena kwa lugha.
Mwenye swali aweke hapa Mimi pamoja na viongozi wengine wabobezi humu ndani tutawajibu.
 
Kunena kwa lugha kunakofanywa na wale wanaojiita kuwa ni mitume, manabii na wafuasi waoo kuna uhusiano wowote na Mungu?
 
Kunena kwa lugha kunakofanywa na wale wanaojiita kuwa ni mitume, manabii na wafuasi waoo kuna uhusiano wowote na Mungu?
Ili uwe Mtume, Nabii, Mchungaji, Mwalimu au Mwinjilisti lazima Mungu akuthibitishe aidha direct yeye mwenyewe akuambie nimekuita kwa kazi hii au atamtuma Mtumishi wake mwaminifu akuambie wito wako.
Kama huyo mchungaji, nabii, Mtume, Mwinjilisti au mwalimu amejiita tu mwenyewe huyo hatashindwa kuendelea kuigiza au kudanganya jambo lolote.
Jamboree la muhimu je, Mungu kamwita au amejiita mwenyewe au Ibilisi ndiye kamtuma.
 
Kama kunena kwa lugha ndio kule kulikozungumzwa kwenye biblia, basi jambo lile liliwatokea wafuasi wake tu, sina maarifa zaid yanayosema kuwa kuna mwingine naye alinena kwa lugha!
  • Waliponena kwa lugha, wengine wengi waliwaelewa kwa lugha zao.
  • Yaani aongee kinyiramba, mimi msukuma namsikia kwa kisukuma, mrangi hivyo hivyo, mnyaki, mchaga, muha, mndendeure etc wote wanamuelewa jamaa.

Sasa nyie mnaotaja taja miji ya watu hovyo, nilimsikia mmoja katikati ya kelele zake anasema, "antanananananarivo" mnakuwa mnaeleweka na akina nani?
 
Lugha ya roho mtakatifu, hajui kiarabu.
Nafikiri umekuja kwa lengo la kukashfu na sio kujifunza. Jamaa kaleta uzi mzuri tu na kama unaina haukufai, nenda kwenye nyuzi zingine maana utaanza kuleta malumbano na kashfa za kidini wakija wenzako wenye mihemko mkuu na halitakiwa jambo zuri.
 
Hello
Shalom!
Kila siku kwa kadri ya neema ya MUNGU nitaleta mada moja muhimu ili kumjenga mkristo.
Tujengwe imara ili tusiyumbishwe na mbwa mwitu.
Kristo alisema atakaa ndani yetu nasi tutakaa ndani yake.
Asitokee mtu yeyote akawageuza Wakristo wenzake kama chanzo cha mapato yake.
Watu wajue kuwa MUNGU anakaa ndani yao .
View attachment 2950461View attachment 2950462
Kutokana na somo langu la kwanza la maombi katika Roho kumekuwa na maswali mengi juu ya kunena kwa lugha.
Mwenye swali aweke hapa Mimi pamoja na viongozi wengine wabobezi humu ndani tutawajibu.
Njoo ujibu maswali huku, mbona unaingia mitini?
Sharaa babaaa sharaaa babaa shika rabaaa shika rabaaa.
 
Ili uwe Mtume, Nabii, Mchungaji, Mwalimu au Mwinjilisti lazima Mungu akuthibitishe aidha direct yeye mwenyewe akuambie nimekuita kwa kazi hii au atamtuma Mtumishi wake mwaminifu akuambie wito wako.
Kama huyo mchungaji, nabii, Mtume, Mwinjilisti au mwalimu amejiita tu mwenyewe huyo hatashindwa kuendelea kuigiza au kudanganya jambo lolote.
Jamboree la muhimu je, Mungu kamwita au amejiita mwenyewe au Ibilisi ndiye kamtuma.
Huja jibu swali lakini
 
enhee
"Babbababababa shika raba..." Huwa Ina maana gani?
Sasa kumbukumbu ukisema kunena kwa lugha huwezi zungumza kile alichosema mwenzako hata mitume siku wamevuviwa roho mtakatifu hawakusema yale yale kila mtu na lake hivi hii kasumba wote wanapoanza kunena kwa lugha unasikia wanaaza na hili neno leten ushaid
 
Kama kunena kwa lugha ndio kule kulikozungumzwa kwenye biblia, basi jambo lile liliwatokea wafuasi wake tu, sina maarifa zaid yanayosema kuwa kuna mwingine naye alinena kwa lugha!
  • Waliponena kwa lugha, wengine wengi waliwaelewa kwa lugha zao.
  • Yaani aongee kinyiramba, mimi msukuma namsikia kwa kisukuma, mrangi hivyo hivyo, mnyaki, mchaga, muha, mndendeure etc wote wanamuelewa jamaa.

Sasa nyie mnaotaja taja miji ya watu hovyo, nilimsikia mmoja katikati ya kelele zake anasema, "antanananananarivo" mnakuwa mnaeleweka na akina nani?
Hili nitakujibu kwa muundo wa swali.
Je, Paul alipowawekea mikono wanaume 12 wa kabila la Korintho wakapokea Roho Mtakatifu na kuanza kunena kwa lugha walinena lugha gani ?
Walinena ili wasikie watu wa lugha na kabila ipi ikiwa walikuwa wenyewe tu?
Screenshot_20240401-091755.jpg
 
enhee

Sasa kumbukumbu ukisema kunena kwa lugha huwezi zungumza kile alichosema mwenzako hata mitume siku wamevuviwa roho mtakatifu hawakusema yale yale kila mtu na lake hivi hii kasumba wote wanapoanza kunena kwa lugha unasikia wanaaza na hili neno leten ushaid
View attachment 2950496
Si wote wanaonena kwa Lugha hunena lugha za Kimungu.
Wengine wamekariri na kuzoea kusikia sauti fulani nao huiga na kuzizoea.
Ila hiyo hali haiondoi umuhimu wa kujazwa Roho Mtakatifu na kunena kwa lugha.
Iko clear mtu mwenye Roho Mtakatifu lazima anene kwa lugha.
Kuna Karama za lugha hii si kwa wote ila kunena kwa lugha ni kwa wote.
 
Huja jibu swali lakini
Sasa unataka nijibu nini?
Unataka nikutajie majina ya mitume na manabii wanaonena kwa Roho wa Mungu na wanaonena kwa hisia zao?
Nimejibu pale juu kutoa mwanga kuwa si kila kunena kwa lugha ni lugha za Kimungu.
Na jukumu la kujua huyu mtu wa Mungu au si wa Mungu ni la kwako wewe sio mimi
 
Back
Top Bottom